Yuko wapi mtoto wa kiume?

Sep 8, 2021
56
79
Mtoto wa kiume yupo atarini kupotea katika dunia ya sasa.

Najiuliza tu hawa wanaoleta agenda kila siku zakumkuza mtoto wakike (tena ni wanamume) , hawaoni kama mtoto wakiume nae anatakiwa kutazamwa ili kutatuliwa changamoto zake.

so sad kuona nowdays wanaume kuact kama mwanamke kwenye mitandao yakijamii (tiktok, snapchat ,instagram)na hakuna mtu anakemea wala kumfunza mtoto wa kiume kuwa mwanamme ni nani.

Au anatakiwa kuwa vipi, zaidi nguvu zote tumezipeleka kwa watoto wakike na wanawake na kumsahau mtoto wakiume as if hayupo katika jamii kama dunia nahisi kuna shida mahali. 20 to 50 years from now tusipochukua jitihada kumuokoa mtoto wa kiume tutajuta zaidi ya hapa
 
Mbona tupo watoto wakiume hatupaki mikongo show show!, Hatutegemei kulamba ndo tuwafikishe!, Bado tupo wale vijana ambao ukituacha na mtoto wakike dakika mbili utakuta mavazi yameshavuliwa na kimeliwa!

Sisi ndio wale tumetungiwa sheria ya miaka 30 jera...🤣
 

Mathayo 12:29​

“Au, anawezaje mtu kuivamia nyumba ya mtu mwenye nguvu na kumnyanganya mali yake, bila kwanza kumfunga huyo mtu mwenye nguvu? Hapo ndipo atakapoweza kumnyanganya mali yake.
 
Mtoto wa kiume anatakiwa alelewe vilivyo na BABA ake..

Watt wengi wakiume wameharibik ktk mikono ya Wanawake pekee yaan Singo mama. Hawa ndio wanaharibu wtt wa kiume hasa awe ndio wa kwanza na mbaya zaidi DESIRES za Mama husika iwe ni kupata mtt wa kike.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom