Msaada wenyeji wa Ruhuwiko namtafuta ndugu yangu

Anaitwa nani na anafanya kazi gani?
Ni mzaliwa wa hapa Ruhuwiko?
Mkuu kwa majina sifahamu lakini ni MMAMA,kazi ni mwalimu kama sijakosea,sijui ana watoto wangapi ila nafahamu ana binti wawili wote wanasoma secondary,bint moja anaitwa catherine age kama 16 hivi or more,nyumban kwake ni karibu na magodawn flan hivi kama sio viwanda nakumbuka hayo tu mkuu
 
Ruhuwiko ni njia panda ya Kwenda dar kama unatumiwa ndege!!,
Anaitwa Nani huyo ndugu yako?
Mkuu kwa majina sifahamu lakini ni MMAMA,kazi ni mwalimu kama sijakosea,sijui ana watoto wangapi ila nafahamu ana binti wawili wote wanasoma secondary,bint moja anaitwa catherine age kama 16 hivi or more,nyumban kwake ni karibu na magodawn flan hivi kama sio viwanda nakumbuka hayo tu mkuu
 
Mkuu kwa majina sifahamu lakini ni MMAMA,kazi ni mwalimu kama sijakosea,sijui ana watoto wangapi ila nafahamu ana binti wawili wote wanasoma secondary,bint moja anaitwa catherine age kama 16 hivi or more,nyumban kwake ni karibu na magodawn flan hivi kama sio viwanda nakumbuka hayo tu mkuu
Aya basi nitawaambia wanawake wote wa Songea wenye watoto wanaoitwa Catherin wakucheck
Lete namba.
 
Mkuu kwa majina sifahamu lakini ni MMAMA,kazi ni mwalimu kama sijakosea,sijui ana watoto wangapi ila nafahamu ana binti wawili wote wanasoma secondary,bint moja anaitwa catherine age kama 16 hivi or more,nyumban kwake ni karibu na magodawn flan hivi kama sio viwanda nakumbuka hayo tu mkuu
Nation milling corporation (NMC)
Kuna kambi ya jeshi upande wa kulia, mbele mita 100 kuna Ruhuwiko sec and primary.
 
Kua
Mkuu kwa majina sifahamu lakini ni MMAMA,kazi ni mwalimu kama sijakosea,sijui ana watoto wangapi ila nafahamu ana binti wawili wote wanasoma secondary,bint moja anaitwa catherine age kama 16 hivi or more,nyumban kwake ni karibu na magodawn flan hivi kama sio viwanda nakumbuka hayo tu mkuu
We jamaa ndugu yako alafu ata jina haulijui,uko serious kweli?au mlikutana viwanja vya la chaz usiku
 
Mkuu kwa majina sifahamu lakini ni MMAMA,kazi ni mwalimu kama sijakosea,sijui ana watoto wangapi ila nafahamu ana binti wawili wote wanasoma secondary,bint moja anaitwa catherine age kama 16 hivi or more,nyumban kwake ni karibu na magodawn flan hivi kama sio viwanda nakumbuka hayo tu mkuu
Hii aina tofauti na ramli
 
Kua

We jamaa ndugu yako alafu ata jina haulijui,uko serious kweli?au mlikutana viwanja vya la chaz usiku
mkuu nimekua,inshu ni kwamba pale nilipokelewa kama mgeni nikiwa nimetoka mkoan na nilikua sina raman hvo alinihfadh kwa siku moja,niliondoka na mawasiliano ila nilipoteza cm badae
 
Back
Top Bottom