Habari,
Taarifa zinaeleza kuwa mnamo mwaka 1950 timu ya Taifa ya India iliamua kujiondoa kushiiriki Kombe la Dunia sababu ya Shirikisho la Soka Ulimwenguni kuwakatalia kucheza peku.
Kuna ukweli wowote hapa?
Habari,
Katika pita yangu mtandaoni nimekutana na taarifa ikieleza tukio linalodai kuwa mnamo mwaka 1998 ndani ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo radi ilipiga wakati wa mechi kati ya Bena Tshadi dhidi ya Basanga na kuua wachezaji wote wa timu moja huku wa timu nyingine wakitoka salama.
Je, kuna ukweli kuhusu sakata hili?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.