Nimekataa kuwa miongoni mwa wasiojua kuongea Kiingereza kwa unyoofu

GoldDhahabu

JF-Expert Member
Apr 29, 2023
5,183
7,010
Sitafuti kuwa mkamilifu kwenye Kiingereza, ila nimekataa kuwa chini ya "level" 5.

Kuhitimu Chuo Kikuu si tiketi ya kuongea lugha kwa ufasaha. Hata wazawa wa "English" kuna ambao bado wanajifunza, pamoja na kuwa ni watu wazima na wasomi.

Kwenye mtandao wa kijamii wa Kimataifa wa Quora, kuna swali limeulizwa hivi: HOW LONG DID IT TAKE YOU TO LEARN ENGLISH IN ORDER TO SPEAK IT FLUENTLY?

Kuna majibu tofauti kwa watu tofauti. Kuna waliosema miezi sita, wengine miaka miwili, wengine mwaka mmoja, wengine miaka minne, n.k.

Lakini jibu la huyu mtu limenigusa vilivyo!

Anaandika, "I'm 54 years old, native speaker, and I still have not learned to speak perfectly ..." - Daniel.

Inamaanisha Daniel angali akijifunza.

Ikiwa Daniel angali akijifinza, mimi ni nani nione aibu kujinoa zaidi?

Ona,
1. Kanizidi umri
2. Kiingereza ni lugha yake ya kwanza
3. Inawezekana, kanizidi pia na Elimu. Labda ana "Masters Degree", wakati mimi ningali na shahada moja.

"Kibongo bongo", kama wengine wasemavyo, ningeweza kuhesabiwa kuwa na mimi ninajua Kiingereza. Lakini kwa jinsi nijuavyo, bado sana. Lakini wiki sita (siyo miezi sita), naam, wiki sita kuanzia sasa, nitakuwa nimepiga hatua kubwa sana.

Nimeshapakua video kadhaa za kutumia kwa mazoezi.

Kama kuna mwenye wazo lo lote la kuboresha au la kuongezea, nitapokea kwa mikono miwili.

Nawakaribisha na wale wote wasioona aibu kujifunza tujumuike pamoja kujinoa katika hii lugha izungumzwayo na watu wengi zaidi duniani kuliko lugha nyingine yo yote ile.

Nikiishafikia viwango vya Kimataifa, nitaangalia kama nijinoe kidogo kwenye Kiswahili, au nijifunze lugha mpya kabisa, kati ya Kifaransa, Kihispaniola, Kiitaliano au Kijerumani.

Hata hivyo, kura inaweza kuiangukia Kifaransa.

It's never too late to start...

Nimeamua kuanza sasa, na sitasimama hadi nifike.
 
Sitafuti kuwa mkamilifu kwenye Kiingereza, ila nimekataa kuwa chini ya "level" 5.

Kuhitimu Chuo Kikuu si tiketi ya kuongea lugha kwa ufasaha. Hata wazawa wa "English" kuna ambao bado wanajifunza, pamoja na kuwa ni watu wazima na wasomi.

Kwenye mtandao wa kijamii wa Kimataifa wa Quora, kuna swali limeulizwa hivi: HOW LONG DID IT TAKE YOU TO LEARN ENGLISH IN ORDER TO SPEAK IT FLUENTLY?

Kuna majibu tofauti kwa watu tofauti. Kuna waliosema miezi sita, wengine miaka miwili, wengine mwaka mmoja, wengine miaka minne, n.k.

Lakini jibu la huyu mtu limenigusa vilivyo!

Anaandika, "I'm 54 years old, native speaker, and I still have not learned to speak perfectly ..." - Daniel.

Inamaanisha Daniel angali akijifunza.

Ikiwa Daniel angali akijifinza, mimi ni nani nione aibu kujinoa zaidi?

Ona,
1. Kanizidi umri
2. Kiingereza ni lugha yake ya kwanza
3. Inawezekana, kanizidi pia na Elimu. Labda ana "Masters Degree", wakati mimi ningali na shahada moja.

"Kibongo bongo", kama wengine wasemavyo, ningeweza kuhesabiwa kuwa na mimi ninajua Kiingereza. Lakini kwa jinsi nijuavyo, bado sana. Lakini wiki sita (siyo miezi sita), naam, wiki sita kuanzia sasa, nitakuwa nimepiga hatua kubwa sana.

Nimeshapakua video kadhaa za kutumia kwa mazoezi.

Kama kuna mwenye wazo lo lote la kuboresha au la kuongezea, nitapokea kwa mikono miwili.

Nawakaribisha na wale wote wasioona aibu kujifunza tujumuike pamoja kujinoa katika hii lugha izungumzwayo na watu wengi zaidi duniani kuliko lugha nyingine yo yote ile.

