Waliobebwa na Magufuli, CCM wakalia kuti kavu, kufurushwa wakati wowote

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
118,924
221,313
Unaambiwa huko ccm kila Jini na kiti wake, Yaani kila Shetani na Mbuyu wake. Noma kweli!

Ushahidi huu hapa

Screenshot_2024-05-16-09-55-42-1.png
 
come 2025, ccm wataparura kihaswaaaaa.

uzanzibar unaomea huku bara mama ana wakati mgumu sana ingawa mi nampa kura yangu
Kama chama kimeshatuma watu wa kufanya tathmini..

Unavyoona wabunge wanaongea hayo bungeni sio kwa bahati mbaya ni mkakati wa kuzohofisha nguvu na ni kweli wameweza na wanampa wakati mgumu aliekuwa na nia ya kugombea no. 1 .. kitu pekee kwa akili yake ndogo atatumia nguvu na pesa kuvuruga upinzani ndani ya chama ila kiukweli hana wafu wa kusimama jukwaani kumpa backup kuzomewa n.k

Hili suala linaongozwa na wafu wandani ya chama CCM pia issue ikipoa wanaibua tena . Hii issue ya Uzanzibari na muungano ni aluta continua hadi 2025 ikipoa itaamshwa.. hii ni project .. na wameipatia muda sahihi
 
Mzilankende Aliwabeba Wote Wa CCM Tena Wengi Majimboni Walikataliwa Na Wananchi Kupitia Masanduku Ya Kura. Wakurugenzi Walitishwa Hadharani Kuwa
Nakupa :-
Gari *
Salary *

Halafu Ukajichanganye Umtangaze Mpinzani Ujihesabu Huna Kazi Siku Hiyo Hiyo Nawaambia Wazi Wazi. Wakurugenzi Kujiongeza Wakiona Mpinzani Anaridisha Fomu Wanatokea Madirishani Wanazikimbia Ofisi Ili Tu Wapite Bila Kupingwa CCM
 
2025 waganga watakula hela sana na tua wazee wa majeneza watatengeneza hela sana kwa vifo vile
 
Back
Top Bottom