Sababu kwanini wanawake wanaomba sana Pesa

Zemanda

JF-Expert Member
Jan 10, 2021
6,832
14,307
Kuna malalamiko hasa upande wetu sisi wanaume juu ya tabia moja ya kuomba hela inayofanywa na wanawake. Tabia hii imepewa jina "Kuomba hela" sababu ndicho kitendo kikuu hapo hakuna jambo lingine linaloonekana kama shida ya msingi, bali ni tabia tu ya kukera.

Kuna sababu nyingi sana zinazopelekea mwanamke kuomba hela, ila nimeamua kuchambua chache ambazo zina uzito sana kwetu sisi wanaume. Na sababu zenyewe ni kama zifuatazo;

1. Mapokeo kuwa baba humpa mama pesa: wanawake wengi especially wa mjini wamekulia familia ambazo wamekuwa wakiona baba ndie anatoa pesa kwa mama na sio kinyume. Hivyo basi na wao wanapofika umri wa mahusiano na kuyaingia hubeba ile culture kama urithi wa mfumo wa mahusiano na ndio maana ni kitu cha kwanza wanachotaka mwanaume awafanyie hata kabla ya kuanza kuishi pamoja.

2. Kuiga wanawake wenzao na kuishi kwa mazoea. Wanawake wengi huwa wanatabia ya kucopy tabia za wanawake wenzao ili waishi ndani ya mfumo wa kike. Miongoni mwa tabia huzibeba ukiacha kujiremba, kuongea, mapozi, na uvaaji, pia kuomba hela ni haiba ambayo huja kama msukumo wa kuiga tabia.

3. Uvivu wa kujitafutia: ni kweli kwamba mwanamke anatakiwa kumtegemea mwanaume ila kwa mahitaji ya msingi kama sehemu ya kulala, chakula na mavazi, na ulinzi. Ila kuna muda wanawake wanakuwa na mahitaji ambayo si ya msingi ila watayapa kipaumbele na hapa wanaume hukwepa haya mahitaji. Wanawake wanajua vema tofauti ya mahitaji ya msingi na yasiyo ya msingi. Mahitaji yasiyo ya msingi hutakiwa kutimizwa na wanawake wenyewe sababu mwanaume hawezi yapa kipaumbele na hapo ndipo swala la kuomba hela huja.

4. Uumbaji na akili ya mwanamke: kwa asili wanawake wameumbwa kuwategemea wanaume changamoto ya sasa ni kupitiliza utegemezi kutoka mambo ya msingi kwenda mambo yasiyo ya msingi huku akili zao bado zikiwaambia kuwa mwanaume anawajibika kwa lolote wanalolitaka.

5. Ubinafsi wa kiuchumi: wanawake ni wabinafsi kutokana na asili yao ya utegemezi. Kisaikolojia wanawake kila kinachopatikana aidha akikitafuta pekee yake au akisaidiana na mwanaume basi atataka kiwe chake na matokeo yake hujenga tabia ya kutaka kuendelea kupokea ili kumaintain vile ambavyo anavyo tayari. Ukiwa na milioni ukampa mwanamke laki nane, atataka mtumie ile laki mbili pamoja na ikiisha hatotaka kushare ile laki nane aliyoweka mfukoni kwake.

6. Kupewa ni lugha ya upendo ya wanawake: wanawake huamini kuwa mwanaume anayempenda atampa atakacho. Moja ya kitu wanapenda ni kupewa pesa. Wanaopoomba pesa kiwango wanachopewa na idadi ya mara wanazopewa wao hutafsiri kuwa ni kiwango cha upendo. Kutafuta upendo kwao kwetu wanaume hukaa kama kuomba hela.

7. Ishara ya kumiliki/ kumilikiwa na Mwanaume: Mwanaume huomba pesa kama namna ya kujipa assurance kuwa anapendwa na anamilikiwa na mwanaume fulani. Hii ndio sababu kwann wanawake huchukia ndoa za mke zaidi ya m'moja sababu huhisi mwanaume akianza kumpatia pesa mwanamke mwingine maana yake anampenda kushinda yeye, anam'miliki na yeye huyo mwanaume atamilikiwa na huyo mwanamke. Ndio maana ukimtokea mwanamke Leo mchana usiku anakuomba pesa ya gesi, pesa ya salooni asubuhi na pesa ya kula mchana. Na ukimpatia utashangaa anaanza kukwambia yeye lini utakwenda kufanya nae mchezo mbaya.

