Maandamano ya tarehe 20/3 tulishuhudia maduka yakivunjwa na waandamanaji na kupora mali za watu, tumeshuhudia magari yakichomwa moto, matairi yakichomwa barabarani vurugu tupu.
Juzi trh 27/3, Tena tumeshuhudia makanisa na misikiti ikichomwa moto na waandamanaji, lakini pia shamba la Rais mstaafu likivamiwa na kupora mali.
Haya matatizo yote ya uharibifu wa mali za watub yamesababishwa na jeuri ya Raila na genge lake kwa kulazimisha maandamano yenye vurugu, endapo Raila asinge lazimisha maandamano hluharibifu usingentokea.
Tumeshuhudia wandamanaji wakiwa wamebena mapanga, marungu mawe na silaha za kijadi, sasa hayo ni maandamano ya kidemokrasia?
Wakenya lazima watambue kuwa maandamano yanayo fanywa na Raila sio ya amani kama anavyo dai bali yana lengo la kufanya vurugu na uhalifu kwa mali za raia.
Mali zilizo haribiwa sio za Rais mstaafu tu bali mali za raia wengine pia zimeharibiwa lakini pia msikiti na kanisa vimechomwa moto, gari la Polisi limechomwa moto.
Kama tatizo ni kupanda kwa gharama za maisha, Bunge la wananchi lipo kwenye kikao linao uwezo Wa kujadili hali hiyo na kuishauri Serikali Cha kufanya, sio mandamano ya vurugu.
Raila akatazwe kuitisha maandamano vinginevyo Kenya inataingia kwenye machafuko makubwa.
Juzi trh 27/3, Tena tumeshuhudia makanisa na misikiti ikichomwa moto na waandamanaji, lakini pia shamba la Rais mstaafu likivamiwa na kupora mali.
Haya matatizo yote ya uharibifu wa mali za watub yamesababishwa na jeuri ya Raila na genge lake kwa kulazimisha maandamano yenye vurugu, endapo Raila asinge lazimisha maandamano hluharibifu usingentokea.
Tumeshuhudia wandamanaji wakiwa wamebena mapanga, marungu mawe na silaha za kijadi, sasa hayo ni maandamano ya kidemokrasia?
Wakenya lazima watambue kuwa maandamano yanayo fanywa na Raila sio ya amani kama anavyo dai bali yana lengo la kufanya vurugu na uhalifu kwa mali za raia.
Mali zilizo haribiwa sio za Rais mstaafu tu bali mali za raia wengine pia zimeharibiwa lakini pia msikiti na kanisa vimechomwa moto, gari la Polisi limechomwa moto.
Kama tatizo ni kupanda kwa gharama za maisha, Bunge la wananchi lipo kwenye kikao linao uwezo Wa kujadili hali hiyo na kuishauri Serikali Cha kufanya, sio mandamano ya vurugu.
Raila akatazwe kuitisha maandamano vinginevyo Kenya inataingia kwenye machafuko makubwa.