Yahya Sinwar akagua vikosi vyake Gaza. Apigiana simu na viongozi wa Hamas walio nje

Webabu

JF-Expert Member
Apr 29, 2010
7,461
11,443
Taarifa za karibuni kabisa kutoka Gaza zinasema kiongozi mkuu wa Hamas,Yahya Sinwar hivi karibuni ameweza kukagua vikosi vya wapiganaji wake maeneo tofauti ya Gaza.

Alifanya hivyo kwa kujitokeza juu ya ardhi na wala sio kwenye mahandaki.

Mbali na hivyo, kiongozi huyo ambaye mara moja Israel walimuonesha akitembea chini ya handaki maeneo ya Khan Younis, pia katika siku za karibuni amezungumza na viongozi wakuu wa kisiasa wa Hamas walioko nje ya nje na kuwapa takwimu muhimu na kuweka sawa misimamo yao dhidi ya Israel.

1714027973007.png



View: https://www.youtube.com/watch?v=399jn-swgq8
 
Alikaa miaka mingi jela za Israel,miaka mingi,haogopi kifo,na akifa si mwisho wa harakati za wapalestina
Viongozi wa Hamas waliokwishauliwa ni wengi sana akiwemo muasisi sheikh Yassin aliyekuwa mlemavu wa miguu na kipofu na alikuwa mzee sana.
Pamoja kuuliwa kwake harakati zimeendelea.
 
huyo jamaa hana jeuri ya kutokeza juu hata sekunde moja tuu..ataendelea kuishi chini kwenye mapango kama panya na nasralah
 
huyo jamaa hana jeuri ya kutokeza juu hata sekunde moja tuu..ataendelea kuishi chini kwenye mapango kama panya na nasralah
Umeambiwa katoka na wewe unasema hawezi kutoka.
Na hata shimo alilokuwa keshabadilisha.
 
Back
Top Bottom