Mgodini huko Lwamgasa Geita, nilikuwa shimoni nachoronga mwamba, kumbe huko juu kuna sehemu ilikuwa na ufa wa muda mrefu tu, kutokana na milipuko ya mara kwa mara hiyo sehemu ufa ukawa unazidi kutokea.
Siku hiyo nikapiga kazi mimi na jamaa yangu(rip Mangu aka ntuzu man)ghafla udongo ukaanza...
Hawa wenzetu huwa wanajikuta keki sana wakati muungano wao ndio wananufaika nao zaidi.Kwa akili zangu za darasa la 7 ni bora kuuvunja ili kila mmoja apambane kwa namna yake.
Kwa nini isiwe mbalali black stars? Kwa maskani yao yasiwe mbalali? Tumeshahama kwenye dunia ya kufanyana watoto wadogo,kama sio yake abadilishwe wizara aende wizara ya wazee jinsia na watoto tuone kama haijashuka daraja.
Mwambie apambanie uchumi kwanza aache kupoteza muda kudhani anapendwa na jini.pia ahakikishe anapata chakula kamili na cha kutosha aachane na habari za mlenda,kisamvu na matembele kwa ugali wa mtama.
Nchi hii viongozi wanawaona wananchi ni vinyesi vyao tu. Wanavihitaji vinyesi wakati wa vipimo tu. Hakuna haja ya kufatilia mambo yanayoumiza moyo na hayachukuliwi hatua,huo muda ni mara mia nikamtafuta mrembo monika aje anipunguzie nyege.
Nawaza tu kama ndiye mimi baba mlezi.Ningemwachia MUNGU lakini pia ningetemana na mama yake,maana mtoto mpaka anakomaa hivyo ujue kabisa kuna kolabo na mama yake.
Hakuna kanuni,nilioa bikra,akaja kutombwa na idd kisa rifti ya gari,tangu hapo ndo nikagundua talent yake kuwa ni malaya haswa,labda ungetushauri tusioe wanawake wenye mashepu kama yale walioahidiwa ndugu zetu katika imani,maana kutombewa mwanamke mwenye shepu ni sawa na mwanamme wa kimasai...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.