Tanzania ya sasa ni ile aliyoona Oscar Kambona, Mwalimu Nyerere alikosea sana

Wewe jamaaa??? Anakuwa nzimuuu???
Unajua kuna tofauti kubwa baina ya "MATAIFA YA FRANCOPHONE" na "MATAIFA YA COMMON WEALTH".

a0dbf8fb81ab8aab1456cf0e943110d6.png

"MATAIFA YA FRANCOPHONE" tangu kipindi cha UKOLONI, wananchi wao waliaminishwa na WAKOLONI ambao ni UFARANSA, kuwa maisha yanaanza baada ya kujiunga na MAJESHI YA ULINZI na USALAMA.

1cc2ac6637e8ea3de43824ce1afdf3a3.png

Yaani baada ya kumaliza ELIMU YA SHULE YA SEKONDARI pamoja na SHULE YA CHUO KIKUU, kinachofuata ni kujiunga na MAJESHI YA ULINZI na USALAMA. Kule KONGO kulikuwa kuna CHUO CHA KIJESHI ambacho kilikuwa maarufu kilichokuwa kinaitwa KANANGA.

53bb877a216485697e718fca3969b08d.png

"MATAIFA YA COMMON WEALTH" tangu kipindi cha UKOLONI, wananchi wao waliaminishwa na WAKOLONI ambao ni UINGEREZA, kuwa maisha yanaanza baada ya kumaliza ELIMU YA SHULE YA SEKONDARI pamoja na SHULE YA CHUO KIKUU na kujiunga na MAJESHI YA ULINZI na USALAMA ilikuwa siyo lazima.

Sasa wale waliokuwa wenyeji wa asili wa MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO yaani PUISSANTS [BSC] walikuwa chini ya UTAWALA WA UFARANSA, ambao ni "JUMUIYA YA MATAIFA YA FRANCOPHONE".

6377ace05f0f6758489997b1df2c2e66.png

PUISSANTS [BSC] hadi leo wanaamini kuwa, ili binadamu akamilike na aweze kujitegemea katika mahitaji yake ya kila siku ni lazima ajiunge na MAJESHI YA ULINZI na USALAMA.

398f2b77cad9a63c6826c302f3d1dd17.png

Kule kwenye MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO yaani PUISSANTS [BSC], wenyeji wengi wa asili walikuwa ni miongoni mwa ASKARI wa MAJESHI YA ULINZI na USALAMA. Kwahiyo wako "VERY AMBITIOUS and STRATEGIC" hata katika masuala yanayohusu maisha ya kawaida.

8911d9c68ff7c8dc914d82e473e36ac0.png

Kabla ya kusambaa katika MATAIFA mbalimbali duniani, ilikuwa ni lazima kujiunga na MAJESHI YA ULINZI na USALAMA. Kwahiyo walikuwa wanasambaa tayari wakiwa ni ASKARI.

9cb32ee1572b1c2f74dc754316330d92.png

Kwa upande wa MATAIFA YA AFRIKA YA MASHARIKI ambayo ni TANZANIA, KENYA na UGANDA [COMMON WEALTH COUNTRIES] walijihami tangu siku dhidi ya wenyeji wa asili wa MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO yaani PUISSANTS [BSC].

1a3a1d070fb0ba2d78406dde9cd30c3c.png

Lakini kwa upande wa MATAIFA YA AFRIKA YA MAGHARIBI walifanikiwa kufanya MAPINDUZI YA KIJESHI na kuongoza baadhi ya MATAIFA ikiwemo BURKINA FASO kupitia kwa aliyekuwa RAIS THOMAS SANKARA.

1a3a1d070fb0ba2d78406dde9cd30c3c.png

Hawa wote wanaonekana kwenye picha ya pamoja ni WAKONGOMANI - kuanzia kwa THOMAS SANKARA [aliyekuwa RAIS WA BURKINA FASO], MIRIAM MAKEBA [AFRIKA YA KUSINI], TSHALA MUANA [KONGO], GEORGES OUÉDRAOGO [BURKINA FASO], NAYANKA BELL [IVORY COAST] na NAHAWA DOUMBIA [MALI] ambao walikutana kwa pamoja katika TAMASHA LA FESPCO, 1985 lililofanyika katika JIJI LA OUAGADOUGOU, nchini BURKINA FASO.

65ff356ed41a99ffca65a5bba1aabaed.png

Wale wenyeji wa asili wa MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO yaani PUISSANTS [BSC] walifanikiwa na wanaendelea kufanikiwa hata miaka ya hivi karibuni, katika kufanya mapinduzi ya kijeshi katika MATAIFA YA AFRIKA YA MAGHARIBI.

e06a891dab6250b0ae67ec320d7b4d48.png

Kwa upande wa MATAIFA YA AFRIKA YA MASHARIKI [COMMON WEALTH COUNTRIES], wale wenyeji wa asili wa MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO yaani PUISSANTS [BSC] wanafahamika na tahadhari zilishachukuliwa dhidi ya SERIKALI, ijapokuwa katika maisha ya kila siku - WANANCHI WA KAWAIDA ndiyo wanaoathirika zaidi.

ba179b2919133715e250a16e5b81391a.png

Kwahiyo, kwa huu UKANDA WA AFRIKA YA MASHARIKI NA KATI [EAST AND CENTRAL AFRICAN COUNTRIES] - wenyeji wa asili wa MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO yaani PUISSANTS [BSC] waliwahi kupata ELIMU YA DARASANI kuliko wale wenyeji wa asili wa MATAIFA YA TANZANIA, KENYA pamoja na UGANDA.
 
Wewe jamaaa??? Anakuwa nzimuuu???
a1698386eccaacefc4dc2b0248e82847.png

Hawa wenyeji wa asili wa MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO yaani PUISSANTS [BSC] walianza kupata ELIMU YA DARASANI kabla ya MATAIFA YA AFRIKA YA MASHARIKI [KENYA, UGANDA na TANZANIA].

379725121c1a9a361f417373524a5b33.png

Huwa wanasema kuna baadhi ya PUISSANTS [BSC] walianza kuingia katika MATAIFA YA AFRIKA YA MASHARIKI hata kabla ya MATAIFA hayo kupata UHURU, huwa ni kweli!.

285b9bd9fe42fb3a33881b19b29aec8f.png

Wale wenyeji wa asili wa MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO yaani PUISSANTS [BSC] walianza kuingia TANGANYIKA hata kabla ya kupatikana kwa UHURU [1961] na walikuwa wanasimamiwa na MKOLONI wao, ambaye ni UFARANSA.

0c7a1d1498873ad40036c27bf695455d.png

Kipindi ambacho wale wenyeji wa asili wa MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO yaani PUISSANTS [BSC] wanahama kwenye MATAIFA yao ya asili, walikuwa wanafundishwa na kupata mafunzo ya kijeshi.

c2088c4bcfe86499d42696a97994e1ea.png

Wenyeji wengi wa MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO yaani PUISSANTS [BSC] walipita katika kile CHUO CHA KIJESHI kinachoitwa KANANGA. Kile CHUO CHA KANANGA kimefundisha watu wengi sana. Miongoni mwao, ni wazazi wa mwanasiasa mmoja nchini TANZANIA anayeitwa KALANGA.

c9e82860bb78eac660860d4cd108e8a3.png

Hawa wenyeji wa asili wa MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO yaani PUISSANTS [BSC] ndiyo wanaitwa "WANAMAPINDUZI" au kwa jina lingine wanaitwa "REVOLUTIONARIES". Huwa wanafanya MAPINDUZI hata kwenye ngazi ya chini kabisa katika jamii ambayo ni FAMILIA.

c6950ca0305ed484c6e84051959bc838.png

Mara nyingi huwa wanaoana wao kwa wao, ikitokea BINTI ameolewa na mtu mwingine anakuwa amejiegesha tu na huwa wanarudi kuzaa kwao. I mean, wanazaa na MWANAUME wa kwao. Ikitokea PUISSANTS WA KIKE [BSC] amezaa na MWANAUME mwingine, ujue huyo alipenda kweli.

33ddee9fa381e414a8adc9429c91a110.png

Kule kwenye MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO yaani PUISSANTS [BSC] - WANAWAKE walikuwa wanaheshimika sana kutokana na UZAZI. Hapo ndiyo nguvu yao ilipokuwa imeegemea, kwa sababu wao ndiyo walikuwa wanaamua nani wa kuzaa nae hata kama wapo kwenye NDOA.

64886dab27d414074cd9cb850ad3da6e.png

Kwa upande wa TAIFA LA TANZANIA - wale waliofanikiwa kuyafahamu haya mambo tangu mapema walijiepusha na wenyeji wa asili wa MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO yaani PUISSANTS [BSC] iwe kwenye MASUALA YA KISIASA na hata KIJAMII, ikiwemo MAHUSIANO YA KIMAPENZI.

Ukiwa unawapuuza na kuwakwepa wale wenyeji wa asili wa MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO yaani PUISSANTS [BSC] unakuwa kama umewashusha thamani, yaani "DISVALUE OF PERSONALITY" na hii ndiyo staili ya kuishi na waathirika wa "VITA VYA WENYEWE KWA WENYEWE".

bf5c7f622d753f2bfa3c07de4aeacb20.png

Hawa wenyeji wa asili wa MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO yaani PUISSANTS [BSC] waliingia kwa wingi sana nchini TANZANIA na hii ilitokana na UKARIMU wa WATANZANIA wenyewe.

54ad4779a45de127f3afa745a55522bd.png

Kwahiyo namna ya kuishi nao wale wenyeji wa asili wa MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO yaani PUISSANTS [BSC], kuna baadhi ya sehemu walifundishwa na kufanikiwa kupata ELIMU ikiwemo MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA, TABORA, KAGERA, RUKWA pamoja na KIGOMA.

Pia kuna baadhi ya maeneo hawakufanikiwa kupata ELIMU ya namna ya kuishi na waathirika wa "VITA VYA WENYEWE KWA WENYEWE". Haya pia ni madhaifu ya SERIKALI YA TANZANIA, kwa sababu VIONGOZI pamoja na SERIKALI wapo salama lakini kuna baadhi ya WANANCHI ambao hawakufanikiwa kupata ELIMU YA WAHAMIAJI hawapo salama.
 
Wewe jamaaa??? Anakuwa nzimuuu???
30f34be0b3ef309c9aa87695f9dcc010.png

HAYATI MOBUTU alijijenga sana katika masuala ya KIUCHUMI na KISIASA na alifanikiwa kuwekeza katika MATAIFA mbalimbali.

c0d381ff564fc7a23d98b9d4a06cb687.png

Lakini shida kubwa aliyokuwa nayo HAYATI MOBUTU, ni kwamba alikuwa anaanzisha VYAMA VYA KISIASA katika MATAIFA mbalimbali kupitia UBALOZI WA ZAIRE. Hali ile ilimuongezea MAADUI WA KISIASA.

8128a48ee58def6adf475abff37ecc65.png

HAYATI MOBUTU alivyokuja kupinduliwa na LAURENT DESIRÉ KABILA, hali ilikuwa ni tofauti kwa sababu kuna baadhi ya watu walishangalia na waliokuwa watu wake wa karibu walihudhunika.

