johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 85,644
- 145,381
Rais Rutto amesema wamefanikiwa kuirejesha Uganda kwenye Bandari ya Mombasa baada ya mgogoro uliokuwepo kupatiwa ufumbuzi
Ruto amesema mgogoro huo ulisababisha Uganda ifikirie kutumia Bandari za Tanzania lakini tumewarejesha
Naye Rais Museveni amemwambia Rais Ruto kwamba anafurahi mgogoro umemalizika na mahusiano yameimarika zaidi
Museveni amesema ataendelea kuimport Mchele kutoka Tanzania japo kuna " watu" walijaribu kumzuia na anafanya hivyo kuimarisha Soko la Africa Mashariki
Rais Museveni alikuwa ziarani nchini Kenya
Source: Citizen TV
Ruto amesema mgogoro huo ulisababisha Uganda ifikirie kutumia Bandari za Tanzania lakini tumewarejesha
Naye Rais Museveni amemwambia Rais Ruto kwamba anafurahi mgogoro umemalizika na mahusiano yameimarika zaidi
Museveni amesema ataendelea kuimport Mchele kutoka Tanzania japo kuna " watu" walijaribu kumzuia na anafanya hivyo kuimarisha Soko la Africa Mashariki
Rais Museveni alikuwa ziarani nchini Kenya
Source: Citizen TV