Charles Mandela
JF-Expert Member
- Dec 9, 2011
- 2,494
- 2,170
Unajua kuna tofauti kubwa baina ya "MATAIFA YA FRANCOPHONE" na "MATAIFA YA COMMON WEALTH".Wewe jamaaa??? Anakuwa nzimuuu???
Yaani baada ya kumaliza ELIMU YA SHULE YA SEKONDARI pamoja na SHULE YA CHUO KIKUU, kinachofuata ni kujiunga na MAJESHI YA ULINZI na USALAMA. Kule KONGO kulikuwa kuna CHUO CHA KIJESHI ambacho kilikuwa maarufu kilichokuwa kinaitwa KANANGA.
"MATAIFA YA COMMON WEALTH" tangu kipindi cha UKOLONI, wananchi wao waliaminishwa na WAKOLONI ambao ni UINGEREZA, kuwa maisha yanaanza baada ya kumaliza ELIMU YA SHULE YA SEKONDARI pamoja na SHULE YA CHUO KIKUU na kujiunga na MAJESHI YA ULINZI na USALAMA ilikuwa siyo lazima.
Sasa wale waliokuwa wenyeji wa asili wa MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO yaani PUISSANTS [BSC] walikuwa chini ya UTAWALA WA UFARANSA, ambao ni "JUMUIYA YA MATAIFA YA FRANCOPHONE".
PUISSANTS [BSC] hadi leo wanaamini kuwa, ili binadamu akamilike na aweze kujitegemea katika mahitaji yake ya kila siku ni lazima ajiunge na MAJESHI YA ULINZI na USALAMA.
Kule kwenye MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO yaani PUISSANTS [BSC], wenyeji wengi wa asili walikuwa ni miongoni mwa ASKARI wa MAJESHI YA ULINZI na USALAMA. Kwahiyo wako "VERY AMBITIOUS and STRATEGIC" hata katika masuala yanayohusu maisha ya kawaida.
Kabla ya kusambaa katika MATAIFA mbalimbali duniani, ilikuwa ni lazima kujiunga na MAJESHI YA ULINZI na USALAMA. Kwahiyo walikuwa wanasambaa tayari wakiwa ni ASKARI.
Kwa upande wa MATAIFA YA AFRIKA YA MASHARIKI ambayo ni TANZANIA, KENYA na UGANDA [COMMON WEALTH COUNTRIES] walijihami tangu siku dhidi ya wenyeji wa asili wa MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO yaani PUISSANTS [BSC].