6cb37c436bac58ef6affa4909332e5ff.png

FAMILIA yake ilipalanganyika hadi kupelekea baadhi ya watoto wake na ndugu zake wa karibu kubadilisha majina yao ya asili.

d4653d4963ea2f0879fda0c39f7090a9.png

Mwaka huu, mwezi wa tatu [MACHI] kuna mtoto wake wa kike [CHOTARA] aliyefanikiwa kumzaa akiwa anaishi uhamishoni alikuja TANZANIA na akafanikiwa kufika hadi katika ule MKOA WA SHINYANGA ambapo anaishi MWENYEKITI WA PUISSANTS [MKOA WA SHINYANGA]. Huyo MWENYEKITI WA PUISSANTS [MKOA WA SHINYANGA] anaonekana ana cheo kikubwa kwa upande wao.

6abf122b1b3763ce6576d95e3d795876.png

Kwahiyo kiujumla pamoja na kujilimbikizia UKWASI WA KUTISHA, bado historia na mienendo ya wale wenyeji wa asili wa MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO yaani PUISSANTS [BSC] siyo mizuri kutokana na zilizokuwa siasa za MATAIFA yao.
 
Yani chair person awe Tz alafu jeshi au sirikal haijui??? Hahaha
dca999fcb9cd6775be083143da533b9c.png

SERIKALI itakuwa inafahamu, hakuna shida yoyote na alikuwa anatumia gari ya aina hiyo kipindi yupo SHINYANGA MJINI.

Maana sasa hivi ukiwa SHINYANGA MJINI idadi kubwa ya wakaazi ni ASKARI. Kila KONA na kila MAHALA wametapakaa.

Sasa tatizo linakuja kwao! Kwanini wanahangaika wakati wakirudi katika MATAIFA yao wanapokelewa vizuri. Haya ndiyo matokeo ya "VITA VYA WENYEWE KWA WENYEWE" yaani "CIVIL WAR", wanakuwa wanaishi kwa hofu.
 
hapo unataka kutuambia nnn
61cc26e3b5f49168572c43256206d2b4.png

JUMUIYA YA AFRIKA YA MASHARIKI yaani "EAST AFRICAN COMMUNITY [EAC]" ilikuwa inajumuisha MATAIFA YA TANZANIA, KENYA na UGANDA. Ilikuwa inajumuisha UDUGU [na kuna watoto walizaliwa wa JUMUIYA] na masuala yote yanayohusu UCHUMI na ULINZI.

Baadae kuna MATAIFA kama RWANDA, BURUNDI, KONGO na SUDANI YA KUSINI yalifanikiwa kujiunga na kutengeneza JUMUIYA YA KIUCHUMI YA AFRIKA YA MASHARIKI yaani "EAST AFRICAN REGIONAL ECONOMIC BLOC".

c541652ec742ac76f951359a08c68639.png

Sasa kwa upande wa MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO yaani PUISSANTS [BSC], hususani MATAIFA YA RWANDA na BURUNDI itachukua muda mrefu hadi kueleweka kwa upande wa WANAJUMUIYA WA AFRIKA YA MASHARIKI. Yaani inabidi ELIMU itolewe kwa WANAJUMUIYA na wapate kuelewa kuhusu mabadiliko ya kisiasa yaliyofanyika katika MATAIFA YA RWANDA na BURUNDI [1994].
 
hapo unataka kutuambia nnn
IMG_20240426_124101_066.jpg

Hii ni KONGO! Kipindi cha msimu wa mvua, barabara zinakuwa hazipitiki kabisa. Unaweza kujikuta unatumia wiki moja kutembea umbali wa kilomita 500, hata mwezi unaweza kumaliza..😁🇨🇩

IMG_20240426_124108_386.jpg

Kule usafiri mkubwa wa abiria huwa ni NDEGE au TRENI, maana barabara huwa ni mbovu na hauwezi kulinganisha na TANZANIA hata kidogo.

b6d74e6fa2b55e2ee5a9ecedfc7d1d59.png

Lakini ukijaribu kuangalia kampuni binafsi ambazo wanamiliki WAKONGOMANI nje ya TAIFA LA KONGO, utashangaa!


Wao wamejitahidi sana kuwekeza katika MATAIFA mbalimbali duniani, hasa MATAIFA YA AFRIKA YA MAGHARIBI. Lakini kwao hakuna maendeleo wala amani na WAKONGOMANI wengi walihama TAIFA lao.

1dbb504d681dbbd8012e3ab77e867eb1.png

Hiyo ndiyo KONGO! Wanamiliki hadi VYAMA VYA KISIASA kwa upande wa MATAIFA mengine, lakini kwao kuna VITA VYA WENYEWE KWA WENYEWE, yaani "CIVIL WAR".

a83f13393717f00c5859d750e78fcd7a.png

Hali hii ni tofauti kabisa na iliyokuwa JUMUIYA YA AFRIKA YA MASHARIKI [KENYA, UGANDA na TANZANIA]. Wenyeji wa asili wa MATAIFA YA KENYA, UGANDA na TANZANIA wako "VERY PROUD" na MATAIFA yao.
 
hapo unataka kutuambia nnn

HAYATI MWALIMU alifanikiwa kujenga TAIFA LA TANZANIA na hata alipong'atuka mwaka 1985, aliyefuata baada yake alikuwa ni MZEE RUKSA. Pia na yeye alifanya vizuri kwa upande wake, japo kuna mambo mengine hayakwenda vizuri.

IMG_20240429_221331_117.jpg

Hii ni KONGO! Hawa MAJIRANI zetu ambao ni wenyeji wa asili wa MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO yaani PUISSANTS [BSC] walikuwa wana matatizo yao tangu siku nyingi.

IMG_20240429_221343_287.jpg

Kwa sababu ilikuwa sio busura kujihusisha na SIASA ZA MATAIFA mengine na kufanikiwa kuanzisha VYAMA VYA KISIASA, ilhali katika MATAIFA yao [MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO] kulikuwa kuna VITA VYA WENYEWE KWA WENYEWE, yaani "CIVIL WAR".

f83c8d7a8c1c0aa6d1363133d4a78a08.png

Ile hali ya kujihusisha na SIASA ZA MATAIFA mengine ndiyo iliyopelekea MAPINDUZI YA KISIASA kwa MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO yaani PUISSANTS [BSC].
 
hapo unataka kutuambia nnn
Hawa ndiyo wenyeji wa asili wa TAIFA LA TANZANIA Haya hapa ndio makabira 125 Tz , je we uko namba ngapi hapo na ndiyo wanatambulika tangu na hata kabla ya kupatikana kwa uhuru wa TANGANYIKA na ZANZIBARI! Walio ongezeka baada ya hapo waliitwa WALOWEZI.

WALOWEZI ni neno rasmi linalotambulika katika "KAMUSI YA LUGHA YA KISWAHILI" ikiwa na maana ya WAHAMIAJI waliofanikiwa kuhamia sehemu fulani na kuakisi tamaduni za wenyeji wa asili.

ddcab28f71290222a4c343658965e6e1.png

Sasa hawa MATAIFA JIRANI ya RWANDA, BURUNDI na KONGO yaani PUISSANTS [BSC] walikuwa wana matatizo yao tangu siku nyingi na TANZANIA haikupaswa kuwaingilia, hata kama walikuwa wanahatarisha USALAMA WA TANZANIA.

0fd39036f9819f40ffa5375e37357e87.png

TANZANIA ilipaswa kuimarisha mipaka yake na siyo kuingilia migogoro ya hawa wenyeji wa asili wa MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO yaani PUISSANTS [BSC].

95d6e900b3596231aabf859f596540eb.png

Haya pia yalikuwa ni MAKOSA YA KISIASA yaliyofanyika kipindi kile cha miaka ya tisini [1990's] ambapo MZEE RUKSA akiwa ameshika hatamu. Lakini pia tunaweza kusema kuwa HAYATI MWALIMU alishuhudia makosa yakitendeka.

20408990edae129fcfcf522e6d259f36.png

Migogoro ya wenyeji wa asili wa MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO yaani PUISSANTS [BSC] walipaswa kuachiwa wale JUMUIYA YA FRANCOPHONE ili waweze kumaliza matatizo yao, hasa KONGO - BRAZZAVILLE.

48db266f4a66162adf87bc3cb1bc58a7.png

Lakini badala yake, TANZANIA ilichukua nafasi ya JUMUIYA YA FRANCOPHONE na kusuluhisha migogoro ya wenyeji wa asili wa MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO yaani PUISSANTS [BSC].

3be22b457cf9bed1f2fb08e3d0f12391.png

Idadi kubwa ya wenyeji wa asili wa MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO yaani PUISSANTS [BSC] walipata fursa ya kuhamia nchini TANZANIA na kufanikiwa kujihusisha na SIASA ZA TANZANIA.

4a0933aadab427c4d8a2dd79110809e8.png

Haya pia yalikuwa ni MAKOSA MENGINE YA KISIASA, kwa sababu siyo sahihi kuwaruhusu WALOWEZI walioathirika na VITA VYA WENYEWE KWA WENYEWE, yaani "CIVIL WAR" kujihusisha na SIASA na hatimae kuanzisha VYAMA VYA KISIASA katika TAIFA JIRANI ambalo linasifika kuwa ni TAIFA lenye amani na utulivu kwa kipindi kirefu.

493ed5417888471960f468f8142d7ab2.png

Wale wenyeji wa asili wa MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO yaani PUISSANTS [BSC] walifanikiwa kuanzisha VYAMA VYA KISIASA kwa upande wa TAIFA LA TANZANIA na wanashiriki chaguzi mbalimbali na walifanikiwa kupata fursa za ajira kama WATANZANIA wengine.

faa6f4bef9f9912d552cfa7604e51da0.png

Sasa hivi shida imehamia kwa upande wa TAIFA LA TANZANIA ambapo "JOTO LA KISIASA" huwa linapanda kila inapofika MWEZI WA NNE [APRIL]. Sijui tunafanyaje hapo..😁

IMG_20240502_133752.jpg

Kwahiyo, mambo yanayoendelea sasa hivi kwa upande wa TAIFA LA TANZANIA ni makosa ya kiuongozi yaliyokuwa yakifanyika katika AWAMU YA KWANZA na AWAMU YA PILI.
 
Hawa ndiyo wenyeji wa asili wa TAIFA LA TANZANIA Haya hapa ndio makabira 125 Tz , je we uko namba ngapi hapo na ndiyo wanatambulika tangu na hata kabla ya kupatikana kwa uhuru wa TANGANYIKA na ZANZIBARI! Walio ongezeka baada ya hapo waliitwa WALOWEZI.

WALOWEZI ni neno rasmi linalotambulika katika "KAMUSI YA LUGHA YA KISWAHILI" ikiwa na maana ya WAHAMIAJI waliofanikiwa kuhamia sehemu fulani na kuakisi tamaduni za wenyeji wa asili.

Sasa hawa MATAIFA JIRANI ya RWANDA, BURUNDI na KONGO yaani PUISSANTS [BSC] walikuwa wana matatizo yao tangu siku nyingi na TANZANIA haikupaswa kuwaingilia, hata kama walikuwa wanahatarisha USALAMA WA TANZANIA.

TANZANIA ilipaswa kuimarisha mipaka yake na siyo kuingilia migogoro ya hawa wenyeji wa asili wa MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO yaani PUISSANTS [BSC].

