Rais Samia tunakuomba utupie jicho kali Utumishi

Jay One

JF-Expert Member
Nov 12, 2010
16,921
16,885
Rais wetu, Mama Samia, kwanza tukupe hongera sana kwa kazi kubwa na inayoonekana kwa Taifa letu, hakika kazi unaimudu na unaiweza kisawa sawa.

Rais tunakuomba pamoja na juhudi zako kubwa za kujenga nchi na kuwa hudumia wananchi wote ikiwemo wafanya kazi wa umma, nikupe siri, tupia jicho kali pale Utumishi Wizarani.

Yaani watumishi wa umma wako wanaumia sababu ya baadhi ya watendaji wabovu, wanaofanya kazi kwa mazoea, hawana muda kabisa kuhudumia watumishi wa umma, yaani wao kutwa nzima ni kufukuzana na vikao ili wapate posho za vikao.

Labda nitoe mfano hai, pale wizarani utakuta mtumishi anatakiwa kupewa barua labda ya promotion, Mkurugenzi husika atazunguka barua haandiki na itachukua hadi mwaka au miaka ili tu aandike barua kwa mtumishi ili iende kwa mwajiri ampe promotion mtumishi.

Yaani kazi hiyo ni kilio, watumishi wako wanalia ni shida, mkurugenzi anakuwa Mungu mtu, naomba ulizia hili utaambiwa nayokwambia Rais, tena hawajali chochote, tuma watu wako hapo Mtumba utaona madudu haya.

Mfano mwingine, utatuma barua ya kawaida Utumishi labda ya kufuatilia kubadili kada, labda umepata sifa fulani ya elimu, yaani ni miaka, sielewi Utumishi wako hivyo sababu gani?

Naomba Rais fuatilia kwa ukali, ulizia promotion za watu na watumishi waliopeleka malalamiko yao Utumishi, hata ufuatilie vipi, utakwama na hupati majibu yaani itachukua miaka.

Utumishi ni shida sana, Rais tunakuomba mno pita wizarani hapo, utakuta mengi ya watumishi wa umma hayafanyiwi kazi kwa miaka na viongozi uliowapa dhamana wapo na hii huleta chuki ya watumishi wa umma kwa serikali kumbe ni watu uliowapa dhamana wanakuangusha vibaya sana.
 
Wamejibweteka,ngoja wafanywe hamna.Uzuri wa mama ni kimyakimya
 
Wanajikuta wamemaliza kwa nafasi zao , nchi hii uwajibikaji mdogo sana na Hilo si utumishi pekee kuna baadhi ya wizara nao wako hovyo sana mfano NISHATI kupitia TANESCO wapo na ukilitimba wa kupandisha wataalam baada ya kumaliza masomo na ofisi imekuwa kama bar vile kila mtu na jibu lake zaidi zigo anatupiwa MD eti anakumbatia Mambo yote mezani hivi unazani kama HR anapata nafasi ya kupokea begi la MD anatoa nafasi na nguvu wapi ya kutetea maslahi ya waajiliwa wake( likizo imekuwa kavu bila malipo TUICO wapo mfukoni tena Jambo la kisheria kabisa). Upande mwingine UJENZI wanfanya vizuri sana baada ya shule unapewa stahiki yako, sasa hapo umesoma kwa Ada yako ingekuwa unalipiwa Ada na serikali aisee ungejuta KUJIENDELEZA UKIWA KAZINI. Mtambue maisha ni mzunguko msijenge misingi ya chuki mwisho huwa m'baya ).
 
Utumishi ni miungu watu, nina madai ya areas baada ya promotion niliyopata 2015 hadi leo nazungushwa.
 
Mfano mwingine, utatuma barua ya kawaida Utumishi labda ya kufuatilia kubadili kada, labda umepata sifa fulani ya elimu, yaani ni miaka, sielewi Utumishi wako hivyo sababu gani, naomba Mh. Rais fuatilia kwa ukali ulizia promotion za watu na watumishi waliopeleka malalamiko yao Utumishi, hata ufuatilie vipi, utakwama na hupati majibu yaani itachukua miaka. Utumishi ni shida sana, Mh. Rais tunakuomba mno pita wizarani hapo, utakuta mengi ya watumishi wa umma hayafanyiwi kazi kwa miaka na viongozi uliowapa dhamana wapo na hii huleta chuki ya watumishi wa umma kwa serikali kumbe ni watu uliowapa dhamana wanakuangusha vibaya sana.
Hata madai ya watumishi ni headache
 
Mh. Rais wetu, Mama Samia, kwanza tukupe hongera sana kwa kazi kubwa na inayoonekana kwa Taifa letu, hakika kazi unaimudu na unaiweza kisawa sawa.


Mh. Rais tunakuomba pamoja na juhudi zako kubwa za kujenga nchi na kuwa hudumia wananchi wote ikiwemo wafanya kazi wa umma, nikupe siri, tupia jicho kali pale Utumishi Wizarani, yaani watumishi wa umma wako wanaumia sababu ya baadhi ya watendaji wabovu, wanaofanya kazi kwa mazoea, hawana muda kabisa kuhudumia watumishi wa umma, yaani wao kutwa nzima ni kufukuzana na vikao ili wapate posho za vikao.

Labda nitoe mfano hai, pale wizarani utakuta mtumishi anatakiwa kupewa barua labda ya promotion, Mkurugenzi husika atazunguka barua haandiki na itachukua hadi mwaka au miaka ili tu aandike barua kwa mtumishi ili iende kwa mwajiri ampe promotion mtumishi, yaani kazi hiyo ni kilio, watumishi wako wanalia ni shida, mkurugenzi anakuwa Mungu mtu, naomba ulizia hili utaambiwa nayokwambia Mh. Rais, tena hawajali chochote, tuma watu wako hapo Mtumba utaona madudu haya.

Mfano mwingine, utatuma barua ya kawaida Utumishi labda ya kufuatilia kubadili kada, labda umepata sifa fulani ya elimu, yaani ni miaka, sielewi Utumishi wako hivyo sababu gani, naomba Mh. Rais fuatilia kwa ukali ulizia promotion za watu na watumishi waliopeleka malalamiko yao Utumishi, hata ufuatilie vipi, utakwama na hupati majibu yaani itachukua miaka. Utumishi ni shida sana, Mh. Rais tunakuomba mno pita wizarani hapo, utakuta mengi ya watumishi wa umma hayafanyiwi kazi kwa miaka na viongozi uliowapa dhamana wapo na hii huleta chuki ya watumishi wa umma kwa serikali kumbe ni watu uliowapa dhamana wanakuangusha vibaya sana.
Mmm nimesoma ila sijakuelewa kabisa,,mfano barua ya kubadilishwa kada inatolewa na ofisi ya Utumishi wizarani?siyo kwa mwajiri wako?
 
Utumishi ni miungu watu, nina madai ya areas baada ya promotion niliyopata 2015 hadi leo nazungushwa.
Unaweza kuta madai yako hayajapelekwa Utumishi ,,nakushauri fuatilia kwanza kwa mwajiri wako kama amepeleka hizo arrears zako,,,
 
Mh. Rais wetu, Mama Samia, kwanza tukupe hongera sana kwa kazi kubwa na inayoonekana kwa Taifa letu, hakika kazi unaimudu na unaiweza kisawa sawa.


Mh. Rais tunakuomba pamoja na juhudi zako kubwa za kujenga nchi na kuwa hudumia wananchi wote ikiwemo wafanya kazi wa umma, nikupe siri, tupia jicho kali pale Utumishi Wizarani, yaani watumishi wa umma wako wanaumia sababu ya baadhi ya watendaji wabovu, wanaofanya kazi kwa mazoea, hawana muda kabisa kuhudumia watumishi wa umma, yaani wao kutwa nzima ni kufukuzana na vikao ili wapate posho za vikao.

Labda nitoe mfano hai, pale wizarani utakuta mtumishi anatakiwa kupewa barua labda ya promotion, Mkurugenzi husika atazunguka barua haandiki na itachukua hadi mwaka au miaka ili tu aandike barua kwa mtumishi ili iende kwa mwajiri ampe promotion mtumishi, yaani kazi hiyo ni kilio, watumishi wako wanalia ni shida, mkurugenzi anakuwa Mungu mtu, naomba ulizia hili utaambiwa nayokwambia Mh. Rais, tena hawajali chochote, tuma watu wako hapo Mtumba utaona madudu haya.

Mfano mwingine, utatuma barua ya kawaida Utumishi labda ya kufuatilia kubadili kada, labda umepata sifa fulani ya elimu, yaani ni miaka, sielewi Utumishi wako hivyo sababu gani, naomba Mh. Rais fuatilia kwa ukali ulizia promotion za watu na watumishi waliopeleka malalamiko yao Utumishi, hata ufuatilie vipi, utakwama na hupati majibu yaani itachukua miaka. Utumishi ni shida sana, Mh. Rais tunakuomba mno pita wizarani hapo, utakuta mengi ya watumishi wa umma hayafanyiwi kazi kwa miaka na viongozi uliowapa dhamana wapo na hii huleta chuki ya watumishi wa umma kwa serikali kumbe ni watu uliowapa dhamana wanakuangusha vibaya sana.
Pia awangalie baadhi ya watumishi wa ngazi za juu kwenye wizara eg Chief Accountants na DAP,hawa watu unakuta amekaa kwenye wizara miaka 15 akipewa barua ya uhamisho anaenda kuhonga utumishi ili uhamisho ufutwe,
 
Rais wetu, Mama Samia, kwanza tukupe hongera sana kwa kazi kubwa na inayoonekana kwa Taifa letu, hakika kazi unaimudu na unaiweza kisawa sawa.

Rais tunakuomba pamoja na juhudi zako kubwa za kujenga nchi na kuwa hudumia wananchi wote ikiwemo wafanya kazi wa umma, nikupe siri, tupia jicho kali pale Utumishi Wizarani.

Yaani watumishi wa umma wako wanaumia sababu ya baadhi ya watendaji wabovu, wanaofanya kazi kwa mazoea, hawana muda kabisa kuhudumia watumishi wa umma, yaani wao kutwa nzima ni kufukuzana na vikao ili wapate posho za vikao.

Labda nitoe mfano hai, pale wizarani utakuta mtumishi anatakiwa kupewa barua labda ya promotion, Mkurugenzi husika atazunguka barua haandiki na itachukua hadi mwaka au miaka ili tu aandike barua kwa mtumishi ili iende kwa mwajiri ampe promotion mtumishi.

Yaani kazi hiyo ni kilio, watumishi wako wanalia ni shida, mkurugenzi anakuwa Mungu mtu, naomba ulizia hili utaambiwa nayokwambia Rais, tena hawajali chochote, tuma watu wako hapo Mtumba utaona madudu haya.

Mfano mwingine, utatuma barua ya kawaida Utumishi labda ya kufuatilia kubadili kada, labda umepata sifa fulani ya elimu, yaani ni miaka, sielewi Utumishi wako hivyo sababu gani?

Naomba Rais fuatilia kwa ukali, ulizia promotion za watu na watumishi waliopeleka malalamiko yao Utumishi, hata ufuatilie vipi, utakwama na hupati majibu yaani itachukua miaka.

Utumishi ni shida sana, Rais tunakuomba mno pita wizarani hapo, utakuta mengi ya watumishi wa umma hayafanyiwi kazi kwa miaka na viongozi uliowapa dhamana wapo na hii huleta chuki ya watumishi wa umma kwa serikali kumbe ni watu uliowapa dhamana wanakuangusha vibaya sana.
Wakurugenzi wa utawala na utumishi (DAP) na Watendaji wakuu wa idara na taasisi mbalimbali za Serikali wawe wanafuatilia na kujibu barua za watumishi.
Kwanza kwa kukiri kupokea barua zinazowafikia na kuahidi kuzifanyia kazi, kama hawana majibu,
pili kutoa majibu baada ya kufanyia kazi barua.Kukaa kimya bila kujibiwa barua siyo sahihi.

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Wakurugenzi wa utawala na utumishi (DAP) na Watendaji wakuu wa idara na taasisi mbalimbali za Serikali wawe wanafuatilia na kujibu barua za watumishi.
Kwanza kwa kukiri kupokea barua zinazowafikia na kuahidi kuzifanyia kazi, kama hawana majibu,
pili kutoa majibu baada ya kufanyia kazi barua.Kukaa kimya bila kujibiwa barua siyo sahihi.

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Una hoja sana Mkuu.
 
Mohamed mchengerwa alijitahidi sana kupigania watumishi kupewa haki zao,,sijui kwa nini mama alimwamisha wizara aliepo sa hivi msanii tosha
Sasa ndugu mkuu.usitake kutuondolea mheshimwa wetu.kwa sasa maafisa utamaduni tumesikika kilio chetu angalau sasa tunaheshimika.sikatai huko utumish alipaweza sana ila utamaduni kwa sasa angalau tuna uhai.wazir kapaweza utamaduni pale. Huko utumishi kuna mtihani sana.ila nenda mwenyewe kwa D.E yupo vizuri atakusaidia
 
Back
Top Bottom