Saba wafariki kwenye Ajali Dumila, Morogoro

Heparin

Senior Member
Sep 24, 2021
156
577
Watu saba wamefariki na wengine sita kujeruhiwa katika ajali iliyohusisha gari la abiria aina ya Noah lililokuwa likitokea Dumila kuelekea Morogoro mjini na lori la mizigo lililokuwa likitokea Dar es salaam kwenda Dodoma.

Kamanda wa polisi mkoa wa Morogoro, SACP Alex Mkama amesema chanzo cha ajali hiyo ni dereva wa lori kushindwa kulimudu gari lake na kuligonga gari la abiria.

GNh7bYsXYAAO_c4.jpg
 
Watu saba wamefariki na wengine sita kujeruhiwa katika ajali iliyohusisha gari la abiria aina ya Noah lililokuwa likitokea Dumila kuelekea Morogoro mjini na lori la mizigo lililokuwa likitokea Dar es salaam kwenda Dodoma.

Kamanda wa polisi mkoa wa Morogoro, SACP Alex Mkama amesema chanzo cha ajali hiyo ni dereva wa lori kushindwa kulimudu gari lake na kuligonga gari la abiria.

View attachment 2990021
RIP
 
Watu saba wamefariki na wengine sita kujeruhiwa katika ajali iliyohusisha gari la abiria aina ya Noah lililokuwa likitokea Dumila kuelekea Morogoro mjini na lori la mizigo lililokuwa likitokea Dar es salaam kwenda Dodoma.

Kamanda wa polisi mkoa wa Morogoro, SACP Alex Mkama amesema chanzo cha ajali hiyo ni dereva wa lori kushindwa kulimudu gari lake na kuligonga gari la abiria.

View attachment 2990021
Usingixi ama alikuwa anagonga lwenye gari
 
Watu saba wamefariki na wengine sita kujeruhiwa katika ajali iliyohusisha gari la abiria aina ya Noah lililokuwa likitokea Dumila kuelekea Morogoro mjini na lori la mizigo lililokuwa likitokea Dar es salaam kwenda Dodoma.

Kamanda wa polisi mkoa wa Morogoro, SACP Alex Mkama amesema chanzo cha ajali hiyo ni dereva wa lori kushindwa kulimudu gari lake na kuligonga gari la abiria.

View attachment 2990021
Pole sana majeruhi wote katika ajali hiyo mbaya....

R.I.P wote waliofikwa na umauti miongoni mwa wahusika katika ajali hiyo...
 
Hizo noah zinakuwaga balaa, zinaendeshwa kwa spidi halafu zinajaza watu

Niliwahi kupanda moja tulikuwa 13, wengine wanakaa kwenye buti

Bora tu upande yale macoaster ukashukie mafiga kule
 
Ajali huwa ni popote lakini mimi nilisha apa siwezi safiri kwa kutumia Noah, Hiace au gari ya Alphard
 
Watu 7 kwenye Noah ni vigumu sana kuwepo majeruhi.

Noah maana yake ni mwanamke laini (kwa lugha ya Kijapani).

Zikipata ajali watu hufa wengi sana kutokana na ulaini wa bodi yake.
dah aisee...

ni hatari inaogofya.
kumbe ndio Noah ilivyo 🤭
 
Oohh sad! Wapumzike kwa amani...
Juz juz tu hapa Lindi pia ilitokea ajali Kama hii😨
 
Back
Top Bottom