Haya pia yalikuwa ni MAKOSA YA KISIASA yaliyofanyika kipindi kile cha miaka ya tisini [1990's] ambapo MZEE RUKSA akiwa ameshika hatamu. Lakini pia tunaweza kusema kuwa HAYATI MWALIMU alishuhudia makosa yakitendeka.

Migogoro ya wenyeji wa asili wa MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO yaani PUISSANTS [BSC] walipaswa kuachiwa wale JUMUIYA YA FRANCOPHONE ili waweze kumaliza matatizo yao, hasa KONGO - BRAZZAVILLE.

Lakini badala yake, TANZANIA ilichukua nafasi ya JUMUIYA YA FRANCOPHONE na kusuluhisha migogoro ya wenyeji wa asili wa MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO yaani PUISSANTS [BSC].

Idadi kubwa ya wenyeji wa asili wa MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO yaani PUISSANTS [BSC] walipata fursa ya kuhamia nchini TANZANIA na kufanikiwa kujihusisha na SIASA ZA TANZANIA.

Haya pia yalikuwa ni MAKOSA MENGINE YA KISIASA, kwa sababu siyo sahihi kuwaruhusu WALOWEZI walioathirika na VITA VYA WENYEWE KWA WENYEWE, yaani "CIVIL WAR" kujihusisha na SIASA na hatimae kuanzisha VYAMA VYA KISIASA katika TAIFA JIRANI ambalo linasifika kuwa ni TAIFA lenye amani na utulivu kwa kipindi kirefu.

Wale wenyeji wa asili wa MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO yaani PUISSANTS [BSC] walifanikiwa kuanzisha VYAMA VYA KISIASA kwa upande wa TAIFA LA TANZANIA na wanashiriki chaguzi mbalimbali na walifanikiwa kupata fursa za ajira kama WATANZANIA wengine.

Sasa hivi shida imehamia kwa upande wa TAIFA LA TANZANIA ambapo "JOTO LA KISIASA" huwa linapanda kila inapofika MWEZI WA NNE [APRIL]. Sijui tunafanyaje hapo..😁


Kwahiyo, mambo yanayoendelea sasa hivi kwa upande wa TAIFA LA TANZANIA ni makosa ya kiuongozi yaliyokuwa yakifanyika katika AWAMU YA KWANZA na AWAMU YA PILI.
Hao bsc wakae kwa kutulia, hata kam wamehamia mwak 1900,
 
Tangu nipo shule ya msingi tulikuwa tunaaminishwa kwamba Mwl Nyerere ndio "icon" pekee hapa nchini, tulikuwa tunaimba nyimbo nyingi ni za kumsifu, lakini hatukuwahi kuambiwa kuwa kuna watu wengine ambao bila wao mwalimu "asingetoboa" na pengine tusingemjua kabisa mwalimu Nyerere, au story yake ingekua "short lived". Mmoja wa hao watu ni OSCAR KAMBONA.

Nimezaliwa hapa Tanzania miaka ya 90 mpaka nimekua mtu mzima kila kitu ni Nyerere tu. Kambona nilimsikia baadae sana baada ya kusikia kisa cha huyu mtu nikawa interested sana kufuatilia stories zake.

kwa mujibu wa maandiko Kambona alikuwa bega kwa bega na mwalimu ktk kudai uhuru yaani ilikuwa akitoka mwalimu anaefuata ni Kambona lakini huwezi sikia hichi kitu kinasemwa waziwazi na pengine bila mawazo na support ya Kambona mwalimu "angefeli vibaya mno".

Kambona ndio mtu aliezima mapinduzi yalioilenga serikali ya Nyerere kutoka kwa askari waliotaka kuasi, yaani kwa ufupi ni kwamba Nyerere asingeendelea kuwa mtawala wa nchi hii kama sio Kambona.

Kambona aliona mbali kuliko mwalimu Tanzania ya sasa ndio aliyoiona Kambona lakini mwalimu alipinga, Kambona aliona ubepari ndio utafanya kazi lakini mwalimu aliona ujamaa ndio unafaa, mwalimu "failed miserably" akatupeleka chaka mpaka leo we still pay for his "grave mistake".

Mwalimu alikuwa mbishi na aliamini kwamba yeye ndio ana maono bora kuliko wengine, chochote kile ambacho kilikuwa hakiendani na sera zake alikipinga hata kama kilikuwa "viable".

Fikiria mtu mmoja tu kaenda Urusi akafurahishwa na mfumo wa ujamaa akaja kuufanyia "experiment" hapa nchini na ukafeli kwa sababu alikataa kusikiliza maoni ya watu wengine, kwa wakati huo mwalimu ndio alikuwa "kila kitu".

Kambona akatofautiana na mwalimu , yeye alitaka ubepari mwalimu alitaka ujamaa. Kutokana na ushawishi mwalimu alishinda japo Kambona ndie aliyekua sahihi lakini hawakumskiliza.

Baadae mwalimu alijua amekosea akaturudisha kwenye Ubepari na bado akaonekana ni "hero" . Kitu ambacho Oscar alikiona miaka kadhaa kabla wakati huo mwalimu alikuwa "blind" almost everyone was blind except the very few including Kambona.

Haya leo 2021, TZ hii ya leo ndio Kambona aliyoiona na tumechelewa sana, kwa mtazamo wangu bado tupo nyuma kwa miaka 15 kutokana na sera mbovu Mwalimu nyerere.

Wote ni marehemu wapumzike kwa amani lakini, mwisho wa siku Oscar Kambona ndio AMESHINDA!!!!! Kwangu mimi shujaa wa kweli nchi hii ni OSCAR KAMBONA na sio mwalimu! Na ndio mtu muhimu sana sawa na mwalimu lakini ndio aliesahaulikia kuliko wote nchi hii

Natamani Watanzania wengi tuliozaliwa miaka ya 90 tujue habari za huyu shujaa ambaye ni co-founder wa hii nchi kwangu mimi alichangia 50% ktk kutengeneza taifa hili sawasawa na mwalimu, yaani ni kama vile "stive wozniak na stive jobs", steve jobs alitumia akili za stive wozniak na credit akajiapa yeye mwenyewe

Aliyeweka Nyerere day kama public holiday alitumia vigezo gani ilihali si kweli kwamba Nyerere ndie mtu pekee aliepigania uhuru wa nchi hii

Ukiniambia nichague kati ya Nyerere na Kambona itakua ni Kambona always

UPDATE:
Watu wengi kwenye comments wanasema kwamba ujamaa ulituleta karibu, lakini ujamaa huohuo ndio uliotuletea umaskini, kwa hiyo logic yake ni kwamba mwalimu alichagua umaskini na umoja dhidi ya maendeleo ambayo hatuna uhakika kama yangetugawa, lakini kabla ya yote Kambona alimshauri kwamba kabla ya ku adopt ujamaa tuufanyie kwanza majaribio , tutengeneze vijiji vichache ambavyo vitaishi kijamaa ili tuone hii system itafanya kazi lakini mwalimu alikataa akaiingiza moja kwa moja bila kujua risks zake ni nini kitu ambacho kambona alishakiona


"Oscar Kambona was one of the best presidents Tanzania never had"
refence:

====

OSCAR KAMBONA: KIONGOZI MAHIRI, MTANASHATI NA RAFIKI KIPENZI WA MWALIMU NYERERE ALIYEISHIA KUWA ADUI YAKE MKUBWA!!!

Christopher Makwaia

WhatsApp%2BImage%2B2019-01-27%2Bat%2B19.28.10.jpeg

1. Usuli
Jioni ya Ijumaa ya tarehe 13.8.1925, huku mvua kubwà na radi kali zikirindima kijijini Kwambe, wilayani Mbinga, Mkoani Ruvuma, alizaliwa mtoto wa kiume akiwa buheri wa afya. Wazazi wa mtoto huyo, Rev. DAVID KAMBONA na Bi. MARIAM KAMBONA, wakampa mtoto huyo jina la OSCAR SATHIEL DAVID KAMBONA. Mvua na radi hiyo, kwa mujibu wa mila za kijijini hapo, "nyumbi hii, bombi hii", ilikuwa ni baraka na ishara kuwa mtoto huyo atakujakuwa wa kipekee.

2. Elimu Chini ya Mwembe
KAMBONA, tofauti na watoto wengine, hakusomea shuleni elimu ya awali bali alifundishwa na wazazi wake pamoja na mjomba wake ambao wote walikuwa walimu. Mafunzo hayo ya awali yalikuwa yakifanyika chini ya mwembe huku chai na mihogo vikiwa pembeni.

3. Elimu ya "Middle School"
Baadae KAMBONA alipelekwa shule ya Kati ya Mt. Barnabas, Liuli. Akiwa shuleni hapo, KAMBONA alikuwa kipanga na "aliwatimulia vumbi" wanafunzi wote kwa miaka yote alipokuwa shuleni hapo.

4. Alliance Sec. School
KAMBONA alifaulu vizuri mitihani yake na akachaguliwa kujiunga na "Alliance Sec. School", Idodomia ambayo baadae ikajaitwa Mazengo Sec. School. Almanusra KAMBONA asiendelee na masomo kwani baba yake hakuwa na uwezo wa kulipa £ 30 kwa mwaka. Uwezo wa KAMBONA "kutema yai" ndio uliomponya kwani alifanikiwa kumshawishi Askofu kumlipia ada hiyo baada ya kusali Sala ya Baba Yetu kwa Kiingereza!.

5. Tabora Boyz Sec. School
KAMBONA alisoma shule hii pamoja na J. Lusinde, E. Mzena, B. Ngwilulupi, A. Nsekela, A. Nyirenda na K. Chiume. Ni akiwa shuleni hapo ndipo kwa mara ya kwanza, KAMBONA alionana na NYERERE aliyekuwa akifundisha St. Marys, Tabora.
WhatsApp%2BImage%2B2019-01-27%2Bat%2B19.28.11%25281%2529.jpeg

6. Ualimu Alliance Sec. School
Baadae, KAMBONA alienda kufundisha shule hii na akakutana na J. Lusinde na K. Chiume na baadae akawa "Schoolmaster".

7. KAMBONA akutana na NYERERE tena
KAMBONA alikutana na NYERERE kwa mara ya 2 kwenye Mkutano wa taifa wa waalimu mwaka 1954.

8. KAMBONA Ajiunga TANU
Mwaka 1955, KAMBONA alijiunga na TANU iliyozaliwa tarehe 7.7.1954 na akaonesha bidii kubwa huku akifanya kazi kwa kujitolea kwani TANU haikuwa na fedha. Bidii yake ilipelekea kuwa Katibu Mkuu wa TANU.

9. KAMBONA Awaingiza TANU Watanganyika 100,000
KAMBONA alitembea nchi nzima kwa miezi 6 akionana na Machifu na wanavijiji na kufanikiwa kuingiza wanachama 10,000. Baadae akiendelea na harakati hizo na baada ya miezi 12 akawa ameingiza wanachama 100,000. Viongozi wenzake wa TANU walimpongeza sana kwani TANU ikawa inaenea kwa kasi sana.
WhatsApp%2BImage%2B2019-01-27%2Bat%2B19.28.11%25282%2529.jpeg

10. KAMBONA Afungua Akaunti ya Kwanza ya TANU
KAMBONA alikuwa na mawazo ya kimaendeleo kwani kutokana na michango ya wanachama aliweza kufungua akaunti ya kwanza ya TANU. Kwa hakika, hili lilikuwa ni jambo la kihistoria.

