Nikiambiwa huyu ndiyo Profesa hasa ambaye sina Shaka nae na hata Kichwani yuko vizuri nitakubali kwa 100%, kuliko Maprofesa wengi Uchwara tulionao

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
57,114
110,495
Mtaalamu na mbobezi wa masuala ya sheria, Profesa Abdallah Safari amefichua siri ya kujiweka kando na shughuli za kisiasa badala yake ameamua kukitumia ipasavyo kipawa chake cha utunzi wa vitabu.

Profesa Safari aliyewahi kuwa kada na mshauri wa masuala muhimu ya kisheria wa Chama cha Wananchi (CUF), amesema akijitosa katika siasa hivi sasa atajitoa kafala, ndio maana amejiondoa huko akidai hakuna watu makini.

Chanzo: mwananchi_official

Niliwahi kumwambia Mtu kwa sasa unahitaji Moyo wa Mwendawazimu ukiwa Msomi kujihusisha na Siasa za Tanzania.
 
Upo sahihi Mkuu wang.

20240504_184237.jpg


KaziKweliKweli/JobTrueTrue
 
NAONA LEO UNA BANDO KILA MUDA UZI
Tokea nijiunge hapa JamiiForums mwaka 2013 hadi leo sijawahi kuwa na tatizo la kukosa Bando. Na kinachonishangaza zaidi Kutwa mnahubiri Chuki dhidi yangu hapa JamiiForums huku mkisema hamvutiwi na Mada zangu lakini 24/7 nyie ndiyo mnaaongoza Kuzifungua na Kuzisoma. Je, hapa nikiwaiteni Wendawazimu nitakuwa nakosea?

Kuhusu kuanzisha Uzi kaa tayari kuna Threads zingine kama 15 hivi naenda Kuzianzisha muda si mrefu na Utazisoma tu.
 
Ni kweli alivyosema maana siasa ni ngumu na ya ajabu ila khela Sasa!!
 
Tokea nijiunge hapa JamiiForums mwaka 2013 hadi leo sijawahi kuwa na tatizo la kukosa Bando. Na kinachonishangaza zaidi Kutwa mnahubiri Chuki dhidi yangu hapa JamiiForums huku mkisema hamvutiwi na Mada zangu lakini 24/7 nyie ndiyo mnaaongoza Kuzifungua na Kuzisoma. Je, hapa nikiwaiteni Wendawazimu nitakuwa nakosea?

Kuhusu kuanzisha Uzi kaa tayari kuna Threads zingine kama 15 hivi naenda Kuzianzisha muda si mrefu na Utazisoma tu.
Sasa Hapo chuki ipo wapi ndugu?
 
Sasa Hapo chuki ipo wapi ndugu?
Na kinachonishangaza zaidi Kutwa mnahubiri Chuki dhidi yangu hapa JamiiForums huku mkisema hamvutiwi na Mada zangu lakini 24/7 nyie ndiyo mnaaongoza Kuzifungua na Kuzisoma. Je, hapa nikiwaiteni Wendawazimu nitakuwa nakosea?
 
Mtaalamu na mbobezi wa masuala ya sheria, Profesa Abdallah Safari amefichua siri ya kujiweka kando na shughuli za kisiasa badala yake ameamua kukitumia ipasavyo kipawa chake cha utunzi wa vitabu.

Profesa Safari aliyewahi kuwa kada na mshauri wa masuala muhimu ya kisheria wa Chama cha Wananchi (CUF), amesema akijitosa katika siasa hivi sasa atajitoa kafala, ndio maana amejiondoa huko akidai hakuna watu makini.

Chanzo: mwananchi_official

Niliwahi kumwambia Mtu kwa sasa unahitaji Moyo wa Mwendawazimu ukiwa Msomi kujihusisha na Siasa za Tanzania.
Grow up bro! Kwa hiyo hujihusishi na siasa una unawaachia hao mbwa wakutawale? Sema tu wewe siyo msomi. Ni msomi uchwala kama huyo unayemtaja.

Humuoni msomi makini Lisu anavyopigania nchi yake? Wasomi wote wangekuwa kama Lisu tungekuwa mbali sana.
 
Mtaalamu na mbobezi wa masuala ya sheria, Profesa Abdallah Safari amefichua siri ya kujiweka kando na shughuli za kisiasa badala yake ameamua kukitumia ipasavyo kipawa chake cha utunzi wa vitabu.

Profesa Safari aliyewahi kuwa kada na mshauri wa masuala muhimu ya kisheria wa Chama cha Wananchi (CUF), amesema akijitosa katika siasa hivi sasa atajitoa kafala, ndio maana amejiondoa huko akidai hakuna watu makini.

Chanzo: mwananchi_official

Niliwahi kumwambia Mtu kwa sasa unahitaji Moyo wa Mwendawazimu ukiwa Msomi kujihusisha na Siasa za Tanzania.
Siasa zinawafaa wanunuzi wa PhD
 
Back
Top Bottom