TRA Jiridhisheni na kipato cha Mwijaku

Stuxnet

JF-Expert Member
Feb 12, 2011
10,745
18,463
Sina wivu na mafanikio ya mtu yeyote. Jana Mwijaku kazindua nyumba anayodai imegharimu Tsh 1.3 Bilioni. Mwijaku ni msanii wa bongo movie ambaye hivi karibuni amegeuka kuwa "CHAWA".

Sheria ya Mamlaka ya Mapato (TRA) inaruhusu kukagua mapato ya mtu yeyote au kampuni yeyote kujiridhisha kama analipa kodi kadri ya mapato yake.

Screenshot_20240106_083322_Instagram.jpg
 
Mtu yeyooote akiwa na sifa ya kuwa CHAWA maana yake yuko tayari kwa lolote kwa mpambe wake! Atakachoambiwa afanye atafanya! Kuwa container ya cocaine! Kutanuliwa malinda! Kuuwa! Kwa ufupi hakuna dhambi mbaya na maisha ghari kama kuwa CHAWA! Sasa wewe ni chawa na unamiliki mjengo kama uo! Nyumba ni kama mke ina gharama ya kuitunza! Hizo gharama utazimudu kwa hasara ya maisha yako!
 
Tafuta pesa mkuu achana na kuchokonoa yasiyokuhusu, kapata gap ya kutengeneza pesa ,akapiga pesa nawe tafuta ya kwako!,nani ni mmiliki wa UDA,Nyati crossborder transporters?,mtoa mada tumia muda wako kupigania ya kwako achana na yasiyokuhusu
 
Tafuta pesa mkuu achana na kuchokonoa yasiyokuhusu, kapata gap ya kutengeneza pesa ,akapiga pesa nawe tafuta ya kwako!,nani ni mmiliki wa UDA,Nyati crossborder transporters?,mtoa mada tumia muda wako kupigania ya kwako achana na yasiyokuhusu
Nani kakuambia kuwa sina pesa? Eti unaniambia nitafute pesa. Halafu usiniambie hayanihusu kwa kuwa kusema hivyo ni UPUMBAVU.

HII issue ingekuwa haituhusu Watanzania basi Mwijaku mwenyewe asingeiweka public.

Anyway kwa uandishi wako tu inaonekana huna kisomo
 
Well, kwa kazi anazofanya mwijaku ana uwezo wa kujenga hiyo nyumba bila kuyumba, ila kwa gharama ya 1.3B ni mbwembwe tuu katika kujitapa n. K, hamna cha ajabu cha kuifanya hiyo nyumba kuwa na thamani hiyo.

Ni brand ambassador wa makampuni mengi, yupo kwenye payroll ya hayo makampuni wanapomlipa lazima wazuie kodi, jaribu kutafuta total hapo...

Achana na uchawa ambao kuvuta hela kwa matajiri ni kama kumsukuma mlevi. Akiamua kuzunguka kwa watu watatu kwa siku hakosi milioni kwa siku, siyo mlevi wala mraibu wa madawa ya kulevya, labda mademu tuu
 
Mimi huyu jamaa nilimuona hazimo alivyojitoa ufahamu na kujizima data mpaka akatembelea makario heti anashangaa nyumba ya Ali kiba??? Kweli? Nyumba ya Ali Kiba ndo ya kumzuzua mtu? Anaishi Dar es Salaam hipi? Kila kona na mitaa ya Dar watu wana mahekaru ya kutisha! Huyu jamaa ni Chawa hila kwa uchawa niliouona kwa Ali Kiba imezidi!

Google search "mwijaku na nyumba ya Ali Kiba". Ni aibu!
 
Mimi huyu jamaa nilimuona hazimo alivyojitoa ufahamu na kujizima data mpaka akatembelea makario heti anashangaa nyumba ya Ali kiba??? Kweli? Nyumba ya Ali Kiba ndo ya kumzuzua mtu? Anaishi Dar es Salaam hipi? Kila kona na mitaa ya Dar watu wana mahekaru ya kutisha! Huyu jamaa ni Chawa hila kwa uchawa niliouona kwa Ali Kiba imezidi!

Google search "mwijaku na nyumba ya Ali Kiba". Ni aibu!
Wewe hekalu lako liko wapi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Point ni zilezile UKITOBOA utaambiwa UNALIWA yani mmejaa wivu kum*m*ke na Bado mtaumia sana...Mbaya zaidi wengi ni wanaume ndo wanaongoza kuonea wivu wanaume wenzio..Yani kama umepata muda wa kujadili Kipato cha mwanaume mwenzio na kukisimanga basi unatabia za KE au Bado unaumri mdogo sana
 
Nyumba kujengwa miezi 9 kwa bill 1.3..kimahesabu hapa imekaaje? Mzigo alikuwa nao ndio akaanza kujenga..au zingine amezikusanya ndani ya miezi 9..kiasi hicho kweli uchawa pekee wa kulipa laki laki na tumilioni tuchache Au kuna mengine? Ipo possibility kubwa ya kuover value pia kama desturi ya wasanii kusema thamani kubwa na wakati si kweli
 
Sina wivu na mafanikio ya mtu yeyote. Jana Mwijaku kazindua nyumba anayodai imegharimu Tsh 1.3 Bilioni. Mwijaku ni msanii wa bongo movie ambaye hivi karibuni amegeuka kuwa "CHAWA".

Sheria ya Mamlaka ya Mapato (TRA) inaruhusu kukagua mapato ya mtu yeyote au kampuni yeyote kujiridhisha kama analipa kodi kadri ya mapato yake.

View attachment 2863227
Wakati anafanya uchawa mlikuwa mnamdhiaki leo hii katambulisha nyumbabyake mnataka TRA Wamchunguze
 
Nani kakuambia kuwa siona pesa? Eti unaniambia nutafute pesa. Halafu usiniqmbie hayanihusu kwa kuwa kusema hivyo ni UPUMBAVU.

HII issue ingekuwa haituhusu Watanzania basi Mwijaku mwenyewe asingeiweka public.

Anyway kwa uandishi wako tu inaonekana huna kisomo
Means umejipa usemaji wa watanzania toka lini?,uoga wako unakupelekea kuongelea small fish ila mapapa unaogopa, ndio maana upo kimya mlala hoi kufungwa 30yrs kwa kukutwa na si called nyama ya swala wakati mpigaji mkubwa wa tembo pale iringa ni tajiri mkubwa na wapumbavu wengine wanataka awe mbunge wa iringa, it's craze
 
Sina wivu na mafanikio ya mtu yeyote. Jana Mwijaku kazindua nyumba anayodai imegharimu Tsh 1.3 Bilioni. Mwijaku ni msanii wa bongo movie ambaye hivi karibuni amegeuka kuwa "CHAWA".

Sheria ya Mamlaka ya Mapato (TRA) inaruhusu kukagua mapato ya mtu yeyote au kampuni yeyote kujiridhisha kama analipa kodi kadri ya mapato yake.

View attachment 2863227
WAANZE NA WABUNGE ZILE MIL 58 KILA MWEZI
 
Back
Top Bottom