11. KAMBONA afuma "Governor's Scholarship" kusomea Sheria, UK
Mwaka 1957, KAMBONA alipata fursa ya kwenda UK kusomea LLB kwa miaka 3 na hivyo akaenda huko.

12. KAMBONA Awa Mtangazaji wa 1 wa Kiswahili BBC 1957
Tarehe 27.6.1957, KAMBONA aliweka historia kwa kutangaza Kiswahili BBC kwa mara ya 1 akisema-: "Hapa ni London, kwa mara ya kwanza BBC inawaletea habari kwa Kiswahili wananchi wa Afrika Mashariki. Asalaam Aleikhum".

13. KAMBONA awa Mwenyekiti wa TANU London
Kutokana na talanta yake kubwa ya uongozi, KAMBONA alichaguliwa kuwa Kiongozi wa wanafunzi chuoni na Mwenyekiti wa Tawi la TANU, London.

14. KAMBONA na NYERERE Washeachumba Chuoni London
Kati ya tarehe 26.6.1959 na 7.8.1959, NYERERE alikwenda UK kwa matayarisho ya uhuru wa Tanganyika na akalala chumba kimoja na KAMBONA ambaye walikuwa "wameshibana" sana. Katika "Press Conference" ya 1991 KAMBONA alisema- "TANU haikuwa na hela hivyo ili kubana matumizi, nikakaa na NYERERE room yangu chuoni na hii ilisaidia tuwe na muda mwingi wa majadiliano".

15. KAMBONA Amuoa MISS Tanganyika
Tarehe 19.11.1960, KAMBONA alimuoa Miss Tanganyika mrembo, Bi. FLORA MORIYO toka Kilimanjaro. Harusi hiyo ya kukata na shoka ilifanyika St. Paul Cathedral, London na kuhudhuriwa na wageni waalikwa 400. NYERERE alikuwa ndiye msimamizi aliyemsindikiza Bi. FLORA altareni. Ilikuwa ni harusi ya kwanza ya watu weusi kanisani hapo na ilitoka kwenye magazeti mbalimbali ya Ulaya.
WhatsApp%2BImage%2B2019-01-27%2Bat%2B19.28.12.jpeg

16. KAMBONA Arejea Bongo
KAMBONA alirejea Bongo kuendelea na harakati za uhuru akihudumu kama Waziri wa Elimu na Katibu Mkuu wa TANU.

17. KAMBONA Awa Waziri wa 1 wa Mambo ya Nje
Katika Baraza la kwanza la Mawaziri la Tanganyika, KAMBONA aliteuliwa kuwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ulinzi.

18. KAMBONA Kipenzi cha 2 cha Wananchi baada ya NYERERE
KAMBONA alipendwa sana nchini kwani alikuwa msomi, mwanasiasa hodari, mtanashati na vijana wengi walimuiga staili yake ya nywele "KAMBONA Style". Kwa hakika, KAMBONA alipendwa sana.

19. KAMBONA- Kiongozi PEKEE Aliyewakabili Waasi, 1964
Usiku wa tarehe 19.1.1964, askari wa kambi ya Colito(Lugalo) waliasi wakidai marupurupu na nafasi za juu za vyeo kwa Waafrika. Rais NYERERE na Mh. RASHID MFAUME KAWAWA walitoroshwa na mlinzi wao, PETER BWIMBWO usiku wa manani hadi Kigamboni na kufichwa kwenye nyumbaya Mzee KIZWEZWE.

Mawaziri wote walibanisha makwao baada ya kupigiwa simu na Mh. J. LUSINDE, Waziri wa Mambo ya Ndani, kuhofia usalama wao. KAMBONA ndiye pekee aliyeingia "fronti" kwani si tu raia waliokuwa wakimpenda bali pia askari. Waasi walionekana kutulia baada ya mambo yao kuwekwa sawa lakini baada ya Rais NYERERE kuibukia Ikulu toka mafichoni baada ya siku 3, waasi "wakalianzisha" tena hivyo ikabidi maasi hayo yalizimwe kwa msaada wa Waingereza na baadae Wanaijeria.

20. KAMBONA Ashuhudia mchakato wa Muungano 1964
KAMBONA alikuwa ni mmoja wa mawaziri wachache sana waliokuwa wakijua mchakato wote wa muungano kwa undani na pia alishuhudia utiaji saini hati za muungano huko Zenji, tarehe 22.4.1964 kati ya Rais NYERERE na Rais wa Zanzibar, Mh. ABEID AMAN KARUME.

21. KAMBONA Atofautiana na NYERERE Mfumo wa Chama Kimoja
Baada ya ziara ya China 1965, NYERERE alivutiwa na "alikuwaameoza" kwa siasa za China na mfumo wao wa siasa hivyo akaunda Tume tarehe 28.1.1964 ili ipendekeze mfumo gani unaifaa nchi yetu. Tume hiyo ilikuwa chini ya Mh. KAWAWA ikapendekeza mfumo wa chama kimoja. KAMBONA, ambaye daima alikuwa hapepesi macho wala hayumbishwi, aliweka kunji na kutosaini ripoti hiyo na badala yake akatayarisha ripoti yake ya kutaka mfumo wa vyama vingi na NYERERE akahuzunishwa sana na msimamo huo wa KAMBONA.

Kipindi hiki NYERERE aliishamuondoa KAMBONA kwenye wizara zile nyeti.

22. NYERERE "Amchana" kiaina KAMBONA 77 ya 1966
Tarehe 7.7.1966, NYERERE, akihutubia Taifa katika sherehe za 77, NYERERE alitumia mafumbo "kumpa za uso" KAMBONA ambapo alisema viongozi wanaonekana kujipatia mali nyingi kiajabu hawafai hata kidogo.

23. KAMBONA Ajiuzulu u-Waziri na U-Katibu Mkuu TANU 1967
Tarehe 9.6.1967, KAMBONA alibwaga manyanga kwa kujiuzulu U-Katibu Mkuu wa TANU na Uwaziri wa Serikali za Mitaa na Maendeleo Vijijini ambapo alitaja sababu za kiafya kuwa ndizo zilipelekea achukue uamuzi huo.

24. KAMBONA Atorokea Kenya, 1967 ki-James Bond
Kwakuwa KAMBONA alikuwa ni mtoto wa mjini, alitonywa kwamba kuna mpango wa kumkamata na kumsweka kizuizini. Hivyo, usiku wa kuamkia tarehe 26.7.1967, KAMBONA, mkewe, watoto wake 2 na msaidizi wa kazi walifunga virago na ku-drive hadi Kenya kwa staili ya "James Bond"! Watu wengi walipigwa butwaa ni kwq vipi aliweza kutoroka bila kubambwa!.

Usiku wa siku hiyo jijini Nairobi, KAMBONA na familia yake walikwea "pipa" East African Airways Flight 720 kwenda "Kwa Mama, huku, huku nyuma ikadaiwa alitoroka na mamilioni ya fedha!.

25. NYERERE Aelezea "Kusepa" kwa KAMBONA
Siku chache baada ya KAMBONA "kula kona", NYERERE, akiongea na viongozi wa TANU Morogoro, alisema : "Itachukua muda mrefu kufahamu sababu za Bw. KAMBONA kujiuzulu, lakini jambo moja ni dhahiri; KAMBONA amenidanganya mimi, TANU, TZ na Afrika".

26. KAMBONA Ajitetea UK
Baada ya kusikia vijineno kwamba amesepa na mamilioni, tarehe 6.9.1967, KAMBONA alikanusha vikali na kuitaka serikali ya Tanzania iwasiliane na ya Kenya kupata uthibitisho kitu ambacho serikali ya TZ hakikufanyika.

27. OTTIN na MATTIYA KAMBONA "Wasukumiziwa Ndani", 1967
Hawa wadogo zake KAMBONA walionja "joto ya jiwe" kwani walinyakwa usiku tarehe 30.12.1967 na kuwekwa kizuizini, Ukonga. Familia zao zikasambaratika vibaya sana kufuatia kukamatwa kwao. OTTIN alikuwa ni "Journalist" na MATTIYA alikuwa mfanyakazi Wizara ya Kilimo. OTTIN alikuwa amemuoa raia wa Martinique na walikuwa na watoto 2 wadogo na MATTIYA alikuwa amemuoa Mgambia wakiwa na mtoto wa miezi 3 tu. Wanawake hao walifukuziliwa mbali na kurudishwa makwao pamoja na watoto wao!.

28. KAWAWA "Amchana" KAMBONA Bungeni, 1968
Jumanne ya tarehe 23.1.1968, KAWAWA, 2nd VP, alilitaarifu Bunge:
"Wote mnajua kwamba Bw. KAMBONA aliikimbia nchi mwaka jana, 1967. Kabla hajaondoka, tarehe 6.12.1966, TZS 500.000/= ziliingizwa kwenye akaunti yake toka benki moja ya Uingereza. Uchunguzi wa BOT toka KAMBONA atoroke umeonesha kuwa tangu Juni 1965 na Desemba 1966, KAMBONA aliingiza katika akaunti yake jijini Dsm TZS 896,800/=. Kambona pia alikuwa anamiliki majumba mengi (Nyumba Magomeni-Plot No. 21,39 31), (Kunduchi bichi-Plot No.28), (Msasani bichi -Plot No. 92), (Morogoro-Plot No. 89) ns (Songea-Plot No.21)".

29. KAMBONA Amchana NYERERE nchini Nigeria, 1968
Baada ya TZ kuitambua Biafra, serikali ya Rais YAKUB GOWON ilikasirishwa sana hivyo ilimwalika KAMBONA aichafue TZ . Kwahakika, "jipu likawa limepata mkunaji" Hivyo, KAMBONA akaenda na kutoa muadhara Lagos tarehe 14.6.1968 ambapo "alimchana" vilivyo Rais NYERERE na kumwita dikteta. KAMBONA akaonesha kukosa uzalendo kwa taifa lake pale alipozomoka, bila ushahidi, kwamba TZ imepeleka vifaa vya kijeshi Biafra badala ya Zimbabwe!.

30. TANU "Yamfyekelea mbali" KAMBONA
NEC ya TANU iliyokuwa ikiketi Tanga, tarehe 19.10.1968, ilimvua uanachama KAMBONA pamoja na wabunge wengine 8 "Vichwa-maji" waliohoji uhalali wa TANU kuwa juu ya Bunge. Wabunge hao ni W. Mwakitwange, M. Choga, S. Kibuga, J. Bakampenja, E. Anangisye, G. Kaneno na Dr. F. Masha.

31. NYERERE "Amchana" tena KAMBONA, 1969
Tarehe 12.1.1969 kwenye sherehe za Mapinduzi Znz, NYERERE "alimuwakia" KAMBONA na kusema- "KAMBONA ni mwizi na mhuni kisiasa.

32. KAMBONA Akejeliwa Mashuleni na Majeshini
Nyimbo nyingi za kumkejeli KAMBONA zilitungwa majeshini na mashuleni lakini zilizokuwa maarufu ni hizi 2:
1. KAOMBONA Kaolewa wapi....? Kwa Wazungu...Kisa nini?...Tamaa ya Mali!

