Ni sahihi kupigwa na Mwenzi hata kama umekosea?

Kuna wanawake ni balaa usiombe kukutana nao acha kabisa , wewe yasikie Kwa watu nilishawahi kukutana na wanawake ababe balaa:
1. Alikuwa ni msukuma huyo hata wanaume muwe 3 hamumuwezi akiamua KULETA noma mtapoteana alikuwa ni mdada MZURI mnene shepu shepu kaenda hewani anakula sigara , bangi na pombe Sasa jichanganye uingie kwenye 18 zake utachakaa!
2. Huyu alikuwa ni mbishi balaa alikuwa anafanya KAZI za baa alikuwa ana mpenzi wake jamaa kama mpemba hivi , yule mpemba alikuwa anapigwa kama mtoto siku akizingua anakula kichapo mpaka anamuomba msamaha mkewe walikuja kuachana baada ya huyo mpemba kumkimbia huyo mwanamke
3. Huyu alikuwa Binti wa kiluguru aliolewa na RAFIKI yangu , huyu mwanamke alikuwa ni mgomvi utadhani yule Nyegele Yaani haogopi kitu basi ukitokea ugomvi kati yake na mumewe Yaani watapigana kama majogoo , Yani Ili ugomvi uishe ni lazima mmoja afloat ( Yaani azime ) kama atazima mwanamke muda ukifika akazinduka basi ugomvi unaanza upya Yaani kama atashika shoka TWENDE kama ni panga poa kama ni mpini lazima utapelekewa , Ilibidi jamaa ainue mikono kunususuru maisha yake
Haya nimeyashuhudia mwenyewe sio ya kuhadithiwa
4. Alikuwa ni Mnyakusya halafu mgambo wa jiji nae ni bonge la mtu limepanda hewani hatari lilikuwa na sura mbaya ila litata balaa Mume wake alikuwa anapigwa kama kondoo , alikuja kufanikiwa kumkimbia baada ya ugomvi mkubwa uliopelekea mwanamke kuvunjwa mguu na kuwekewa mhogo
aisee Kuna wanawake wagomvi nyie acha tu
 
Yaani akikulaza Chini yeye akawa juu, utaipata fresh 🙌

Utapigwa makofi hadi uombe msaada Kwa majirani

Sasa Mwanaume utaanzaje kuomba msaada? Napigwa jamani, napigwa huku 😜🙌
fungulia redio mpaka mwisho waskie sauti ya redio tu sio mayowe yako ya kiume :pedroP:
 
Kitendo cha mwanaume kupigwa na mwanamke wake, hapo ni kosa na mwanaume (hajakamilika).
Lakini kitendo cha mke kumpiga mume, hilo ni kosa la shambulio la kujeruhi mwili.
 
Kuna kipindi fulani Ex wangu alinizinguaga nikamnasa kibao e bwana ehh Yule mwanamke sijui ana Basics kadhaa za mambo ya martial art.....maan alinipiga pigo fulani sehemu za shingoni hapa almanusura nikate moto

Nikajisemea kweli Wanawake ni jeshi kubwa. Na ugomvi ukaishia pale pale
 
Muache aripot hiyo ni akiba , kwa mawazo yako unatak aend polis , polis hawana kumbukumbuk kama viongoz wa mtaani
 
Kuna wanawake ni balaa usiombe kukutana nao acha kabisa , wewe yasikie Kwa watu nilishawahi kukutana na wanawake ababe balaa:
1. Alikuwa ni msukuma huyo hata wanaume muwe 3 hamumuwezi akiamua KULETA noma mtapoteana alikuwa ni mdada MZURI mnene shepu shepu kaenda hewani anakula sigara , bangi na pombe Sasa jichanganye uingie kwenye 18 zake utachakaa!
2. Huyu alikuwa ni mbishi balaa alikuwa anafanya KAZI za baa alikuwa ana mpenzi wake jamaa kama mpemba hivi , yule mpemba alikuwa anapigwa kama mtoto siku akizingua anakula kichapo mpaka anamuomba msamaha mkewe walikuja kuachana baada ya huyo mpemba kumkimbia huyo mwanamke
3. Huyu alikuwa Binti wa kiluguru aliolewa na RAFIKI yangu , huyu mwanamke alikuwa ni mgomvi utadhani yule Nyegele Yaani haogopi kitu basi ukitokea ugomvi kati yake na mumewe Yaani watapigana kama majogoo , Yani Ili ugomvi uishe ni lazima mmoja afloat ( Yaani azime ) kama atazima mwanamke muda ukifika akazinduka basi ugomvi unaanza upya Yaani kama atashika shoka TWENDE kama ni panga poa kama ni mpini lazima utapelekewa , Ilibidi jamaa ainue mikono kunususuru maisha yake
Haya nimeyashuhudia mwenyewe sio ya kuhadithiwa
4. Alikuwa ni Mnyakusya halafu mgambo wa jiji nae ni bonge la mtu limepanda hewani hatari lilikuwa na sura mbaya ila litata balaa Mume wake alikuwa anapigwa kama kondoo , alikuja kufanikiwa kumkimbia baada ya ugomvi mkubwa uliopelekea mwanamke kuvunjwa mguu na kuwekewa mhogo
aisee Kuna wanawake wagomvi nyie acha tu
Mwamba akapita na mguu, saafi
 
IMG-20240516-WA0139.jpg
 
Back
Top Bottom