Tunaiomba serikali utatuzi wa changamoto ya Daraja Lililopo Tabata Mwananchi/Kisiwani

Yofav

JF-Expert Member
Mar 12, 2021
3,984
6,976
20240417_122004.jpg
20240417_122010.jpg
20240417_122015.jpg

Hizo ni baadhi ya picha za kabla ya mvua.
Baada ya mvua kidogo tuu matokeo ni haya hapa⬇️
20240418_121550.jpg
20240418_121554.jpg
20240418_121813.jpg
20240418_121814.jpg



Kinachouma na kusikitisha kabisa ni kwamba hili Daraja lipo karibu kabisa na office ya serikali za mitaa lakini viongozi wa hapo hawaoneshi kabisa kuoina issue hiyo kama changamoto licha ya kuwa imekuwa kero kwa wananchi wa eneo hilo kwa kuwabidi kuzungukia katika njia ya jirani ambayo ni maalumu kwaajili ya Tain/Rail way na hii ndiyo njia pekee ambapo wananchi wote waishio Tabata Kisiwani huitumia kuingia na kutokea mtaani.

Kwa akili zangu za haraka inaonekana sehwmu hii ingeshafanyiwa marekebisho ila ni dhahiri kwamba kuna viongozi wanaokwamisha hilo.

Ni aibu sana kuona sehemu ambayo ipo ndani ya wilaya ya Ilala kuwa ya hovyo namna hii huku ikihesabiwa kuwa ndani ya Jiji.

Naomba kero hii iwafikie viongozi husika wa eneo hili maana hata huyo mbunge toka achaguliwe inaonekana hamna kitu anachokifanya maana kama kweli anaelewa nini anafanya basi hili Daraja ambalo ndo kama mlango wa kuingia na kutokea kwa wananchi wake angeliacha katika hali hii hadi awamu inapinduka.

Shame.
 
View attachment 2967521View attachment 2967523View attachment 2967524
Hizo ni baadhi ya picha za kabla ya mvua.
Baada ya mvua kidogo tuu matokeo ni haya hapa⬇️
View attachment 2967527View attachment 2967529View attachment 2967532View attachment 2967533


Kinachouma na kusikitisha kabisa ni kwamba hili Daraja lipo karibu kabisa na office ya serikali za mitaa lakini viongozi wa hapo hawaoneshi kabisa kuoina issue hiyo kama changamoto licha ya kuwa imekuwa kero kwa wananchi wa eneo hilo kwa kuwabidi kuzungukia katika njia ya jirani ambayo ni maalumu kwaajili ya Tain/Rail way na hii ndiyo njia pekee ambapo wananchi wote waishio Tabata Kisiwani huitumia kuingia na kutokea mtaani.

Kwa akili zangu za haraka inaonekana sehwmu hii ingeshafanyiwa marekebisho ila ni dhahiri kwamba kuna viongozi wanaokwamisha hilo.

Ni aibu sana kuona sehemu ambayo ipo ndani ya wilaya ya Ilala kuwa ya hovyo namna hii huku ikihesabiwa kuwa ndani ya Jiji.

Naomba kero hii iwafikie viongozi husika wa eneo hili maana hata huyo mbunge toka achaguliwe inaonekana hamna kitu anachokifanya maana kama kweli anaelewa nini anafanya basi hili Daraja ambalo ndo kama mlango wa kuingia na kutokea kwa wananchi wake angeliacha katika hali hii hadi awamu inapinduka.

Shame.
Hii ndiyo Dsm, wenyewe wanajinasibu kuliita Jiji la 'maraha'
 
View attachment 2967521View attachment 2967523View attachment 2967524
Hizo ni baadhi ya picha za kabla ya mvua.
Baada ya mvua kidogo tuu matokeo ni haya hapa⬇️
View attachment 2967527View attachment 2967529View attachment 2967532View attachment 2967533


Kinachouma na kusikitisha kabisa ni kwamba hili Daraja lipo karibu kabisa na office ya serikali za mitaa lakini viongozi wa hapo hawaoneshi kabisa kuoina issue hiyo kama changamoto licha ya kuwa imekuwa kero kwa wananchi wa eneo hilo kwa kuwabidi kuzungukia katika njia ya jirani ambayo ni maalumu kwaajili ya Tain/Rail way na hii ndiyo njia pekee ambapo wananchi wote waishio Tabata Kisiwani huitumia kuingia na kutokea mtaani.

Kwa akili zangu za haraka inaonekana sehwmu hii ingeshafanyiwa marekebisho ila ni dhahiri kwamba kuna viongozi wanaokwamisha hilo.

Ni aibu sana kuona sehemu ambayo ipo ndani ya wilaya ya Ilala kuwa ya hovyo namna hii huku ikihesabiwa kuwa ndani ya Jiji.

Naomba kero hii iwafikie viongozi husika wa eneo hili maana hata huyo mbunge toka achaguliwe inaonekana hamna kitu anachokifanya maana kama kweli anaelewa nini anafanya basi hili Daraja ambalo ndo kama mlango wa kuingia na kutokea kwa wananchi wake angeliacha katika hali hii hadi awamu inapinduka.

Shame.
Raia unalipa kodi halafu unaiomba serikali? Endeleeni kufanya hivyo muone kama litatengenezwa. Wenzako wameagiza magari ya kifahari kwanza. Njia pekee ya kufanya ni kujiunga kwenye maandamano.
 
Kaka Viongozi wanaokalia viti ndo wanatuua kinomanoma
Raia unalipa kodi halafu unaiomba serikali? Endeleeni kufanya hivyo muone kama litatengenezwa. Wenzako wameagiza magari ya kifahari kwanza. Njia pekee ya kufanya ni kujiunga kwenye maandamano.
"The right cannot be given as a gift by the oppressor it must be demanded by the oppressed."
Martin Luther King Jr
 
Raia unalipa kodi halafu unaiomba serikali? Endeleeni kufanya hivyo muone kama litatengenezwa. Wenzako wameagiza magari ya kifahari kwanza. Njia pekee ya kufanya ni kujiunga kwenye maandamano.
Inabidi uiombe tu mkuu maana katika watu 100,000 unaweza kukuta mimi pekee yangu ndo nimekata tamaa na hali hiyo huku wengine wakiwa bado wana uvumilivu ndo maana wakakaa kimya.
 
Ifikie mahali watanzani tuache kulialia na kauli za tunaiomba serikali ili hali Serikali iliyopo imeshindwa kuongoza nchi alafu tena unaendelea kuiomba. Muhimu tuje na mbadala mwingine wa kuweza kutatua matatizo yetu ya ujinga na umaskini.
 
Back
Top Bottom