2. Alimselema ...alija, akija KAMBONA chinja... chinjilia mbali..!

33. KAMBONA Adaiwa ni _"Mastermind"_wa Uhaini, 1969
Mwaka 1969, KAMBONA alidaiwa kuwa "Mastermind" wa uhaini. Mashitaka yalikuwa kwamba washtakiwa 7 wakishirikiana na KAMBONA kati ya Machi 1968 na Octoba 1969, walitaka kumuua Rais NYERERE na kuipindua serikali. Washtakiwa hao 7 ni (Bibi Titi Mohamed , Michael Kamaliza, Gray Mattaka, John na Eliya Chipaka, Capt A. Milinga na W. Chacha).

Kesi ilianza kurindima Jumatatu tarehe 6.6.1970 na ilisikilizwa na Jaji Mkuu Georges na iliendeshwa na AG Mark Bomani. Wanafunzi wa Sekondari Tambaza(F.V Arts akiwepo Othman Chande, Jaji Mkuu wa 7) walikuwa wakijongo vipindi kwenda kortin kushuhudia kesi hii iliyokuwa na mvuto wa aina yake.

Washtakiwa wote walitiwa hatiani kasoro A. Milinga na KAMBONA ambaye hakuwepo. M. Kamaliza na mwenzake walipigwa "mvua" 10 na wengine walifungwa maisha na Bibi Titi akapata msamaha 1972.

34. OTTIN MATTIYA Waachiwa 1978
Tarehe 5.2.1978, katika kusheherekea mwaka 1 wa kuzaliwa CCM, NYERERE, akitumia ibaracya 45 ya Katiba, aliwaachia huru OTTIN na MATTIYA pamoja na JOSEPH KASELABANTU(Mwasisi wa TANU). OTTIN na MATTIYA, baada ya kugundua familia zao hazipo, wakaona Bongo hamna ishu nao wakaamua pia kusepa. Walivuka mpaka wa TZ na Kenya usiku Kininja kwani mpaka huo ulikuwa umefungwa kutokana na uhasama bainavya TZ na Kenya na wakaelekea UK.

35. NYERERE NA KAMBONA walikuwa majirani Msasani
Baada ya KAMBONA kuondoka nchini 1967, nyumba yake ikawa inakaliwa na Rais MILTON OBOTE kwa takribani miaka 10 baada ya kupinduliwa na Nduli IDD AMIN, 1971.

36. Vyama Vingi vyaanzishwa Bongo, KAMBONA ataka kurejea
Baada ya mfumo wa vyama vingi kuanzishwa mwaka 1992, KAMBONA akiwa London alisema, ije mvua, lije jua, anarejea kwenye Taifa lake. Serikali ikamuonya kuwa asithubutu na akijifanya fyatu au kichwa-maji akatia pua yake tu Bongo, "hakuna rangi ataacha kuiona".

37. KAMBONA Aitunishia msuli serikali, Atinga Bongo
KAMBONA aliamua kuwa kama "Mbwai, mbwai tu" hivyo akaonesha "Shoo za kibabe" na kurejea nchini akisafiria nyaraka za Umoja wa Mataifa zilizotolewa na serikali ya UK. Aliporejea hakukamatwa na badala yake, tarehe 4.9.1992, serikali ilimpa miezi 3 aweke sawa uraia wake kwakuwa ni Mmalawi! Miezi hiyo iliisha tarehe 4.12.1992 na serikali "ikaufyata" kwani haikumfanya kitu chochote!.

38. KAMBONA aeleza sababu za kutoroka, 1967
Baada ya kurejea nchini, KAMBONA alikata kiu ya wote waliotaka kujua kilichopelekea asepe "Kwa Mama" ni nini ambapo alitiririka: "Mimi na NYERERE tumetoka mbali. Sisi ndio tuliokuwa Viongozi wakuu wa TANU; Yeye Mwenyekiti, mimi Katibu Mkuu. NYERERE aliporudi toka China 1965 alitaka kuleta sera za China na mfumo wa chama kimoja. Nikapingana nae.."

39. KAMBONA Aeleza alichokuwa akifanya UK
Wiki 2 baada ya kurejea nchini, KAMBONA alitiririka kitu alichokuwa akifanya nchini Uingereza kwa miaka 25 aliyoishi huko ambapo alisema- "I did business. I used to go to the Arab countries but this did not last. I then depended on income support from Britain. Every Tuesday You take your book to the Post office...

40. KAMBONA atishia "Kumwaga ugali na mboga" kuhusu NYERERE
Badala ya kushugulikia uraia, KAMBONA akaendeleza bifu lake na NYERERE ambapo alisema anataka kufanya mkutano mkubwa viwanja vya Jangwani ili aeleze ufisadi wa NYERERE. Mapadri na masheikh walimsihi sana lakini akashikilia msimamo wake.

41. KAMBONA Ambwelambwela Jangwani, 1992
Tarehe 21.11.1992, viwanja vya Jangwani viliweka rekodi kutokana na umati mkubwa wa "wapenda ubuyu" uliojitokeza toka mida ya mchana kulisikia Jabali hilo litaeleza nini kuhusu Baba wa Taifa, Mwalimu NYERERERE.

KAMBONA aliwaboa sana 90% ya waliohudhuria kwani alidai, bila ushahidi, kuwa NYERERE, AMIR JAMAL na KAWAWA wameficha mamilioni ya fedha mabenki ya Ulaya. KAMBONA akaenda mbali na kudai NYERERE ni Mtutsi, KAWAWA na MKAPA ni watu wa Msumbiji na MALECELA ni Mcongoman!. Ikaonekana ni hekaya za Abunuwasi na hadithi za Esopo tu!

42. NYERERE Amjibu KAMBONA
NYERERE, siku chache baadaye akiwa Msasani, aling'aka- "Mimi ni lofa. I dont have a single penny abroad, I can assure you. Kama RASHID na AMIR hawawekwi kundi la watu waaminifu duniani, labda neno uaminifu ni neno tu, halina maana. Hawa ni waaminifu sana. Pia, mimi sipendi kuhusishwa na mambo ya kijingajinga. Ni makosa kushindana na kundi la wapumbavu. Kambona alete ushahidi maana "any blessed fool could stand up there" na kusema chochote".

43. MAWAKILI wamchimba Mkwara-Mbuzi KAMBONA
Baada ya KAMBONA kutoa kashfa dhidi ya viongozi hao mashuhuri nchini, mawakili wa Viongozi hao walimpa siku 14 toka tarehe 8.12.1992 kuomba radhi au kutoa ushahidi.

KAMBONA aliwajibu kuwa _"Mtu mzima hatishiwi nyau"_na akachekesha watu pale alipodai _"Nondo" zake kuhusu "bank accounts" za viongozi hao amezisahau UK!.

44. KAMBONA Aunda TADEA
KAMBONA aliunda chama cha TADEA ambacho hakikuleta upinzani wowote wa maana.

45. KAMBONA afariki London, 1997
KAMBONA alifariki jijini London mwaka 1997 na mwili wake kuletwa nchini na kupokelewa na ndugu zake na kiongozi wa serikali, Mh. J.M. KIKWETE, Waziri wa Mambo ya Nje. Rafiki yake NYERERE hawakuwahi kuonana toka atoroke mwaka 1967 na wala hakwenda kwenye mazishi yake.

46. RAIS KIKWETE Akutana na Mke wa KAMBONA, 2007
Tarehe 28.6.2007 katika hotel ya Kilimanjaro Kempisk, Rais wa awamu ya nne, Mh. JK alikuwa mgeni rasmi kwenye sherehe za miaka 50 ya BBC KISWAHILI. Mh. JK, akiwa na mcheshi na mwenye bashasha kama kawaida yake, alikutana na kusalimiana na Bi. FLORA KAMBONA ambaye alikuwa mgeni mahsusi kwani mmewe, KAMBONA ndiye aliyekuwa Mtangazaji wa 1 wa BBC Kiswahili, 1957.

46. MWISHO:
Huyu ndiye OSCAR SATIEL DAVID KAMBONA aliyekuwa chanda na pete na Mwalimu NYERERE lakini mwisho wakawa maadui wasio na mfanowe!.

Tafakuri Tunduizi:
ATIKALI HII YA KUKATA NA SHOKA ina Tafakuri Tunduizi 100!!!

OSCAR KAMBONA: KIONGOZI MAHIRI, MTANASHATI NA RAFIKI KIPENZI WA MWALIMU NYERERE ALIYEISHIA KUWA ADUI YAKE MKUBWA!!! - MICHUZI BLOG (issamichuzi.blogspot.com)

Oscar Kambona - Wikipedia

View attachment 1983785
Uko sahihi mkuu
 
Hao bsc wakae kwa kutulia, hata kam wamehamia mwak 1900,
Wale wenyeji wa asili wa MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO yaani PUISSANTS [BSC] ndivyo walivyo na hawatakuja kubadilika.

VITA VYA WENYEWE KWA WENYEWE, yaani CIVIL WAR iliwaathiri sana kiasi ambacho wamekuwa na MATATIZO YA KISAIKOLOJIA.

3de015d1a63448695dbcb7f6e1881514.png

Ukitaka kuelewa vizuri, jaribu kutumia tukio la mwaka 2012/13 pale katika CHUO KIKUU CHA DODOMA [UDOM] - KITIVO CHA SAYANSI YA JAMII [COHSS] kama "CASE STUDY".

Wale wote waliokuwa VIONGOZI WA SERIKALI YA WANAFUNZI pale KITIVO CHA SAYANSI YA JAMII [COHSS] mwaka 2012/13, kuanzia RAIS, SPIKA na NAIBU SPIKA walikuwa ni wenyeji wa asili wa MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO yaani PUISSANTS [BSC] kutoka katika TAIFA LA KONGO 🇨🇩.

Sasa yule RAIS WA SERIKALI YA WANAFUNZI WA COHSS aliiba pesa [10,000,000 Tshs] kutoka katika mfuko wa SERIKALI YA WANAFUNZI na akatolewa na SPIKA WA BUNGE LA WANAFUNZI WA COHSS. Yule RAIS aliyeiba PESA ZA WANAFUNZI alienda kulala POLISI kama siku saba hivi. SPIKA WA BUNGE LA WANAFUNZI WA COHSS alifanikiwa kuvunja SERIKALI YA WANAFUNZI WA KITIVO CHA COHSS na kuwa RAIS WA KITIVO CHA COHSS baada ya kufanya KIKAO CHA BUNGE.

Baadae yule SPIKA WA BUNGE LA WANAFUNZI WA COHSS aliyefanikiwa kuwa RAIS "alidisco" masomo yake na kushindwa kuendelea na nafasi yake ya URAIS.

Yaani pale katika KITIVO CHA COHSS ilikosekana JESHI tu! Maana kama JESHI lingelikuwepo, risasi zingelindima..😁

Baada ya "kudisco" kwa aliyekuwa SPIKA WA BUNGE LA COHSS, aliyefuata kuwa RAIS WA COHSS alikuwa ni NAIBU SPIKA WA BUNGE LA COHSS na yeye "alidisco" masomo yake akiwa anaingia muhula wa pili.

