lamekiAgustino
JF-Expert Member
- Feb 4, 2024
- 340
- 1,065
mwaaaa mymwenzangu mie kupika had majini yawe off, na kule cafe nakokula kupiga picha jau, aaah.
mwaaaa mymwenzangu mie kupika had majini yawe off, na kule cafe nakokula kupiga picha jau, aaah.
Uko poa my wangu?? Vipi life linasemajee?mwaaaa my
life liko poa nimekumisi wewe tuuUko poa my wangu?? Vipi life linasemajee?
Yap...Wana take away...tena kitambo tu...Nadhani wanachofanya wanaiongezea thamani kila leo...Dyadyaa ndo nn bila kuniita? Em fungua tuone vilivyomo.
Umenikumbusha mbali sana!
Ila mie mshipa wa aibu ukiwa off, nakuaga km mwendawazimu.
KFC wana take away sku hizii? Woiiiih
Mie niko poaa!!life liko poa nimekumisi wewe tuu
Mie walinikatalia those days, wee nilimuwakia yule dada hatakaa anisahau maishani mwake,Yap...Wana take away...tena kitambo tu...Nadhani wanachofanya wanaiongezea thamani kila leo...
Next time nitakuita Dogo lake.....Chill.