Wamarekani wana mambo kweli. Gaza Vs Xinjiang

Mto Songwe

JF-Expert Member
Jul 17, 2023
6,373
13,134
Wamarekani wana mambo kweli.

There is genocide in Xinjiang Vs There is no genocide in Gaza
F9sOwy5WUAAnFlE.png
GBEy7HyaUAA3V7c.jpg
 
Americas is a self proclaimed champion and defender of democracy and liberty, the owner of truth. All other countries are liars.
Only what USA says is the truth. The rest are lies🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Aisee
 
Wewe kwanini hujawah kuanzisha Uzi hapa kuwalalamikia waarabu wa Sudan wanavyowaangamiza weusi wa darfur
Atatoa povu kweli apo umemshika pabaya miafrica minafiki mno hata sudan mbali apo goma waasi wanaua watu yeye wala haumizwi anaumizwa na migaidi ya kiislam ya gaza iliyoenda kuua raia bila sababu yoyote
 
Amananisha acha unafiki unaumizweje na ya mwarabu wakati ya mweusi mwenzako hayakuumizi haupangiwi unambiwa acha unafiki kama unavyowasema wamarekani wanafiki kumbe we ndo nafiki
Wewe vipi ya mwarabu gani yaliyo niumiza mimi hapa ? Hivi unaelewa hata kilicho postiwa au umedandia tu
 
Back
Top Bottom