Nikiishafikia viwango vya Kimataifa, nitaangalia kama nijinoe kidogo kwenye Kiswahili, au nijifunze lugha mpya kabisa, kati ya Kifaransa, Kihispaniola, Kiitaliano au Kijerumani.

Hata hivyo, kura inaweza kuiangukia Kifaransa.

It's never too late to start...

Nimeamua kuanza sasa, na sitasimama hadi nifike.
ukihitaji kampani niite. nipo free. dar es salaam. ninashida kama yako na vigezo kama vyako
 
Kuna ya kuongea, kuandika, kusoma na kusikiliza.

Tofauti
Kuandika na kusoma si tatizo. Mazoezi yangu yatajikita maeneo mawili:
1. Kusikiliza
2. Kuongea

Baada ya kuacha kazi mahali nilikokuwa nikilazimika kuwasiliana kwa English mnamo mwaka 2020, nimegundua siku hizi ulimi wangu umekuwa "mzito" katika kutamka maneno ya English tofauti na hapo kabla.
 
Sitafuti kuwa mkamilifu kwenye Kiingereza, ila nimekataa kuwa chini ya "level" 5.

Kuhitimu Chuo Kikuu si tiketi ya kuongea lugha kwa ufasaha. Hata wazawa wa "English" kuna ambao bado wanajifunza, pamoja na kuwa ni watu wazima na wasomi.

Kwenye mtandao wa kijamii wa Kimataifa wa Quora, kuna swali limeulizwa hivi: HOW LONG DID IT TAKE YOU TO LEARN ENGLISH IN ORDER TO SPEAK IT FLUENTLY?

Kuna majibu tofauti kwa watu tofauti. Kuna waliosema miezi sita, wengine miaka miwili, wengine mwaka mmoja, wengine miaka minne, n.k.

Lakini jibu la huyu mtu limenigusa vilivyo!

Anaandika, "I'm 54 years old, native speaker, and I still have not learned to speak perfectly ..." - Daniel.

Inamaanisha Daniel angali akijifunza.

Ikiwa Daniel angali akijifinza, mimi ni nani nione aibu kujinoa zaidi?

Ona,
1. Kanizidi umri
2. Kiingereza ni lugha yake ya kwanza
3. Inawezekana, kanizidi pia na Elimu. Labda ana "Masters Degree", wakati mimi ningali na shahada moja.

"Kibongo bongo", kama wengine wasemavyo, ningeweza kuhesabiwa kuwa na mimi ninajua Kiingereza. Lakini kwa jinsi nijuavyo, bado sana. Lakini wiki sita (siyo miezi sita), naam, wiki sita kuanzia sasa, nitakuwa nimepiga hatua kubwa sana.

Nimeshapakua video kadhaa za kutumia kwa mazoezi.

Kama kuna mwenye wazo lo lote la kuboresha au la kuongezea, nitapokea kwa mikono miwili.

Nawakaribisha na wale wote wasioona aibu kujifunza tujumuike pamoja kujinoa katika hii lugha izungumzwayo na watu wengi zaidi duniani kuliko lugha nyingine yo yote ile.

Nikiishafikia viwango vya Kimataifa, nitaangalia kama nijinoe kidogo kwenye Kiswahili, au nijifunze lugha mpya kabisa, kati ya Kifaransa, Kihispaniola, Kiitaliano au Kijerumani.

Hata hivyo, kura inaweza kuiangukia Kifaransa.

It's never too late to start...

Nimeamua kuanza sasa, na sitasimama hadi nifike.
Kwa hiyo umependa jibu la huyo kichwa ngumu?


Usiende mbali, Yawezakana mzaliwa wa Tanzania mwenye miaka 54 akawa Bado sio mfasaha wa kuongea kiswahili?


Hata huko vijijini wanajua kiswahili fasaha sasa huyo wa miaka 54 labda ni muhadzabe wa ulaya
 
Sitafuti kuwa mkamilifu kwenye Kiingereza, ila nimekataa kuwa chini ya "level" 5.

Kuhitimu Chuo Kikuu si tiketi ya kuongea lugha kwa ufasaha. Hata wazawa wa "English" kuna ambao bado wanajifunza, pamoja na kuwa ni watu wazima na wasomi.

Kwenye mtandao wa kijamii wa Kimataifa wa Quora, kuna swali limeulizwa hivi: HOW LONG DID IT TAKE YOU TO LEARN ENGLISH IN ORDER TO SPEAK IT FLUENTLY?

Kuna majibu tofauti kwa watu tofauti. Kuna waliosema miezi sita, wengine miaka miwili, wengine mwaka mmoja, wengine miaka minne, n.k.