Sasa SERIKALI YA WANAFUNZI WA COHSS ilishindwa kujiendesha kutokana na viongozi wote kuenguliwa. Aliyebaki alikuwa ni MAKAMU WA RAIS pekee yake.

Baada ya hapo "KIKATIBA", ilibidi SERIKALI YA WANAFUNZI kwa upande wa SHIRIKISHO [FEDERATION] iingilie kati ili kuweza kuendesha SERIKALI YA WANAFUNZI WA COHSS.

DOCUMENT 442 (2).jpg

Ndiyo MANING NICE akawa RAIS WA AWAMU YA TANO katika KITIVO CHA COHSS kutoka SHIRIKISHO [FEDERATION]. Hii ikiwa ni CHAGUO LA NNE baada ya kuenguliwa kwa RAIS, SPIKA WA BUNGE na NAIBU SPIKA WA BUNGE WA KITIVO CHA COHSS.

Kwahiyo yale mambo yaliyotokea katika KITIVO CHA COHSS [2012 /13] yanasadifu hali ya kisiasa ilivyokuwa katika MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO yaani PUISSANTS [BSC].
 
Tangu nipo shule ya msingi tulikuwa tunaaminishwa kwamba Mwl Nyerere ndio "icon" pekee hapa nchini, tulikuwa tunaimba nyimbo nyingi ni za kumsifu, lakini hatukuwahi kuambiwa kuwa kuna watu wengine ambao bila wao mwalimu "asingetoboa" na pengine tusingemjua kabisa mwalimu Nyerere, au story yake ingekua "short lived". Mmoja wa hao watu ni OSCAR KAMBONA.

Nimezaliwa hapa Tanzania miaka ya 90 mpaka nimekua mtu mzima kila kitu ni Nyerere tu. Kambona nilimsikia baadae sana baada ya kusikia kisa cha huyu mtu nikawa interested sana kufuatilia stories zake.

kwa mujibu wa maandiko Kambona alikuwa bega kwa bega na mwalimu ktk kudai uhuru yaani ilikuwa akitoka mwalimu anaefuata ni Kambona lakini huwezi sikia hichi kitu kinasemwa waziwazi na pengine bila mawazo na support ya Kambona mwalimu "angefeli vibaya mno".

Kambona ndio mtu aliezima mapinduzi yalioilenga serikali ya Nyerere kutoka kwa askari waliotaka kuasi, yaani kwa ufupi ni kwamba Nyerere asingeendelea kuwa mtawala wa nchi hii kama sio Kambona.

Kambona aliona mbali kuliko mwalimu Tanzania ya sasa ndio aliyoiona Kambona lakini mwalimu alipinga, Kambona aliona ubepari ndio utafanya kazi lakini mwalimu aliona ujamaa ndio unafaa, mwalimu "failed miserably" akatupeleka chaka mpaka leo we still pay for his "grave mistake".

Mwalimu alikuwa mbishi na aliamini kwamba yeye ndio ana maono bora kuliko wengine, chochote kile ambacho kilikuwa hakiendani na sera zake alikipinga hata kama kilikuwa "viable".

Fikiria mtu mmoja tu kaenda Urusi akafurahishwa na mfumo wa ujamaa akaja kuufanyia "experiment" hapa nchini na ukafeli kwa sababu alikataa kusikiliza maoni ya watu wengine, kwa wakati huo mwalimu ndio alikuwa "kila kitu".

Kambona akatofautiana na mwalimu , yeye alitaka ubepari mwalimu alitaka ujamaa. Kutokana na ushawishi mwalimu alishinda japo Kambona ndie aliyekua sahihi lakini hawakumskiliza.

Baadae mwalimu alijua amekosea akaturudisha kwenye Ubepari na bado akaonekana ni "hero" . Kitu ambacho Oscar alikiona miaka kadhaa kabla wakati huo mwalimu alikuwa "blind" almost everyone was blind except the very few including Kambona.

Haya leo 2021, TZ hii ya leo ndio Kambona aliyoiona na tumechelewa sana, kwa mtazamo wangu bado tupo nyuma kwa miaka 15 kutokana na sera mbovu Mwalimu nyerere.

Wote ni marehemu wapumzike kwa amani lakini, mwisho wa siku Oscar Kambona ndio AMESHINDA!!!!! Kwangu mimi shujaa wa kweli nchi hii ni OSCAR KAMBONA na sio mwalimu! Na ndio mtu muhimu sana sawa na mwalimu lakini ndio aliesahaulikia kuliko wote nchi hii

Natamani Watanzania wengi tuliozaliwa miaka ya 90 tujue habari za huyu shujaa ambaye ni co-founder wa hii nchi kwangu mimi alichangia 50% ktk kutengeneza taifa hili sawasawa na mwalimu, yaani ni kama vile "stive wozniak na stive jobs", steve jobs alitumia akili za stive wozniak na credit akajiapa yeye mwenyewe

Aliyeweka Nyerere day kama public holiday alitumia vigezo gani ilihali si kweli kwamba Nyerere ndie mtu pekee aliepigania uhuru wa nchi hii

Ukiniambia nichague kati ya Nyerere na Kambona itakua ni Kambona always

UPDATE:
Watu wengi kwenye comments wanasema kwamba ujamaa ulituleta karibu, lakini ujamaa huohuo ndio uliotuletea umaskini, kwa hiyo logic yake ni kwamba mwalimu alichagua umaskini na umoja dhidi ya maendeleo ambayo hatuna uhakika kama yangetugawa, lakini kabla ya yote Kambona alimshauri kwamba kabla ya ku adopt ujamaa tuufanyie kwanza majaribio , tutengeneze vijiji vichache ambavyo vitaishi kijamaa ili tuone hii system itafanya kazi lakini mwalimu alikataa akaiingiza moja kwa moja bila kujua risks zake ni nini kitu ambacho kambona alishakiona


"Oscar Kambona was one of the best presidents Tanzania never had"
refence:

====

OSCAR KAMBONA: KIONGOZI MAHIRI, MTANASHATI NA RAFIKI KIPENZI WA MWALIMU NYERERE ALIYEISHIA KUWA ADUI YAKE MKUBWA!!!

Christopher Makwaia

WhatsApp%2BImage%2B2019-01-27%2Bat%2B19.28.10.jpeg

1. Usuli
Jioni ya Ijumaa ya tarehe 13.8.1925, huku mvua kubwà na radi kali zikirindima kijijini Kwambe, wilayani Mbinga, Mkoani Ruvuma, alizaliwa mtoto wa kiume akiwa buheri wa afya. Wazazi wa mtoto huyo, Rev. DAVID KAMBONA na Bi. MARIAM KAMBONA, wakampa mtoto huyo jina la OSCAR SATHIEL DAVID KAMBONA. Mvua na radi hiyo, kwa mujibu wa mila za kijijini hapo, "nyumbi hii, bombi hii", ilikuwa ni baraka na ishara kuwa mtoto huyo atakujakuwa wa kipekee.

2. Elimu Chini ya Mwembe
KAMBONA, tofauti na watoto wengine, hakusomea shuleni elimu ya awali bali alifundishwa na wazazi wake pamoja na mjomba wake ambao wote walikuwa walimu. Mafunzo hayo ya awali yalikuwa yakifanyika chini ya mwembe huku chai na mihogo vikiwa pembeni.

3. Elimu ya "Middle School"
Baadae KAMBONA alipelekwa shule ya Kati ya Mt. Barnabas, Liuli. Akiwa shuleni hapo, KAMBONA alikuwa kipanga na "aliwatimulia vumbi" wanafunzi wote kwa miaka yote alipokuwa shuleni hapo.

4. Alliance Sec. School
KAMBONA alifaulu vizuri mitihani yake na akachaguliwa kujiunga na "Alliance Sec. School", Idodomia ambayo baadae ikajaitwa Mazengo Sec. School. Almanusra KAMBONA asiendelee na masomo kwani baba yake hakuwa na uwezo wa kulipa £ 30 kwa mwaka. Uwezo wa KAMBONA "kutema yai" ndio uliomponya kwani alifanikiwa kumshawishi Askofu kumlipia ada hiyo baada ya kusali Sala ya Baba Yetu kwa Kiingereza!.

5. Tabora Boyz Sec. School
KAMBONA alisoma shule hii pamoja na J. Lusinde, E. Mzena, B. Ngwilulupi, A. Nsekela, A. Nyirenda na K. Chiume. Ni akiwa shuleni hapo ndipo kwa mara ya kwanza, KAMBONA alionana na NYERERE aliyekuwa akifundisha St. Marys, Tabora.
WhatsApp%2BImage%2B2019-01-27%2Bat%2B19.28.11%25281%2529.jpeg

6. Ualimu Alliance Sec. School
Baadae, KAMBONA alienda kufundisha shule hii na akakutana na J. Lusinde na K. Chiume na baadae akawa "Schoolmaster".

7. KAMBONA akutana na NYERERE tena
KAMBONA alikutana na NYERERE kwa mara ya 2 kwenye Mkutano wa taifa wa waalimu mwaka 1954.

8. KAMBONA Ajiunga TANU
Mwaka 1955, KAMBONA alijiunga na TANU iliyozaliwa tarehe 7.7.1954 na akaonesha bidii kubwa huku akifanya kazi kwa kujitolea kwani TANU haikuwa na fedha. Bidii yake ilipelekea kuwa Katibu Mkuu wa TANU.

9. KAMBONA Awaingiza TANU Watanganyika 100,000
KAMBONA alitembea nchi nzima kwa miezi 6 akionana na Machifu na wanavijiji na kufanikiwa kuingiza wanachama 10,000. Baadae akiendelea na harakati hizo na baada ya miezi 12 akawa ameingiza wanachama 100,000. Viongozi wenzake wa TANU walimpongeza sana kwani TANU ikawa inaenea kwa kasi sana.
WhatsApp%2BImage%2B2019-01-27%2Bat%2B19.28.11%25282%2529.jpeg

10. KAMBONA Afungua Akaunti ya Kwanza ya TANU
KAMBONA alikuwa na mawazo ya kimaendeleo kwani kutokana na michango ya wanachama aliweza kufungua akaunti ya kwanza ya TANU. Kwa hakika, hili lilikuwa ni jambo la kihistoria.

11. KAMBONA afuma "Governor's Scholarship" kusomea Sheria, UK
Mwaka 1957, KAMBONA alipata fursa ya kwenda UK kusomea LLB kwa miaka 3 na hivyo akaenda huko.

12. KAMBONA Awa Mtangazaji wa 1 wa Kiswahili BBC 1957
Tarehe 27.6.1957, KAMBONA aliweka historia kwa kutangaza Kiswahili BBC kwa mara ya 1 akisema-: "Hapa ni London, kwa mara ya kwanza BBC inawaletea habari kwa Kiswahili wananchi wa Afrika Mashariki. Asalaam Aleikhum".

13. KAMBONA awa Mwenyekiti wa TANU London
Kutokana na talanta yake kubwa ya uongozi, KAMBONA alichaguliwa kuwa Kiongozi wa wanafunzi chuoni na Mwenyekiti wa Tawi la TANU, London.

