Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,171
- 4,582
Kwa nini huambiwi ukweli kuwa unamwaga pesa nyingi ili kuwakwamua Watanzania kwenye umasikini. Lakini zinafafunwa huku watu wako wa CCM wanaona na Mbowe yupo kimya.
Natolea mfano tu mdogo.Haya madudu ga CAG anayokuambia kila siku unadhani Mbowe na Mafisadi wa CCM hawaoni?
Kuna kipindi ulitukana hadharani... Stupid stupid stupedee.
Kuna wanaCCM hawakutakii mema.
Mbowe sio mpinzani mwema
Natolea mfano tu mdogo.Haya madudu ga CAG anayokuambia kila siku unadhani Mbowe na Mafisadi wa CCM hawaoni?
Kuna kipindi ulitukana hadharani... Stupid stupid stupedee.
Kuna wanaCCM hawakutakii mema.
Mbowe sio mpinzani mwema