Mwijaku alirudia shule au alisilimu?

LIKUD

JF-Expert Member
Dec 26, 2012
15,254
27,548
Jina lake anaitwa Burton Mwemba or something but anajiita shekhe na of course anajua jua baadhi ya dua.

Swali; jina halisi la mtu huyu ni nani?

Tangu lini muislamu kutoka ujiji Kigoma akaitwa " Burton!!"

Alikuwa mkristo akasilimu au alirudia shule na kununua jina la mtu?
 
Jina lake anaitwa Brighton Mwemba or something but anajiita shekhe na of course anajua jua baadhi ya dua.

Swali; jina halisi la mtu huyu ni nani?

Tangu lini muislamu kutoka ujiji Kigoma akaitwa " Brighton!!"

Alikuwa mkristo akasilimu au alirudia shule na kununua jina la mtu?

Nasikia anaitwa Burton ,hata hivyo Burton si jina la kiislam.
 
Jina lake anaitwa Burton Mwemba or something but anajiita shekhe na of course anajua jua baadhi ya dua.

Swali; jina halisi la mtu huyu ni nani?

Tangu lini muislamu kutoka ujiji Kigoma akaitwa " Burton!!"

Alikuwa mkristo akasilimu au alirudia shule na kununua jina la mtu?

Kuna Possibility ya kuiba Jina maana kwao naona kama waislamu hivi.
 
Back
Top Bottom