1714800514102.png
 
Kama Russia amedungua hadi IRIS T ya wajerumani hio Patriot itaenda kufanya nini Ukraine?
Mkuu vita ya Ukraine imetufunulia mengi tulivyokua tunadanganywa.
Urusi peke yake inapigana na silaha dhidi ya jeshi linalopewa silaha Bora kabisa kutoka nchi tulizoambiwa ni nchi zenye tech ya Hali ya juu sana ya silaha,yaani nchi zote za west.
Achilia mbali silaha pia Ukraine imekua ikipewa mafunzo Bora kabisa kutoka nchi tulizokua tuliambiwa ni nchi Bora kijeshi hapa duniani,yaani nchi ya USA na NATO yake.
Sio TU silaha Bora na mafunzo Bora,Bali Ukraine imekua ikipata ushauri kutoka Kwa makammanda Bora kabisa wa USA,UK,FR, German NATO wengine.
Lakini muhimu zaidi ambacho Ukraine amekua akipata ni huduma za satellite za kijeshi na za kiraia kutoka nchi zote za west kwa ajili ya kuonesha mienendo ya jeshi la Urusi.
Na zaidi kuliko yote ni huduma za kiintelijensia.
Ukraine imepata faida kubwa sana ya misaada ya intelijensia kutoka mashirika ya kijasusi ya kijeshi na kiraia kutoka nchi zinazosifika katika tasnia hiyo ambazo ni USA,UK, German,fr, na NATO wengine.
Lakini Cha ajabu Urusi peke yake imeweza kuwadhibiti kabisa licha ya misaada yote hiyo.
Dunia inashihudia Yale iliyokua haiyajui.
 
Russian report:

"🇷🇺🇺🇦 Arkhangelskoye is ours. The enemy fled to the fortifications behind Kalinovsky Pond. Our Troops are now consolidating in the new captured Positions. Logistics are being set up and Reinforcements are being sent to our Units working in this area.

Further attacks become more difficult due to the natural conditions of the pond. That's why it makes sense that the 132nd Gorlovka Brigade, which operates here, is supported by other units of the 1AK.

Attack Operations towards the fortifications north of the pond resume towards evening."
 
c&p


Our source in the OP said that the Office of the President is disappointed with the position of the President of Moldova, which is delaying agreements on the military operation in Transnistria. Andrei Ermak considers Sandu’s position to be situationally playing along with the Kremlin, which ultimately allows her to win the upcoming elections against a weak candidate from the PSRM."
 
Russian report:

"🇷🇺🇺🇦 Arkhangelskoye is ours. The enemy fled to the fortifications behind Kalinovsky Pond. Our Troops are now consolidating in the new captured Positions. Logistics are being set up and Reinforcements are being sent to our Units working in this area.

Further attacks become more difficult due to the natural conditions of the pond. That's why it makes sense that the 132nd Gorlovka Brigade, which operates here, is supported by other units of the 1AK.

Attack Operations towards the fortifications north of the pond resume towards evening."
Urusi Anasonga Mbele kwa kasi Sana
 
Mkuu vita ya Ukraine imetufunulia mengi tulivyokua tunadanganywa.
Urusi peke yake inapigana na silaha dhidi ya jeshi linalopewa silaha Bora kabisa kutoka nchi tulizoambiwa ni nchi zenye tech ya Hali ya juu sana ya silaha,yaani nchi zote za west.
Achilia mbali silaha pia Ukraine imekua ikipewa mafunzo Bora kabisa kutoka nchi tulizokua tuliambiwa ni nchi Bora kijeshi hapa duniani,yaani nchi ya USA na NATO yake.
Sio TU silaha Bora na mafunzo Bora,Bali Ukraine imekua ikipata ushauri kutoka Kwa makammanda Bora kabisa wa USA,UK,FR, German NATO wengine.
Lakini muhimu zaidi ambacho Ukraine amekua akipata ni huduma za satellite za kijeshi na za kiraia kutoka nchi zote za west kwa ajili ya kuonesha mienendo ya jeshi la Urusi.
Na zaidi kuliko yote ni huduma za kiintelijensia.
Ukraine imepata faida kubwa sana ya misaada ya intelijensia kutoka mashirika ya kijasusi ya kijeshi na kiraia kutoka nchi zinazosifika katika tasnia hiyo ambazo ni USA,UK, German,fr, na NATO wengine.
Lakini Cha ajabu Urusi peke yake imeweza kuwadhibiti kabisa licha ya misaada yote hiyo.
Dunia inashihudia Yale iliyokua haiyajui.
Hii ni vita ya kihistoria itakayobadili mengi.
Hii ni vita itakayopelekea nchi za NATO kudharaulika, ni vita itakayopelekea Russia kufanikiwa zaidi katika uuzaji wake wa silaha.