Hizo ni sababu chache sana ila zipo nyingine nyingi sana kwann wanawake hupenda kuomba hela. Usishangae wakaja wanawake na baadhi ya wanaume wenye vinasaba vya kike wakasema hizi sababu si za kweli. Ni mwanaume pekee ndie ataelewa hizi sababu na wanawake wenye uwezo wa kutafakari kwa kutumia akili ya logic na sio emotional.
 

Baadhi ya wadada nawashangaa, hawasubiri mpaka uwatongoze ndo waombe hela, utakuta mdada unafanya nae kazi sehemu moja, huna mazoea nae kihivyo, hujawahi kumuomba namba, hujawahi kumtongoza, wala kuonesha nia ya kumtongoza, zaidi mkikutana ni chit chat ya hapa na pale, kama mtu unavoweza kuongea na mwanaume mwenzako.

Unakuta siku akikuona, out of nowhere anakuomba hela, au anaomba umnunulie kitu flani kidogo tu, tena usipompa, ukimuahidi utampa kesho ili kesho ikifika asahau, kesho yake anakukumbushia 😁, wazee hii imekaaje.

Kelsea ledada Zemanda Extrovert Natafuta Ajira ephen_ Demi mshamba_hachekwi Mzee wa kupambania Leejay49 Numbisa Shunie Evelyn Salt
 
Uzi mzuri.
"Tuwape pesa kwa ajili ya mahitaji ya msingi."
Mkuu wanawake wao wanacho jua Mwanaume anakuwa na pesa muda wote, Mpenzi wangu nilimwambia je nikikuomba pesa utanipa yeye akanijibu atagemei kama kuna siku nitamuomba pesa na anaamini mwanamke atakiwi kumpa pesa Mpezi wake. Mimi nikabaki na mshangao mkubwa kumbe Mwanaume hutakuwi kumuomba pesa Mpenzi wako,
 
Mkuu wanawake wao wanacho jua Mwanaume anakuwa na pesa muda wote, Mpenzi wangu nilimwambia je nikikuomba pesa utanipa yeye akanijibu atagemei kama kuna siku nitamuomba pesa na anaamini mwanamke atakiwi kumpa pesa Mpezi wake. Mimi nikabaki na mshangao mkubwa kumbe Mwanaume hutakuwi kumuomba pesa Mpenzi wako,
Km una shida we muombe pesa. usiamini maneno ya mwanamke angalia matendo yake,
usiogope muombe pesa pale ambapo serious una shida nayo, then see her reaction.
Usifadhaike na majibu yake, huwa hawamaanishi.
 
Kuna malalamiko hasa upande wetu sisi wanaume juu ya tabia moja ya kuomba hela inayofanywa na wanawake. Tabia hii imepewa jina "Kuomba hela" sababu ndicho kitendo kikuu hapo hakuna jambo lingine linaloonekana kama shida ya msingi, bali ni tabia tu ya kukera.

Kuna sababu nyingi sana zinazopelekea mwanamke kuomba hela, ila nimeamua kuchambua chache ambazo zina uzito sana kwetu sisi wanaume. Na sababu zenyewe ni kama zifuatazo;

1. Mapokeo kuwa baba humpa mama pesa: wanawake wengi especially wa mjini wamekulia familia ambazo wamekuwa wakiona baba ndie anatoa pesa kwa mama na sio kinyume. Hivyo basi na wao wanapofika umri wa mahusiano na kuyaingia hubeba ile culture kama urithi wa mfumo wa mahusiano na ndio maana ni kitu cha kwanza wanachotaka mwanaume awafanyie hata kabla ya kuanza kuishi pamoja.

2. Kuiga wanawake wenzao na kuishi kwa mazoea. Wanawake wengi huwa wanatabia ya kucopy tabia za wanawake wenzao ili waishi ndani ya mfumo wa kike. Miongoni mwa tabia huzibeba ukiacha kujiremba, kuongea, mapozi, na uvaaji, pia kuomba hela ni haiba ambayo huja kama msukumo wa kuiga tabia.

