Tatizo la kuchunika ngozi husababishwa na nini?

Trainee

JF-Expert Member
Sep 22, 2018
2,246
2,869
Mtoto anachunika ngozi mikononi na miguuni. Inaanza kama kidoti fulani kisha ukivuta ile sehemu ndo inatoka kipande kikubwa cha ngozi . Hahisi maumivu yoyote na hospital nimeenda wakasema ni kawaida tu wakanipa dawa za minyoo
 
mpeleke kwa daktari bingwa wa magonjwa ya ngozi ampime na achukue vipimo vya damu atakupa majibu sahihi na dawa inayoweza tibu tatizo..... minyoo mpe dozi kulingana na umri wake mbali na hapo unacheza kamari
 
Nadhani kuna shida ya namna unaelezea tatizo. Kuchunika ngozi ni neno zito ujue. Huwezi kusema ngozi inachunik then useme ukiibandua.

Nadhani kuna sehemu unakosea kwenye kauli zako.
 
Nadhani kuna shida ya namna unaelezea tatizo. Kuchunika ngozi ni neno zito ujue. Huwezi kusema ngozi inachunik then useme ukiibandua.

Nadhani kuna sehemu unakosea kwenye kauli zako.
Anababuka ngozi SIO kuchunika km ulipata kidonda au lengelenge maji yakatoka inabakia Ile ngozi ukiibandua
 
Pengine ni mafuta uliyompaka au pengine unakula viti vina affect maziwa anayonyonya

Waone wataalam
 
Back
Top Bottom