14. KAMBONA na NYERERE Washeachumba Chuoni London
Kati ya tarehe 26.6.1959 na 7.8.1959, NYERERE alikwenda UK kwa matayarisho ya uhuru wa Tanganyika na akalala chumba kimoja na KAMBONA ambaye walikuwa "wameshibana" sana. Katika "Press Conference" ya 1991 KAMBONA alisema- "TANU haikuwa na hela hivyo ili kubana matumizi, nikakaa na NYERERE room yangu chuoni na hii ilisaidia tuwe na muda mwingi wa majadiliano".

15. KAMBONA Amuoa MISS Tanganyika
Tarehe 19.11.1960, KAMBONA alimuoa Miss Tanganyika mrembo, Bi. FLORA MORIYO toka Kilimanjaro. Harusi hiyo ya kukata na shoka ilifanyika St. Paul Cathedral, London na kuhudhuriwa na wageni waalikwa 400. NYERERE alikuwa ndiye msimamizi aliyemsindikiza Bi. FLORA altareni. Ilikuwa ni harusi ya kwanza ya watu weusi kanisani hapo na ilitoka kwenye magazeti mbalimbali ya Ulaya.
WhatsApp%2BImage%2B2019-01-27%2Bat%2B19.28.12.jpeg

16. KAMBONA Arejea Bongo
KAMBONA alirejea Bongo kuendelea na harakati za uhuru akihudumu kama Waziri wa Elimu na Katibu Mkuu wa TANU.

17. KAMBONA Awa Waziri wa 1 wa Mambo ya Nje
Katika Baraza la kwanza la Mawaziri la Tanganyika, KAMBONA aliteuliwa kuwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ulinzi.

18. KAMBONA Kipenzi cha 2 cha Wananchi baada ya NYERERE
KAMBONA alipendwa sana nchini kwani alikuwa msomi, mwanasiasa hodari, mtanashati na vijana wengi walimuiga staili yake ya nywele "KAMBONA Style". Kwa hakika, KAMBONA alipendwa sana.

19. KAMBONA- Kiongozi PEKEE Aliyewakabili Waasi, 1964
Usiku wa tarehe 19.1.1964, askari wa kambi ya Colito(Lugalo) waliasi wakidai marupurupu na nafasi za juu za vyeo kwa Waafrika. Rais NYERERE na Mh. RASHID MFAUME KAWAWA walitoroshwa na mlinzi wao, PETER BWIMBWO usiku wa manani hadi Kigamboni na kufichwa kwenye nyumbaya Mzee KIZWEZWE.

Mawaziri wote walibanisha makwao baada ya kupigiwa simu na Mh. J. LUSINDE, Waziri wa Mambo ya Ndani, kuhofia usalama wao. KAMBONA ndiye pekee aliyeingia "fronti" kwani si tu raia waliokuwa wakimpenda bali pia askari. Waasi walionekana kutulia baada ya mambo yao kuwekwa sawa lakini baada ya Rais NYERERE kuibukia Ikulu toka mafichoni baada ya siku 3, waasi "wakalianzisha" tena hivyo ikabidi maasi hayo yalizimwe kwa msaada wa Waingereza na baadae Wanaijeria.

20. KAMBONA Ashuhudia mchakato wa Muungano 1964
KAMBONA alikuwa ni mmoja wa mawaziri wachache sana waliokuwa wakijua mchakato wote wa muungano kwa undani na pia alishuhudia utiaji saini hati za muungano huko Zenji, tarehe 22.4.1964 kati ya Rais NYERERE na Rais wa Zanzibar, Mh. ABEID AMAN KARUME.

21. KAMBONA Atofautiana na NYERERE Mfumo wa Chama Kimoja
Baada ya ziara ya China 1965, NYERERE alivutiwa na "alikuwaameoza" kwa siasa za China na mfumo wao wa siasa hivyo akaunda Tume tarehe 28.1.1964 ili ipendekeze mfumo gani unaifaa nchi yetu. Tume hiyo ilikuwa chini ya Mh. KAWAWA ikapendekeza mfumo wa chama kimoja. KAMBONA, ambaye daima alikuwa hapepesi macho wala hayumbishwi, aliweka kunji na kutosaini ripoti hiyo na badala yake akatayarisha ripoti yake ya kutaka mfumo wa vyama vingi na NYERERE akahuzunishwa sana na msimamo huo wa KAMBONA.

Kipindi hiki NYERERE aliishamuondoa KAMBONA kwenye wizara zile nyeti.

22. NYERERE "Amchana" kiaina KAMBONA 77 ya 1966
Tarehe 7.7.1966, NYERERE, akihutubia Taifa katika sherehe za 77, NYERERE alitumia mafumbo "kumpa za uso" KAMBONA ambapo alisema viongozi wanaonekana kujipatia mali nyingi kiajabu hawafai hata kidogo.

23. KAMBONA Ajiuzulu u-Waziri na U-Katibu Mkuu TANU 1967
Tarehe 9.6.1967, KAMBONA alibwaga manyanga kwa kujiuzulu U-Katibu Mkuu wa TANU na Uwaziri wa Serikali za Mitaa na Maendeleo Vijijini ambapo alitaja sababu za kiafya kuwa ndizo zilipelekea achukue uamuzi huo.

24. KAMBONA Atorokea Kenya, 1967 ki-James Bond
Kwakuwa KAMBONA alikuwa ni mtoto wa mjini, alitonywa kwamba kuna mpango wa kumkamata na kumsweka kizuizini. Hivyo, usiku wa kuamkia tarehe 26.7.1967, KAMBONA, mkewe, watoto wake 2 na msaidizi wa kazi walifunga virago na ku-drive hadi Kenya kwa staili ya "James Bond"! Watu wengi walipigwa butwaa ni kwq vipi aliweza kutoroka bila kubambwa!.

Usiku wa siku hiyo jijini Nairobi, KAMBONA na familia yake walikwea "pipa" East African Airways Flight 720 kwenda "Kwa Mama, huku, huku nyuma ikadaiwa alitoroka na mamilioni ya fedha!.

25. NYERERE Aelezea "Kusepa" kwa KAMBONA
Siku chache baada ya KAMBONA "kula kona", NYERERE, akiongea na viongozi wa TANU Morogoro, alisema : "Itachukua muda mrefu kufahamu sababu za Bw. KAMBONA kujiuzulu, lakini jambo moja ni dhahiri; KAMBONA amenidanganya mimi, TANU, TZ na Afrika".

26. KAMBONA Ajitetea UK
Baada ya kusikia vijineno kwamba amesepa na mamilioni, tarehe 6.9.1967, KAMBONA alikanusha vikali na kuitaka serikali ya Tanzania iwasiliane na ya Kenya kupata uthibitisho kitu ambacho serikali ya TZ hakikufanyika.

27. OTTIN na MATTIYA KAMBONA "Wasukumiziwa Ndani", 1967
Hawa wadogo zake KAMBONA walionja "joto ya jiwe" kwani walinyakwa usiku tarehe 30.12.1967 na kuwekwa kizuizini, Ukonga. Familia zao zikasambaratika vibaya sana kufuatia kukamatwa kwao. OTTIN alikuwa ni "Journalist" na MATTIYA alikuwa mfanyakazi Wizara ya Kilimo. OTTIN alikuwa amemuoa raia wa Martinique na walikuwa na watoto 2 wadogo na MATTIYA alikuwa amemuoa Mgambia wakiwa na mtoto wa miezi 3 tu. Wanawake hao walifukuziliwa mbali na kurudishwa makwao pamoja na watoto wao!.

28. KAWAWA "Amchana" KAMBONA Bungeni, 1968
Jumanne ya tarehe 23.1.1968, KAWAWA, 2nd VP, alilitaarifu Bunge:
"Wote mnajua kwamba Bw. KAMBONA aliikimbia nchi mwaka jana, 1967. Kabla hajaondoka, tarehe 6.12.1966, TZS 500.000/= ziliingizwa kwenye akaunti yake toka benki moja ya Uingereza. Uchunguzi wa BOT toka KAMBONA atoroke umeonesha kuwa tangu Juni 1965 na Desemba 1966, KAMBONA aliingiza katika akaunti yake jijini Dsm TZS 896,800/=. Kambona pia alikuwa anamiliki majumba mengi (Nyumba Magomeni-Plot No. 21,39 31), (Kunduchi bichi-Plot No.28), (Msasani bichi -Plot No. 92), (Morogoro-Plot No. 89) ns (Songea-Plot No.21)".

29. KAMBONA Amchana NYERERE nchini Nigeria, 1968
Baada ya TZ kuitambua Biafra, serikali ya Rais YAKUB GOWON ilikasirishwa sana hivyo ilimwalika KAMBONA aichafue TZ . Kwahakika, "jipu likawa limepata mkunaji" Hivyo, KAMBONA akaenda na kutoa muadhara Lagos tarehe 14.6.1968 ambapo "alimchana" vilivyo Rais NYERERE na kumwita dikteta. KAMBONA akaonesha kukosa uzalendo kwa taifa lake pale alipozomoka, bila ushahidi, kwamba TZ imepeleka vifaa vya kijeshi Biafra badala ya Zimbabwe!.

30. TANU "Yamfyekelea mbali" KAMBONA
NEC ya TANU iliyokuwa ikiketi Tanga, tarehe 19.10.1968, ilimvua uanachama KAMBONA pamoja na wabunge wengine 8 "Vichwa-maji" waliohoji uhalali wa TANU kuwa juu ya Bunge. Wabunge hao ni W. Mwakitwange, M. Choga, S. Kibuga, J. Bakampenja, E. Anangisye, G. Kaneno na Dr. F. Masha.

31. NYERERE "Amchana" tena KAMBONA, 1969
Tarehe 12.1.1969 kwenye sherehe za Mapinduzi Znz, NYERERE "alimuwakia" KAMBONA na kusema- "KAMBONA ni mwizi na mhuni kisiasa.

32. KAMBONA Akejeliwa Mashuleni na Majeshini
Nyimbo nyingi za kumkejeli KAMBONA zilitungwa majeshini na mashuleni lakini zilizokuwa maarufu ni hizi 2:
1. KAOMBONA Kaolewa wapi....? Kwa Wazungu...Kisa nini?...Tamaa ya Mali!

2. Alimselema ...alija, akija KAMBONA chinja... chinjilia mbali..!

33. KAMBONA Adaiwa ni _"Mastermind"_wa Uhaini, 1969
Mwaka 1969, KAMBONA alidaiwa kuwa "Mastermind" wa uhaini. Mashitaka yalikuwa kwamba washtakiwa 7 wakishirikiana na KAMBONA kati ya Machi 1968 na Octoba 1969, walitaka kumuua Rais NYERERE na kuipindua serikali. Washtakiwa hao 7 ni (Bibi Titi Mohamed , Michael Kamaliza, Gray Mattaka, John na Eliya Chipaka, Capt A. Milinga na W. Chacha).

Kesi ilianza kurindima Jumatatu tarehe 6.6.1970 na ilisikilizwa na Jaji Mkuu Georges na iliendeshwa na AG Mark Bomani. Wanafunzi wa Sekondari Tambaza(F.V Arts akiwepo Othman Chande, Jaji Mkuu wa 7) walikuwa wakijongo vipindi kwenda kortin kushuhudia kesi hii iliyokuwa na mvuto wa aina yake.

