Msaada!sabuni gani nzuri kusafisha papuchi!!

cuchi

JF-Expert Member
Oct 1, 2012
218
74
Habari wana jf!!nahitaji msaada wa kujua ni sabuni gani nzuri kwa ajili ya kusafisha papuchi kwasababu kwa baadhi ya post humu kuna sabuni zimetajwa sio nzuri na moja wapo nilikuwa natumia inaitwa feminine! Sasa wadau nisaidienien ipi nzuri ambayo haina madhara yoyote!
 
Habari wana jf!!nahitaji msaada wa kujua ni sabuni gani nzuri kwa ajili ya kusafisha papuchi kwasababu kwa baadhi ya post humu kuna sabuni zimetajwa sio nzuri na moja wapo nilikuwa natumia inaitwa feminine! Sasa wadau nisaidienien ipi nzuri ambayo haina madhara yoyote!

pole sana nakushauri utumie dettol soap ni kiboko kwani papuchi itakua safi na shemeji atakua anatamani any time aibusu.
 
pole sana nakushauri utumie dettol soap ni kiboko kwani papuchi itakua safi na shemeji atakua anatamani any time aibusu.

Hahahaha jaman mbona watu wanasema dettol sio nzuri kwasababu inaua bakteria ambao ni wazur kwa afya ya papuchi!
 
Foma changanya na jivu kisha utie chumvi,fanya wiki 1 utaona jinsi itakavyonukia na kuwa mnato

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Hahahaha jaman mbona watu wanasema dettol sio nzuri kwasababu inaua bakteria ambao ni wazur kwa afya ya papuchi!

Kweli kabisa mwanangu!! Dettol ni medicated soap inayoua bacteria ambao ni protective kwa mwili wako. Usitumie medicated soaps/toothpastes etc mwilini mwako bila idhini ya Dr.
 
Foma changanya na jivu kisha utie chumvi,fanya wiki 1 utaona jinsi itakavyonukia na kuwa mnato

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

Eeeeehh naona hunitakii mema kabisaa!
 
Tafuta hii hapa
dyhezuva.jpg
 
aiseeeee babayangu mke wangu mama mkuu rombo hua anaosha na maji ya uvuguvugu 2 na inakuwa safi kila siku naiona kama mpya
 
Hii ndo haifai kabisaaa. Inanukia vizuri lakini ni kali. Ilinifanya niende hospital kabisa nikataka kumnyonga paw, nilijua keshaharibu.

Kama unajua mild soap (sabuni yoyote isiyo antibacterial na isiyo na harufu kali) inatosha. Raha ya samaki shombo kwa mbaali!
Tafuta hii hapa
dyhezuva.jpg
 
Hii ndo haifai kabisaaa. Inanukia vizuri lakini ni kali. Ilinifanya niende hospital kabisa nikataka kumnyonga paw, nilijua keshaharibu.

Kama unajua mild soap (sabuni yoyote isiyo antibacterial na isiyo na harufu kali) inatosha. Raha ya samaki shombo kwa mbaali!

Mmmmhh mi hta sijui best coz hii kitu inanichanganya sana!wewe unatumia sabun gan?
 
Nivema utumie sabuni sizizo na dawa na zilizo katika hali ya kimiminika ila simaanishi za kufulia. Namaanisha sabuni kama ya kuogea watoto iliyo ktk hali ya kimiminika kama lotion inaitwa Johnson baby soap nilimuona mtali mmoja akiitumia japo nyingine sikuweza zijua kozi zilikua za majina ya kwao
 
Papuchi haioshwi na sabuni!
Uoshaji wa papuchi na sabuni huondoa wadudu wasio na madhara na hivyo kusababisha magonjwa ya fungus na mengineyo!
 
Back
Top Bottom