3. Uvivu wa kujitafutia: ni kweli kwamba mwanamke anatakiwa kumtegemea mwanaume ila kwa mahitaji ya msingi kama sehemu ya kulala, chakula na mavazi, na ulinzi. Ila kuna muda wanawake wanakuwa na mahitaji ambayo si ya msingi ila watayapa kipaumbele na hapa wanaume hukwepa haya mahitaji. Wanawake wanajua vema tofauti ya mahitaji ya msingi na yasiyo ya msingi. Mahitaji yasiyo ya msingi hutakiwa kutimizwa na wanawake wenyewe sababu mwanaume hawezi yapa kipaumbele na hapo ndipo swala la kuomba hela huja.

4. Uumbaji na akili ya mwanamke: kwa asili wanawake wameumbwa kuwategemea wanaume changamoto ya sasa ni kupitiliza utegemezi kutoka mambo ya msingi kwenda mambo yasiyo ya msingi huku akili zao bado zikiwaambia kuwa mwanaume anawajibika kwa lolote wanalolitaka.

5. Ubinafsi wa kiuchumi: wanawake ni wabinafsi kutokana na asili yao ya utegemezi. Kisaikolojia wanawake kila kinachopatikana aidha akikitafuta pekee yake au akisaidiana na mwanaume basi atataka kiwe chake na matokeo yake hujenga tabia ya kutaka kuendelea kupokea ili kumaintain vile ambavyo anavyo tayari. Ukiwa na milioni ukampa mwanamke laki nane, atataka mtumie ile laki mbili pamoja na ikiisha hatotaka kushare ile laki nane aliyoweka mfukoni kwake.

6. Kupewa ni lugha ya upendo ya wanawake: wanawake huamini kuwa mwanaume anayempenda atampa atakacho. Moja ya kitu wanapenda ni kupewa pesa. Wanaopoomba pesa kiwango wanachopewa na idadi ya mara wanazopewa wao hutafsiri kuwa ni kiwango cha upendo. Kutafuta upendo kwao kwetu wanaume hukaa kama kuomba hela.

7. Ishara ya kumiliki/ kumilikiwa na Mwanaume: Mwanaume huomba pesa kama namna ya kujipa assurance kuwa anapendwa na anamilikiwa na mwanaume fulani. Hii ndio sababu kwann wanawake huchukia ndoa za mke zaidi ya m'moja sababu huhisi mwanaume akianza kumpatia pesa mwanamke mwingine maana yake anampenda kushinda yeye, anam'miliki na yeye huyo mwanaume atamilikiwa na huyo mwanamke. Ndio maana ukimtokea mwanamke Leo mchana usiku anakuomba pesa ya gesi, pesa ya salooni asubuhi na pesa ya kula mchana. Na ukimpatia utashangaa anaanza kukwambia yeye lini utakwenda kufanya nae mchezo mbaya.

Hizo ni sababu chache sana ila zipo nyingine nyingi sana kwann wanawake hupenda kuomba hela. Usishangae wakaja wanawake na baadhi ya wanaume wenye vinasaba vya kike wakasema hizi sababu si za kweli. Ni mwanaume pekee ndie ataelewa hizi sababu na wanawake wenye uwezo wa kutafakari kwa kutumia akili ya logic na sio emotional.
Ok
 
Mwanamke asiye na tamaa hawezi kukupiga vizinga, period. Hawa wengine ni wa kuhit and run. Mwanamke halisi kazi yake ni ku nurture kile mwanaume ametafuta na sio kukitumia kwa manufaa yake binafsi. Kutofautisha hapo lazma uwe na self awareness ya hali ya juu na hisia zisikucontrol
 
Mi nadhani hawaombi pesa, wanaomba mahitaji,

All in all, raha ya kwenye mahusiano ni kumhudumia mwanamke.
Haujasoma ukaelewa. Kuna mwanamke ukimpa vitu direct bila kumpa pesa anakasirika sana ingawa hatosema direct.

Mfano anakwambia anataka pesa ya chakula ukimletea chakula anakasirika kumbe alikuwa anataka pesa ya kulipia deni fulani ila hakutaka ujue.
 
Back
Top Bottom