Heparin
Senior Member
- Sep 24, 2021
- 156
- 577
Wakuu, baada ya taharuki iliyotokea kuhusu Serikali kutoa idhini ya kuhesabiwa kwa Wanafunzi na Walimu waislamu Mashuleni naona imetoa zuio kwa kibali hicho.
Hadi sasa bado haijajulikana kwanini iliruhusu jambo hili lifanyike.
Barua ipo hapa chini.
Tafadhali husika na mada tajwa hapo juu, pia rejea barua Kumb. Na FA.67/225/01/32 ya tarehe 23 Aprili, 2024
Nawajulisha kuwa kibali cha kukusanya takwimu za wanafunzi na walimu waislamu kwa ajili ya kupanga utaratibu mzuri wa kufundisha somo la Elimu ya Dini ya Kiisilam (EDK) ili kupunguza mmonyoko wa maadili katika jamii kimesitishwa na barua Kumb. Na FA.67/225/01/32 ya tarehe 23 Aprili, 2024 imefutwa.
Nawatakia utekelezaji mwema.
Pia soma==> Shule zaandikiwa Barua kutoa takwimu za Idadi ya wanafunzi wa Kiislamu shuleni
Hadi sasa bado haijajulikana kwanini iliruhusu jambo hili lifanyike.
Barua ipo hapa chini.
Tafadhali husika na mada tajwa hapo juu, pia rejea barua Kumb. Na FA.67/225/01/32 ya tarehe 23 Aprili, 2024
Nawajulisha kuwa kibali cha kukusanya takwimu za wanafunzi na walimu waislamu kwa ajili ya kupanga utaratibu mzuri wa kufundisha somo la Elimu ya Dini ya Kiisilam (EDK) ili kupunguza mmonyoko wa maadili katika jamii kimesitishwa na barua Kumb. Na FA.67/225/01/32 ya tarehe 23 Aprili, 2024 imefutwa.
Nawatakia utekelezaji mwema.
Pia soma==> Shule zaandikiwa Barua kutoa takwimu za Idadi ya wanafunzi wa Kiislamu shuleni