matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 6,639
- 15,450
Inaonekana wametumia vidrone vya kawaida sana, picha zinazoonyeshwa ni kama zile drone za kwenye maharusi au wanazotumia kurekodia kwaya.
Pia nimeshangaa gazeti la Jerusalem post kuweka picha ya mashambulizi ya Gaza kuonyesha ndio picha ya shambulizi lake Iran.
Kuna matatu
1: Amewaogopa Iran. Maana israel utaratibu wake ni ukimpiga na bomu moja yeye atakupiga na mabomu laki. Ukijibu laki yeye anakupiga mabomu millioni.
2: Ujanja wa US 🇺🇸 kusema kuwa Israel wajifanye wamelipua Iran, ili habari isambazwe ionekane kama wamejibu kuficha aibu ili mambo yaishe.
3: Mungu amejibu maombi maana mkuu wa atomic wa Iran amesema Hakuna kilichoharibiwa. Na kama wakiendelea kuwachokoza itabidi nao kwa haraka watengeneze silaha ya atomic ili kuwahughulikia Israel.
Hadi sasa naona Mungu yuko upande wetu wapenda amani maana pale middle east pakifungwa kwa vita dunia nzima itasimama na sisi huku nchi masikini ( Raia kuwa masikini ni kujitakia) tutaathirika pakubwa sana.
Ni hayo tu.
Pia nimeshangaa gazeti la Jerusalem post kuweka picha ya mashambulizi ya Gaza kuonyesha ndio picha ya shambulizi lake Iran.
Kuna matatu
1: Amewaogopa Iran. Maana israel utaratibu wake ni ukimpiga na bomu moja yeye atakupiga na mabomu laki. Ukijibu laki yeye anakupiga mabomu millioni.
2: Ujanja wa US 🇺🇸 kusema kuwa Israel wajifanye wamelipua Iran, ili habari isambazwe ionekane kama wamejibu kuficha aibu ili mambo yaishe.
3: Mungu amejibu maombi maana mkuu wa atomic wa Iran amesema Hakuna kilichoharibiwa. Na kama wakiendelea kuwachokoza itabidi nao kwa haraka watengeneze silaha ya atomic ili kuwahughulikia Israel.
Hadi sasa naona Mungu yuko upande wetu wapenda amani maana pale middle east pakifungwa kwa vita dunia nzima itasimama na sisi huku nchi masikini ( Raia kuwa masikini ni kujitakia) tutaathirika pakubwa sana.
Ni hayo tu.