Utofauti kati ya kumbukumbu zinazohifadhiwa kwenye ubongo(Brain) na kumbukumbu zinazohifadhiwa na akili (Mind)

Mkuu huu ni uzi wangu na siwezi kuutelekeza hata kwanini.

Kwanza kabisa tambua dhana ya jukwaa hili JF ni kwamba tunapashana habari na masuala pia ni kwamba mimi ninapoleta mada hapa haimaanishi naelewa kuliko waote humu bali naleta wengine wasome kisha watoe michango yao ikiwemo kukosoa na kurekebisha pale kwenye makosa. Ndio maana kuna sehemu ya kukoment.

Sasa mkuu hapa hatupo kumtafuta nani anajua zaidi ya mwingine na nani hajui!
Hivyo Basi kama unaona mada Yangu kuna sehemu inamakosa basi onyesha wapi kuna kosa kisha sahihisha kwa kuweka jibu sahihi as INTELLECTUAL na sio kunirushia mawe kwamba nimekosea hapa ila huweki kike unachofahamu✌️
Nashukuru kwa kuwa honest..
 
Nashukuru kwa kuwa honest..
Mimi mada zangu hua naziandika kwa mfumo wa Sequel, Prequel na Spin-off. Hivyo ili upate full concept inabidi usome mada kadhaa za nyuma
Hizi maada nazoandika humu ni muendelezo wa mada niliyoandika 2018. Ndipo the whole store ilianza nikaikazia zaidi kwa mada niliyoandika 2019.
Maybe anzia hapa!
 
Mimi mada zangu hua naziandika kwa mfumo wa Sequel, Prequel na Spin-off. Hivyo ili upate full concept inabidi usome mada kadhaa za nyuma
Hizi maada nazoandika humu ni muendelezo wa mada niliyoandika 2018. Ndipo the whole store ilianza nikaikazia zaidi kwa mada niliyoandika 2019.
Maybe anzia hapa!
Hapana mkuu hizi ni janja janja tu na ndio diverging point kati yangu na wewe.
Sion uhusiano wowote kati ya mada hii na uliyo nakili.
 
Hapana mkuu hizi ni janja janja tu na ndio diverging point kati yangu na wewe.
Sion uhusiano wowote kati ya mada hii na uliyo nakili.
Ok Basi niache janja janja, nielimishe kuhusu mind! Mimi ninavyoelewa ni hivyo. Si unajua hapa hatupo kwenye contest ya kujua nani anajua zaidi bali kujuzana na kuelimishana. Natumaini utafanya hivyo
 
Ok Basi niache janja janja, nielimishe kuhusu mind! Mimi ninavyoelewa ni hivyo. Si unajua hapa hatupo kwenye contest ya kujua nani anajua zaidi bali kujuzana na kuelimishana. Natumaini utafanya hivyo
Kwa ufupi sana..
Mind ni thought factory,
Intellect ndio inayo tofautisha ni thought ipi ni nzuri,
sahihi, rational, objective. Reasoning zote zinafanyika hapa.
Memory ndio sehemu kumbukumbu zote zinahifadhiwa.
Lakini mind ukumbuke ni functionality kama ilivo kutembea kile kitendo
cha kuproduce thought ndio tunakiita akili thought zina be-produced kwenye ubongo.
Tafti zinaonyesha ndoto nyingi tunazokumbuka ni zile,
tulizoshtuka baada ya kuota it means memory ni separate thing na ukilala
inakuwa down hivo hivo kwa intellect ukiota ndoto yeyote unaichukulia serious
kwa sababu intellect inakuwa down na reasoning haifanyiki tena unaweza ukaota tembo ana
mabawa na unaamini ukiwa ndotoni.
Kwenye subconcious mind pia ukitumia nadharia za kisayansi hiyo ndio tunai-term kama soul.
 
Kwa ufupi sana..
Mind ni thought factory,
Intellect ndio inayo tofautisha ni thought ipi ni nzuri,
sahihi, rational, objective. Reasoning zote zinafanyika hapa.
Ni kweli, lakini unakubaliana kwamba Mind ndio sehemu kuu ya soul ya mwanadamu?
Memory ndio sehemu kumbukumbu zote zinahifadhiwa.
Ndio. Na Mind ina memory kama ilivyo brain
Lakini mind ukumbuke ni functionality kama ilivo kutembea kile kitendo
cha kuproduce thought ndio tunakiita akili thought zina be-produced kwenye ubongo.
Tafti zinaonyesha ndoto nyingi tunazokumbuka ni zile,
tulizoshtuka baada ya kuota it means memory ni separate thing na ukilala
inakuwa down hivo hivo kwa intellect ukiota ndoto yeyote unaichukulia serious
kwa sababu intellect inakuwa down na reasoning haifanyiki tena unaweza ukaota tembo ana
mabawa na unaamini ukiwa ndotoni.
Kwenye subconcious mind pia ukitumia nadharia za kisayansi hiyo ndio tunai-term kama soul.
Maybe unachanganya Mind na Brain. Je wajua ni vitu viwili tofauti??
 
Ni kweli, lakini unakubaliana kwamba Mind ndio sehemu kuu ya soul ya mwanadamu?

Ndio. Na Mind ina memory kama ilivyo brain

Maybe unachanganya Mind na Brain. Je wajua ni vitu viwili tofauti??
Brain ni ubongo ndg siwez changanya vitu open kama hivo...
Kama unaongelea kiimani kuhusu akili na soul i hav no comment.
Lakin kama ni kutumia rejea za sayansi akili haina memory na uwepo wake
ni imaginary sio physical entity.
Nikuulze kitu watu wanaopata ajali na kupoteza kumbukumbu
hata kuongea ni area ipi inakuwa disturbed ni memory kwenye soul kama
ulivodai au ni memory kama memory!?
 
Ok.
Je kuna tifauti ipi Kati ya roho,nafsi,moyo,akili na ubongo?
Ukija kwa nafsi ndio tunasema awareness ukitoa physical things inayobaki
ni nafsi(soul) na nafsi inakuwa connected na energy hiyo energy ndio tunaiita roho(spirit).
Roho kazi yake ni ku-supply energy kwa nafsi yako.
wewe ni nafsi (soul) yako.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom