johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 85,645
- 145,386
Nenda mitandao Yote utamkuta Upendo Peneza Ndio anajadiliwa
LAKINI Leo kuna Hotuba muhimu sana ya Bajeti ya Wizara ya Habari na Tehama ila wadau hawajaichangamkia
Naomba Wakuu hapa JF tuelekeze akili zetu bungeni
Ahsanteni sana š¼
LAKINI Leo kuna Hotuba muhimu sana ya Bajeti ya Wizara ya Habari na Tehama ila wadau hawajaichangamkia
Naomba Wakuu hapa JF tuelekeze akili zetu bungeni
Ahsanteni sana š¼