Ultimate
JF-Expert Member
- Nov 29, 2016
- 725
- 1,834
hapo kabla kulikua na huduma ya kuhamisha bando (MB 250) kutoka namba moja kwenda namba nyingine sasa ivi naona hii huduma wamesha itoa bila hata ya taarifa.
Pia hii ilikua ni amri kutoka TCRA kwamba ma kampuni ya simu yaruhusu luamisha bando naona vodacom wameamia kukaidi na kuondoa hii huduma.
Nimeangalia kwenye menu niliokua mimeizoea hakuna tena hii huduma??
Pia hii ilikua ni amri kutoka TCRA kwamba ma kampuni ya simu yaruhusu luamisha bando naona vodacom wameamia kukaidi na kuondoa hii huduma.
Nimeangalia kwenye menu niliokua mimeizoea hakuna tena hii huduma??