NATO hadi sasa wanatafakari kuchukua maamuzi magumu sana lakini bado wana mvutano, huu mvutano kuna ambao wanakataa aibu na fedheha inayokwenda kutokea na wengine wakiogopa matokeo watakapofanya maamuzi magumu.

Kikubwa nachokiona baada ya vita kuisha ni kutumia billions za dola kutengeneza documentary za uongo na kupotosha watu kuhusu vita hii, kuandika vitabu na kutengeneza filamu za uongo na kweli, utakuja kusikia Russia alikuwa na vifaa vya kizamani vyenye kutu na kila aina porojo.

Hawa jamaa ni kawaida yao kupindisha ukweli, Russia ni jitu la kutisha, WWII kuna mengi yalifichwa, ukisoma Russia wanavyoelezea WWII ilivyokuwa ni tofauti na hao jamaa.

Ikumbukwe WWII kutoka mashariki Russia pekee ilikuwa nchi ya kwanza kuingia Germany, huku US , France na UK zikitoka magharibi wakamkuta Russia amepiga kambi tayari Berlin. Hivyo West kutengeneza NATO wanaifahamu siri na nguvu ya Russia kijeshi toka WWII.

Ngoja tusubiri Hollywood movies, NetFlix documentaries za mchongo kutoka West...
Novels za mchongo, internet itachafuliwa kwa habari za kupotosha.

All in all vitendo vinaongea kuliko maneno.
 
Russian report:

"🇷🇺🇺🇦 Arkhangelskoye is ours. The enemy fled to the fortifications behind Kalinovsky Pond. Our Troops are now consolidating in the new captured Positions. Logistics are being set up and Reinforcements are being sent to our Units working in this area.

Further attacks become more difficult due to the natural conditions of the pond. That's why it makes sense that the 132nd Gorlovka Brigade, which operates here, is supported by other units of the 1AK.

Attack Operations towards the fortifications north of the pond resume towards evening."
Hivi Russia anataka kuteka miji yote ya Ukraine au me ndo sielewi nia yake
 
Hii ni vita ya kihistoria itakayobadili mengi.
Hii ni vita itakayopelekea nchi za NATO kudharaulika, ni vita itakayopelekea Russia kufanikiwa zaidi katika uuzaji wake wa silaha.

NATO hadi sasa wanatafakari kuchukua maamuzi magumu sana lakini bado wana mvutano, huu mvutano kuna ambao wanakataa aibu na fedheha inayokwenda kutokea na wengine wakiogopa matokeo watakapofanya maamuzi magumu.

Kikubwa nachokiona baada ya vita kuisha ni kutumia billions za dola kutengeneza documentary za uongo na kupotosha watu kuhusu vita hii, kuandika vitabu na kutengeneza filamu za uongo na kweli, utakuja kusikia Russia alikuwa na vifaa vya kizamani vyenye kutu na kila aina porojo.

Hawa jamaa ni kawaida yao kupindisha ukweli, Russia ni jitu la kutisha, WWII kuna mengi yalifichwa, ukisoma Russia wanavyoelezea WWII ilivyokuwa ni tofauti na hao jamaa.

Ikumbukwe WWII kutoka mashariki Russia pekee ilikuwa nchi ya kwanza kuingia Germany, huku US , France na UK zikitoka magharibi wakamkuta Russia amepiga kambi tayari Berlin. Hivyo West kutengeneza NATO wanaifahamu siri na nguvu ya Russia kijeshi toka WWII.

Ngoja tusubiri Hollywood movies, NetFlix documentaries za mchongo kutoka West...
Novels za mchongo, internet itachafuliwa kwa habari za kupotosha.

All in all vitendo vinaongea kuliko maneno.
Upo sahihi lakini Dunia ya leo Imebadilika sana
Watu hawadanganyi Saivi Wanapata Ukweli moja kwamoja bila kutegemea Vyombo vyao
Saivi hadanganywi mtu
 
Back
Top Bottom