RC Chalamila kumtaja Rais wananchi wanazomea ni dalili ya nini?

Sawa kwa huko ambako ni jambo la kawaida, lakini kwa huku ambako ni kama sheria kusema "anaupiga mwingi" unajua kuzomewa hadharani maana yake nini?
Hapo ni kuwa bila kuiba kura usishangae akaibuka na 20% of votes
Mnaweweseka tu.
 
Hivi kuna rais anapingwa kama Dr. William Samoe Ruto hapa Afrika Mashariki?

Ruto huwa anazomewa hadharani.

Hiyo ndiyo demokrasia.
That tells a lot about East Africa Citizens...Rwandis with Kagame, Museveni taking care of Baganda, Kenyans Hustled by Ruto and Tanzanians Enjoying their out of this planet Union constitution
 
Kuna dalili viongozi wengi wanajizima data au hawaelewi nini kinaendelea katikati ya jamii ya Watanzania.
Inakuwaje RC Chalamila anawahutubia watu wa Mbagala lakini alipofikia katika kutaka kutaja sifa za mheshimiwa Rais ndio anakumbana na kuzomewa na Miguno mingi hadi anagwaya?
Hiyo ni dalili ya nini? Na jee hao wanao pita huku na kule na kuimba "mitano" tena wanawakilisha kundi gani? Maana ni wazi sio hili la aina ya watu wa Mbagala ambao ndio wengi nchi hii.
Moderator please badili heading kuwa "unamtaja Rais sio RC"
Chalamila hatosahau watu wa Mbagala
 
Kuna dalili viongozi wengi wanajizima data au hawaelewi nini kinaendelea katikati ya jamii ya Watanzania.
Inakuwaje RC Chalamila anawahutubia watu wa Mbagala lakini alipofikia katika kutaka kutaja sifa za mheshimiwa Rais ndio anakumbana na kuzomewa na Miguno mingi hadi anagwaya?
Hiyo ni dalili ya nini? Na jee hao wanao pita huku na kule na kuimba "mitano" tena wanawakilisha kundi gani? Maana ni wazi sio hili la aina ya watu wa Mbagala ambao ndio wengi nchi hii.
Moderator please badili heading kuwa "unamtaja Rais sio RC"
Wapambe wanalijua hilo, ila mama anapenda kusikia sifa za chawa tu. Na vile wanaomsifia ndio anawapa ulaji, basi siku inakuja atagundua wanaompamba hawazi hata 20
 
Nasimama na watu wa Mbagala. Kuna kipande cha barabara kutokea Zakiem pale kwenye viwanja kuelekea mbagala kuu. Aisee nilishangaa sana kama kuna Tarura/Tanroads hii nchi.

Wale jamaa kwa lile eneo hawapaswi kumrudisha diwani, mbunge
 
Acha ujinga, tunadai TANROADS zaidi ya 400m, hela hakuna wakandarasi kibao wanadai, Mameneja wa Mikoa wanasema toka Feb hawawekewa hela, ujinga huu haukuwepo huko nyuma katika historia ya TANROADS
Shida ni Wizara ya fedha kutaka wakandarasi walipe wao kwa kupokea certificate wenyewe wizara ya fedha.
Huko nyuma ilikuwa meneja wa Tanroad analipa mwenyewe.
Sasa hatujui hao makatibu wa wizara fedha wameona nini kwenye mfumo wa zamani hadi ubadilike ? Kama mameneja wameaminiwa.waletewe fedha wanazoomba walipe.
 
Kuna dalili viongozi wengi wanajizima data au hawaelewi nini kinaendelea katikati ya jamii ya Watanzania.
Inakuwaje RC Chalamila anawahutubia watu wa Mbagala lakini alipofikia katika kutaka kutaja sifa za mheshimiwa Rais ndio anakumbana na kuzomewa na Miguno mingi hadi anagwaya?
Hiyo ni dalili ya nini? Na jee hao wanao pita huku na kule na kuimba "mitano" tena wanawakilisha kundi gani? Maana ni wazi sio hili la aina ya watu wa Mbagala ambao ndio wengi nchi hii.
Moderator please badili heading kuwa "unamtaja Rais sio RC"
please badili heading
Kuna dalili viongozi wengi wanajizima data au hawaelewi nini kinaendelea katikati ya jamii ya Watanzania.
Inakuwaje RC Chalamila anawahutubia watu wa Mbagala lakini alipofikia katika kutaka kutaja sifa za mheshimiwa Rais ndio anakumbana na kuzomewa na Miguno mingi hadi anagwaya?
Hiyo ni dalili ya nini? Na jee hao wanao pita huku na kule na kuimba "mitano" tena wanawakilisha kundi gani? Maana ni wazi sio hili la aina ya watu wa Mbagala ambao ndio wengi nchi hii.
Moderator please badili heading kuwa "unamtaja Rais sio RC"

"Moderator[/USER] please badili heading kuwa "unamtaja Rais sio RC", thubutu.
 
Back
Top Bottom