Mpuuzieni Christina Shusho, anatumika na shetani kuiaminisha jamii kuwa zinaa ni bora kuliko ndoa

Muacheni huyo dada ajipigie mapene ya wajinga waliojazana kwenye mfumo wa dini.
Mtu yeyote makini aliyekuwa na imani ya kutosha, kufunga, kusali na kufuata masharti ya dini, atagundua uzushi uliojificha ndani yake chap chap na anaweza kuamua kutumia fursa hiyo kiuchumi badala ya kiimani.

So, Shusho ana haki ya kuishi anavyotaka na si watakavyo mababu wa kiyahudi.
HATARI SANA MKUU
 
Back
Top Bottom