Abdul Mganyizi
JF-Expert Member
- Oct 28, 2019
- 1,044
- 1,996
Habari ndugu zangu,leo nilikuwa naulizia bei ya gesi mtungi mdogo Oryx upo juu sana kwa bei ya sh 25000/= Mihan na oli ges 21000/= ,mtungi mkubwa 58000/= oryx na kampuni nyingne 53000/= ,Sasa swali langu ni kwamba utofauti wake upo kwenye nini ?, Naomba anaejua anijuze tafadhali ili nitambue ubora wake tofauti na makampuni mengne .