Papa Mopao
JF-Expert Member
- Oct 7, 2009
- 4,125
- 2,573
Hata nafasi ya kuzitumia tu washazililpua zote, Russia nomaRussia level zake ni kupambana na nchi kama US, sasa level hizo anatumia kuimaliza Ukraine kwa mara ya mwisho.
Kama wanapiga hadi IRIS T sio mchezo, tech ya mjerumani hio.
Russia sio poa.