Bob Maxwell
JF-Expert Member
- May 16, 2021
- 274
- 505
Sidhani kama ni mimi tu ambaye nakerwa na haya makelele yaliyopo kila kona ya mji, sawa ni kutangaza biashara lakini ni vyema kubuni njia sahihi ya kufikisha ujumbe.
Imefika pahala kila kona ukipita unasikia matangazo ya viwanja tena kwa sauti kubwa mpaka ukiondoka maeneo hayo bado unasikia sauti zinajirudia kichwani " VIWANJA VIWANJA VIWANJA"
Pia wauzaji wengine ni matapeli, ni vyema kuwa makini sana na hawa jamaa.
Imefika pahala kila kona ukipita unasikia matangazo ya viwanja tena kwa sauti kubwa mpaka ukiondoka maeneo hayo bado unasikia sauti zinajirudia kichwani " VIWANJA VIWANJA VIWANJA"
Pia wauzaji wengine ni matapeli, ni vyema kuwa makini sana na hawa jamaa.