Vitambulisho vingi vya Nida vimekosewa

dr namugari

JF-Expert Member
Nov 19, 2022
9,762
16,522
Jana nilikwanda kuhuhisha taarifa zangu za kibenki ndipo nikakutana na kadhia hyo kuwa vitambulisho vingi vimekosewa
Kuanzia majina
Maahali uliko zaliwa
Wilaya uliko zaliwa
Kijij uliko zaliwa
Kata
Shule ya msingi niliyo Soma nk...

Majina pia ya mam mzazi yote yalikosewa na Hili nilibaini baada ya kuulizwa maswali hayo na afsa wabank ya crdb chamwino branch
Kila alicho niuliza hakikuwa sahih ,ndipo aliponielekeza kuwa niende ofisi za nida kwenda kuchukuwa majibu sahih kutokana na alicho niandikia
Nilifika pale nikakutana na foleni kubwa snaa nao kumbe wanatatizo kama langu

Baadae nikapewa majibu yangu
Ambapo niliandikiwa majibu ya ajabu sna kuanzia wilaya niliozaliwa na shule nilizo Soma hakna ajabu hkna hata moja wamepatia
Wakt nakumbuka kipindi najazza maelezo ya fomu nilijaza kwa usahih mkubwa leo nakuja kuambiwa mm nimesoma leguruki na nimeszaliwa longido wakt nimezaliwa Arusha dc

Majibu ya ajabu sna na mbaya Zaid ukitaka urekebishe taarifa inakupaza kulipia elf 20 warekebishe

Nida Ni utapeli mkubwaa sna na nitawapeleka mahakamani Hili silinyamazii wakili wangu Peter medeleka atafanya Kaz hyo
 
Jana nilikwanda kuhuhisha taarifa zangu za kibenki ndipo nikakutana na kadhia hyo kuwa vitambulisho vingi vimekosewa
Kuanzia majina
Maahali uliko zaliwa
Wilaya uliko zaliwa
Kijij uliko zaliwa
Kata
Shule ya msingi niliyo Soma nk...

Majina pia ya mam mzazi yote yalikosewa na Hili nilibaini baada ya kuulizwa maswali hayo na afsa wabank ya crdb chamwino branch
Kila alicho niuliza hakikuwa sahih ,ndipo aliponielekeza kuwa niende ofisi za nida kwenda kuchukuwa majibu sahih kutokana na alicho niandikia
Nilifika pale nikakutana na foleni kubwa snaa nao kumbe wanatatizo kama langu

Baadae nikapewa majibu yangu
Ambapo niliandikiwa majibu ya ajabu sna kuanzia wilaya niliozaliwa na shule nilizo Soma hakna ajabu hkna hata moja wamepatia
Wakt nakumbuka kipindi najazza maelezo ya fomu nilijaza kwa usahih mkubwa leo nakuja kuambiwa mm nimesoma leguruki na nimeszaliwa longido wakt nimezaliwa Arusha dc

Majibu ya ajabu sna na mbaya Zaid ukitaka urekebishe taarifa inakupaza kulipia elf 20 warekebishe

Nida Ni utapeli mkubwaa sna na nitawapeleka mahakamani Hili silinyamazii wakili wangu Peter medeleka atafanya Kaz hyo
Wameru naskia Mnapenda sana kesi. Upo tayari uuze Ng'ombe kwa kesi ya kuku. Jifunze kurahisha vitu punguza Complication
 
Jana nilikwanda kuhuhisha taarifa zangu za kibenki ndipo nikakutana na kadhia hyo kuwa vitambulisho vingi vimekosewa
Kuanzia majina
Maahali uliko zaliwa
Wilaya uliko zaliwa
Kijij uliko zaliwa
Kata
Shule ya msingi niliyo Soma nk...

Majina pia ya mam mzazi yote yalikosewa na Hili nilibaini baada ya kuulizwa maswali hayo na afsa wabank ya crdb chamwino branch
Kila alicho niuliza hakikuwa sahih ,ndipo aliponielekeza kuwa niende ofisi za nida kwenda kuchukuwa majibu sahih kutokana na alicho niandikia
Nilifika pale nikakutana na foleni kubwa snaa nao kumbe wanatatizo kama langu

Baadae nikapewa majibu yangu
Ambapo niliandikiwa majibu ya ajabu sna kuanzia wilaya niliozaliwa na shule nilizo Soma hakna ajabu hkna hata moja wamepatia
Wakt nakumbuka kipindi najazza maelezo ya fomu nilijaza kwa usahih mkubwa leo nakuja kuambiwa mm nimesoma leguruki na nimeszaliwa longido wakt nimezaliwa Arusha dc

Majibu ya ajabu sna na mbaya Zaid ukitaka urekebishe taarifa inakupaza kulipia elf 20 warekebishe

Nida Ni utapeli mkubwaa sna na nitawapeleka mahakamani Hili silinyamazii wakili wangu Peter medeleka atafanya Kaz hyo
Pole Daktari.🤦🏾‍♂️
 
Jana nilikwanda kuhuhisha taarifa zangu za kibenki ndipo nikakutana na kadhia hyo kuwa vitambulisho vingi vimekosewa
Kuanzia majina
Maahali uliko zaliwa
Wilaya uliko zaliwa
Kijij uliko zaliwa
Kata
Shule ya msingi niliyo Soma nk...