Washtakiwa wote walitiwa hatiani kasoro A. Milinga na KAMBONA ambaye hakuwepo. M. Kamaliza na mwenzake walipigwa "mvua" 10 na wengine walifungwa maisha na Bibi Titi akapata msamaha 1972.

34. OTTIN MATTIYA Waachiwa 1978
Tarehe 5.2.1978, katika kusheherekea mwaka 1 wa kuzaliwa CCM, NYERERE, akitumia ibaracya 45 ya Katiba, aliwaachia huru OTTIN na MATTIYA pamoja na JOSEPH KASELABANTU(Mwasisi wa TANU). OTTIN na MATTIYA, baada ya kugundua familia zao hazipo, wakaona Bongo hamna ishu nao wakaamua pia kusepa. Walivuka mpaka wa TZ na Kenya usiku Kininja kwani mpaka huo ulikuwa umefungwa kutokana na uhasama bainavya TZ na Kenya na wakaelekea UK.

35. NYERERE NA KAMBONA walikuwa majirani Msasani
Baada ya KAMBONA kuondoka nchini 1967, nyumba yake ikawa inakaliwa na Rais MILTON OBOTE kwa takribani miaka 10 baada ya kupinduliwa na Nduli IDD AMIN, 1971.

36. Vyama Vingi vyaanzishwa Bongo, KAMBONA ataka kurejea
Baada ya mfumo wa vyama vingi kuanzishwa mwaka 1992, KAMBONA akiwa London alisema, ije mvua, lije jua, anarejea kwenye Taifa lake. Serikali ikamuonya kuwa asithubutu na akijifanya fyatu au kichwa-maji akatia pua yake tu Bongo, "hakuna rangi ataacha kuiona".

37. KAMBONA Aitunishia msuli serikali, Atinga Bongo
KAMBONA aliamua kuwa kama "Mbwai, mbwai tu" hivyo akaonesha "Shoo za kibabe" na kurejea nchini akisafiria nyaraka za Umoja wa Mataifa zilizotolewa na serikali ya UK. Aliporejea hakukamatwa na badala yake, tarehe 4.9.1992, serikali ilimpa miezi 3 aweke sawa uraia wake kwakuwa ni Mmalawi! Miezi hiyo iliisha tarehe 4.12.1992 na serikali "ikaufyata" kwani haikumfanya kitu chochote!.

38. KAMBONA aeleza sababu za kutoroka, 1967
Baada ya kurejea nchini, KAMBONA alikata kiu ya wote waliotaka kujua kilichopelekea asepe "Kwa Mama" ni nini ambapo alitiririka: "Mimi na NYERERE tumetoka mbali. Sisi ndio tuliokuwa Viongozi wakuu wa TANU; Yeye Mwenyekiti, mimi Katibu Mkuu. NYERERE aliporudi toka China 1965 alitaka kuleta sera za China na mfumo wa chama kimoja. Nikapingana nae.."

39. KAMBONA Aeleza alichokuwa akifanya UK
Wiki 2 baada ya kurejea nchini, KAMBONA alitiririka kitu alichokuwa akifanya nchini Uingereza kwa miaka 25 aliyoishi huko ambapo alisema- "I did business. I used to go to the Arab countries but this did not last. I then depended on income support from Britain. Every Tuesday You take your book to the Post office...

40. KAMBONA atishia "Kumwaga ugali na mboga" kuhusu NYERERE
Badala ya kushugulikia uraia, KAMBONA akaendeleza bifu lake na NYERERE ambapo alisema anataka kufanya mkutano mkubwa viwanja vya Jangwani ili aeleze ufisadi wa NYERERE. Mapadri na masheikh walimsihi sana lakini akashikilia msimamo wake.

41. KAMBONA Ambwelambwela Jangwani, 1992
Tarehe 21.11.1992, viwanja vya Jangwani viliweka rekodi kutokana na umati mkubwa wa "wapenda ubuyu" uliojitokeza toka mida ya mchana kulisikia Jabali hilo litaeleza nini kuhusu Baba wa Taifa, Mwalimu NYERERERE.

KAMBONA aliwaboa sana 90% ya waliohudhuria kwani alidai, bila ushahidi, kuwa NYERERE, AMIR JAMAL na KAWAWA wameficha mamilioni ya fedha mabenki ya Ulaya. KAMBONA akaenda mbali na kudai NYERERE ni Mtutsi, KAWAWA na MKAPA ni watu wa Msumbiji na MALECELA ni Mcongoman!. Ikaonekana ni hekaya za Abunuwasi na hadithi za Esopo tu!

42. NYERERE Amjibu KAMBONA
NYERERE, siku chache baadaye akiwa Msasani, aling'aka- "Mimi ni lofa. I dont have a single penny abroad, I can assure you. Kama RASHID na AMIR hawawekwi kundi la watu waaminifu duniani, labda neno uaminifu ni neno tu, halina maana. Hawa ni waaminifu sana. Pia, mimi sipendi kuhusishwa na mambo ya kijingajinga. Ni makosa kushindana na kundi la wapumbavu. Kambona alete ushahidi maana "any blessed fool could stand up there" na kusema chochote".

43. MAWAKILI wamchimba Mkwara-Mbuzi KAMBONA
Baada ya KAMBONA kutoa kashfa dhidi ya viongozi hao mashuhuri nchini, mawakili wa Viongozi hao walimpa siku 14 toka tarehe 8.12.1992 kuomba radhi au kutoa ushahidi.

KAMBONA aliwajibu kuwa _"Mtu mzima hatishiwi nyau"_na akachekesha watu pale alipodai _"Nondo" zake kuhusu "bank accounts" za viongozi hao amezisahau UK!.

44. KAMBONA Aunda TADEA
KAMBONA aliunda chama cha TADEA ambacho hakikuleta upinzani wowote wa maana.

45. KAMBONA afariki London, 1997
KAMBONA alifariki jijini London mwaka 1997 na mwili wake kuletwa nchini na kupokelewa na ndugu zake na kiongozi wa serikali, Mh. J.M. KIKWETE, Waziri wa Mambo ya Nje. Rafiki yake NYERERE hawakuwahi kuonana toka atoroke mwaka 1967 na wala hakwenda kwenye mazishi yake.

46. RAIS KIKWETE Akutana na Mke wa KAMBONA, 2007
Tarehe 28.6.2007 katika hotel ya Kilimanjaro Kempisk, Rais wa awamu ya nne, Mh. JK alikuwa mgeni rasmi kwenye sherehe za miaka 50 ya BBC KISWAHILI. Mh. JK, akiwa na mcheshi na mwenye bashasha kama kawaida yake, alikutana na kusalimiana na Bi. FLORA KAMBONA ambaye alikuwa mgeni mahsusi kwani mmewe, KAMBONA ndiye aliyekuwa Mtangazaji wa 1 wa BBC Kiswahili, 1957.

46. MWISHO:
Huyu ndiye OSCAR SATIEL DAVID KAMBONA aliyekuwa chanda na pete na Mwalimu NYERERE lakini mwisho wakawa maadui wasio na mfanowe!.

Tafakuri Tunduizi:
ATIKALI HII YA KUKATA NA SHOKA ina Tafakuri Tunduizi 100!!!

OSCAR KAMBONA: KIONGOZI MAHIRI, MTANASHATI NA RAFIKI KIPENZI WA MWALIMU NYERERE ALIYEISHIA KUWA ADUI YAKE MKUBWA!!! - MICHUZI BLOG (issamichuzi.blogspot.com)

Oscar Kambona - Wikipedia

View attachment 1983785
With kambona tungefuata ukenya zaidi

Glad we didn’t
 
Wale wenyeji wa asili wa MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO yaani PUISSANTS [BSC] ndivyo walivyo na hawatakuja kubadilika.

VITA VYA WENYEWE KWA WENYEWE, yaani CIVIL WAR iliwaathiri sana kiasi ambacho wamekuwa na MATATIZO YA KISAIKOLOJIA.

Ukitaka kuelewa vizuri, jaribu kutumia tukio la mwaka 2012/13 pale katika CHUO KIKUU CHA DODOMA [UDOM] - KITIVO CHA SAYANSI YA JAMII [COHSS] kama "CASE STUDY".

Wale wote waliokuwa VIONGOZI WA SERIKALI YA WANAFUNZI pale KITIVO CHA SAYANSI YA JAMII [COHSS] mwaka 2012/13, kuanzia RAIS, SPIKA na NAIBU SPIKA walikuwa ni wenyeji wa asili wa MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO yaani PUISSANTS [BSC].

Sasa yule RAIS WA SERIKALI YA WANAFUNZI WA COHSS aliiba pesa [10,000,000 Tshs] kutoka katika mfuko wa SERIKALI YA WANAFUNZI na akatolewa na SPIKA WA BUNGE LA WANAFUNZI WA COHSS. Yule RAIS aliyeiba PESA ZA WANAFUNZI alienda kulala POLISI kama siku tano hivi. SPIKA WA BUNGE LA WANAFUNZI WA COHSS alifanikiwa kuvunja SERIKALI YA WANAFUNZI WA KITIVO CHA COHSS na kuwa RAIS WA KITIVO CHA COHSS baada ya kufanya KIKAO CHA BUNGE.

Baadae yule SPIKA WA BUNGE LA WANAFUNZI WA COHSS aliyefanikiwa kuwa RAIS "alidisco" masomo yake na kushindwa kuendelea na nafasi yake ya URAIS.

Yaani pale katika KITIVO CHA COHSS ilikosekana JESHI tu! Maana kama JESHI lingelikuwepo, risasi zingelindima..😁

Baada ya "kudisco" kwa aliyekuwa SPIKA WA BUNGE LA COHSS, aliyefuata kuwa RAIS WA COHSS alikuwa ni NAIBU SPIKA WA BUNGE LA COHSS na yeye "alidisco" masomo yake akiwa anaingia muhula wa pili.

Sasa SERIKALI YA WANAFUNZI WA COHSS ilishindwa kujiendesha kutokana na viongozi wote kuenguliwa. Aliyebaki alikuwa ni MAKAMU WA RAIS pekee yake.

Baada ya hapo "KIKATIBA", ilibidi SERIKALI YA WANAFUNZI kwa upande wa SHIRIKISHO [FEDERATION] iingilie kati ili kuweza kuendesha SERIKALI YA WANAFUNZI WA COHSS.

Ndiyo MANING NICE akawa RAIS WA AWAMU YA TANO katika KITIVO CHA COHSS kutoka SHIRIKISHO [FEDERATION]. Hii ikiwa ni CHAGUO LA NNE baada ya kuenguliwa kwa RAIS, SPIKA WA BUNGE na NAIBU SPIKA WA BUNGE WA KITIVO CHA COHSS.

Kwahiyo yale mambo yaliyotokea katika KITIVO CHA COHSS [2012 /13] yanasadifu hali ya kisiasa ilivyokuwa katika MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO yaani PUISSANTS [BSC].
We re watching them closely than they re thinking.
 
We re watching them closely than they re thinking.
18c1aa26b4a4cc23075afe0b196059f1.png

The only thing I used to know since then is that, PUISSANTS [BSC] is not on our PLAYLIST. I am very sorry to comment this, but that is saddened truth.

076331061b24dd358d744a267f4e9cfb(1).png

This is truth be told about TANZANIA! It does the whole truth and nothing but the truth 🇹🇿.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom