Nyongeza ya mshahara bora watumish wote wahamie Zanzibar

kahembe

Member
Mar 22, 2015
86
70
Kwa hiki kinachoendelea pole sana watumishi wa umma, haiwezekani mtumishi no. 1 akashindwa kufika kwenye siku ya WafanyaKazi ambayo yeye ni mwenyekiti na ni mwajiri wa watumisho yote. Halafu Cha ajabu wawakilishi wake wanatoa majibu mepesi kwenye maswali yanayohitaji majibu sahihi.

Mbona Mh. Rais wa Tanzania visiwani Kaweka wazi kwamba ni kiasi gani ataongeza, halafu huku Bara watumishi wanapewa majibu mepesi yaani danganya toto eti tukitangaza kuongeza mshahara Bei za vitu zitapanda ju😂😂

Kuthibiti mfumuko wa Bei ni Moja wapo ya Kazi ya viongozi walioko Madarakani. Kwenye hili serikali haiwatendei haki watumishi wake hata kidogo.

Madhara ya kutojali maslai ya watumisho:
1. Utendaji Kazi kupungua (watumisho kufanya Kazi chini ya kiwango)
2. Kuongezeka Kwa rushwa.
3. Maendeleo duni Kwa taifa na mtu mmoja mmoja.
4. Watu kukosa uzalendo Kwa taifa lao.
 
Ni kweli nyongeza imeota mbawa!lakini Kuna kupandisha vyeo watumishi lakimbili nchi nzima ni kama asilimia hamsini ya watumishi wote ambao tupo laki tano nadhani!!

Hiyo move ya kupandisha vyeo ni productive coz ni karibu nusu ya mshahara inaongezeka kuliko nyongeza ndogo isiyo na tija Kwa mtumishi!!

Naisubiria hiyo move mwezi huu was tano coz inaweza ikawa game changer ikaleta tabasm Kwa watumishi!!

Nasubiria ikifanikiwa tutapongeza sisi waungwana!tukidanganywa kama kawaida yetu humu jamvini!!
 
Tanganyika toka atoke mzee kikwete mdarakani bado hatuja pata kama yeye.
Wakati mwinyi na mkapa wanaondoka Hali ya maisha ilikua ngumu sana bado!

The state ikaona wakati was kumleta mtu kuleta unafuu was maisha ni huo ndio wakaibuka na kijana mwenye tabasamu!

Japo baadae ililleta shida ambayo jpm alikuja kuitokomeza muda ukamwishia!!
Kikwete ndio alietuonjesha utam wa Tanzania ipoje yaani mtz alifurahia utanzania wake haswaaa!!

Ngoja tumuone huyu nae japo muda unamtupa mkono Kwa kasi!
 
Hakuna raisi tz aliye wapa wafanyakazi hali nzuri kimaslahi kumzidi JK ongea ngonjera ila rudi kawaulize wafanyakazi. Mada ina wahusu wafanyakazi achana na siasa mm sio mtu wa siasa
 
Back
Top Bottom