Majina pia ya mam mzazi yote yalikosewa na Hili nilibaini baada ya kuulizwa maswali hayo na afsa wabank ya crdb chamwino branch
Kila alicho niuliza hakikuwa sahih ,ndipo aliponielekeza kuwa niende ofisi za nida kwenda kuchukuwa majibu sahih kutokana na alicho niandikia
Nilifika pale nikakutana na foleni kubwa snaa nao kumbe wanatatizo kama langu

Baadae nikapewa majibu yangu
Ambapo niliandikiwa majibu ya ajabu sna kuanzia wilaya niliozaliwa na shule nilizo Soma hakna ajabu hkna hata moja wamepatia
Wakt nakumbuka kipindi najazza maelezo ya fomu nilijaza kwa usahih mkubwa leo nakuja kuambiwa mm nimesoma leguruki na nimeszaliwa longido wakt nimezaliwa Arusha dc

Majibu ya ajabu sna na mbaya Zaid ukitaka urekebishe taarifa inakupaza kulipia elf 20 warekebishe

Nida Ni utapeli mkubwaa sna na nitawapeleka mahakamani Hili silinyamazii wakili wangu Peter medeleka atafanya Kaz hyo
Inawezekana wanafanya makusudi ili kuvuna hizo elfu 20 za wananchi, kurekebisha taarifa iwe bure uone kama watathubutu kukosea.

Nchi la kitapeli hili viongozi wa juu matapeli unategemea nini.
 
Wanafanya maksudi ili wavune hizo elfu 20 za raia, huu ni wizi unaofanywa na hao wafanyakazi wa NIDA kama kweli sio wizi waondoe hiyo elfu 20 uone kama hawatakuwa makini kwenye kusajili taarifa.
 
Wanafanya maksudi ili wavune hizo elfu 20 za raia, huu ni wizi unaofanywa na hao wafanyakazi wa NIDA kama kweli sio wizi waondoe hiyo elfu 20 uone kama hawatakuwa makini kwenye kusajili taarifa.
Kwa Kweli wafanye hvyo
 
Inawezekana wanafanya makusudi ili kuvuna hizo elfu 20 za wananchi, kurekebisha taarifa iwe bure uone kama watathubutu kukosea.

Nchi la kitapeli hili viongozi wa juu matapeli unategemea nini.
Sahih utapeli
 
Jana nilikwanda kuhuhisha taarifa zangu za kibenki ndipo nikakutana na kadhia hyo kuwa vitambulisho vingi vimekosewa
Kuanzia majina
Maahali uliko zaliwa
Wilaya uliko zaliwa
Kijij uliko zaliwa
Kata
Shule ya msingi niliyo Soma nk...

Majina pia ya mam mzazi yote yalikosewa na Hili nilibaini baada ya kuulizwa maswali hayo na afsa wabank ya crdb chamwino branch
Kila alicho niuliza hakikuwa sahih ,ndipo aliponielekeza kuwa niende ofisi za nida kwenda kuchukuwa majibu sahih kutokana na alicho niandikia
Nilifika pale nikakutana na foleni kubwa snaa nao kumbe wanatatizo kama langu

Baadae nikapewa majibu yangu
Ambapo niliandikiwa majibu ya ajabu sna kuanzia wilaya niliozaliwa na shule nilizo Soma hakna ajabu hkna hata moja wamepatia
Wakt nakumbuka kipindi najazza maelezo ya fomu nilijaza kwa usahih mkubwa leo nakuja kuambiwa mm nimesoma leguruki na nimeszaliwa longido wakt nimezaliwa Arusha dc

Majibu ya ajabu sna na mbaya Zaid ukitaka urekebishe taarifa inakupaza kulipia elf 20 warekebishe

Nida Ni utapeli mkubwaa sna na nitawapeleka mahakamani Hili silinyamazii wakili wangu Peter medeleka atafanya Kaz hyo
Visahihishe
 
Wanafanya maksudi ili wavune hizo elfu 20 za raia, huu ni wizi unaofanywa na hao wafanyakazi wa NIDA kama kweli sio wizi waondoe hiyo elfu 20 uone kama hawatakuwa makini kwenye kusajili taarifa.
Ngoja wapige kwa urefu wa kamba zao. Wamedokezwa hivo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom