Staphylococcus Aureus
JF-Expert Member
- Jan 18, 2024
- 1,744
- 2,650
Nimepatwa ghafla na hivo vipele hapo palianza kuwasha ukikuna ndo vinaumuka hivo!
kwa wenye utaalam wa matatizo ya Ngozi.
kwa wenye utaalam wa matatizo ya Ngozi.
mapunye ndo yanakua ivo?Yatakuwa mapunye hayo ...
haviumi sasa!! si unajua kibongo bongo kwenda hosptal ilivo mtitiHiyo huwa kawaida na inaweza Isha yenyewe ila kwa ushauri unapopata changamoto za ki afya nenda kituo Cha afya kwa ushauri
Unaishi maeneo gani!?binafsi najua Kuna hospital nzuri yenye vipimo Kila km 10 kutoka ulipo na inaweza kuwa karibu zaidihaviumi sasa!! si unajua kibongo bongo kwenda hosptal ilivo mtiti
Mara ya mwisho kupiga miti lini?Nimepatwa ghafla na ivo vipele hapo palianza kuwasha ukikuna ndo vinaumuka hivo!
kwa wenye utaalam wa matatizo ya Ngozi
hapana mkuu huwa sijitibu bila kupimaUnaishi maeneo gani!?binafsi najua Kuna hospital nzuri yenye vipimo Kila km 10 kutoka ulipo na inaweza kuwa karibu zaidi
Maumivu utayopata kwa Kutumia dawa holela yaweza kuwa makubwa zaidi
nina mke bro n jana tuMara ya mwisho kupiga miti lini?
ebu tuoneEeeh,,m mwenyewe vimenpata tena mkonon ivo ivo ila vinapotea vyenyewe
asantePole sana.
etiii eeh yawezekana n minyooTumia dawa za minyoo
😁 Alooohebu tuone
😂😂😂😁 Aloooh
au viko sehem za siri😂😂😁 Aloooh