Lakini jibu la huyu mtu limenigusa vilivyo!

Anaandika, "I'm 54 years old, native speaker, and I still have not learned to speak perfectly ..." - Daniel.

Inamaanisha Daniel angali akijifunza.

Ikiwa Daniel angali akijifinza, mimi ni nani nione aibu kujinoa zaidi?

Ona,
1. Kanizidi umri
2. Kiingereza ni lugha yake ya kwanza
3. Inawezekana, kanizidi pia na Elimu. Labda ana "Masters Degree", wakati mimi ningali na shahada moja.

"Kibongo bongo", kama wengine wasemavyo, ningeweza kuhesabiwa kuwa na mimi ninajua Kiingereza. Lakini kwa jinsi nijuavyo, bado sana. Lakini wiki sita (siyo miezi sita), naam, wiki sita kuanzia sasa, nitakuwa nimepiga hatua kubwa sana.

Nimeshapakua video kadhaa za kutumia kwa mazoezi.

Kama kuna mwenye wazo lo lote la kuboresha au la kuongezea, nitapokea kwa mikono miwili.

Nawakaribisha na wale wote wasioona aibu kujifunza tujumuike pamoja kujinoa katika hii lugha izungumzwayo na watu wengi zaidi duniani kuliko lugha nyingine yo yote ile.

Nikiishafikia viwango vya Kimataifa, nitaangalia kama nijinoe kidogo kwenye Kiswahili, au nijifunze lugha mpya kabisa, kati ya Kifaransa, Kihispaniola, Kiitaliano au Kijerumani.

Hata hivyo, kura inaweza kuiangukia Kifaransa.

It's never too late to start...

Nimeamua kuanza sasa, na sitasimama hadi nifike.
Kila mtu ajifunze lugha kadri ya matumizi yake


Fani nyingi zinahitaji uelewa wa kawaida wa kingereza (doctors, engineers, etc

Mtu akiona ni muhimu kwake kuwa deep kwenye kingereza kwenye angle zote (kusikia, kusoma na kuongea) basi ajitahidi aweze


ila hakuna ulazima wa kila msomi awe fluent katika kingereza
 
Kwa hiyo umependa jibu la huyo kichwa ngumu?


Usiende mbali, Yawezakana mzaliwa wa Tanzania mwenye miaka 54 akawa Bado sio mfasaha wa kuongea kiswahili?


Hata huko vijijini wanajua kiswahili fasaha sasa huyo wa miaka 54 labda ni muhadzabe wa ulaya
Hata wewe pengine ukiwekwa kwenye mizania ya lugha, unaweza uakonekana kuwa unakijua Kiswahili lakini si kwa ufasaha.

Lugha ina uhai mkuu. Kadiri inavyoishi ndivyo inavyozaa misamiati mipya. Nafikiri ndicho alichomaanisha huyo mdau wa Quora. Ndiyo maana anachukulia lugha kama somo la kudumu nalo msishani
 
Njia ambayo Mimi binafsi niliitumia naona ni nzuri.

Focus katika eneo lako ambalo utaweza kulifanyia kazi .

Then pia tumia Self-talk
Kila siku uwe unapata kuanzia dk 30-45 kuongea peke yako lugha ya kiingereza.

Hii itafanya ubongo na akili yako kuweza kuzoea hii lugha. Hivyo utaweza kutamka maneno vizuri.
 
Njia ambayo Mimi binafsi niliitumia naona ni nzuri.

Focus katika eneo lako ambalo utaweza kulifanyia kazi .

Then pia tumia Self-talk
Kila siku uwe unapata kuanzia dk 30-45 kuongea peke yako lugha ya kiingereza.

Hii itafanya ubongo na akili yako kuweza kuzoea hii lugha. Hivyo utaweza kutamka maneno vizuri.
Ufafanuzi kidogo Dr. Haya Land, kama hutojali🙏

"Focus katika eneo lako ambalo utaweza kulifanyia kazi"

Unaweza ukanifafanulia zaidi?
 
Kwa hiyo umependa jibu la huyo kichwa ngumu?


Usiende mbali, Yawezakana mzaliwa wa Tanzania mwenye miaka 54 akawa Bado sio mfasaha wa kuongea kiswahili?


Hata huko vijijini wanajua kiswahili fasaha sasa huyo wa miaka 54 labda ni muhadzabe wa ulaya
Kwan wewe unaamini England wooote wazawa wanajua kuongea kwa ufasaha lugha yao

Pata muda msikilize wayneroone labda awe amejifunza baada ya kupata pesa Manchester united
 
Back
Top Bottom