Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 38,269
- 47,485
Akichangia bungeni leo mbunge machachari wa CCM anasema umefika wakati sasa viongozi kama mawaziri, wakurugenzi, makatibu wakuu,wakuu wa mikoa na wilaya wapatikane kwa kuomba nafasi hizo na kufanyiwa usahili.
Anasema mfumo wa sasa hauna uwazi kwani Rai hawezi kusoma CV za watu wote wanofaa kuteuliwa na kujua yupi ni sahihi pia anasema haijulikani hata ni wapi hao wateuiliwa wengine wanakotolewa na kuletwa kushika uongozi au kama hata waliomba hizo nafasi. Amemalizia kwa kusema mfumo wa vetting nao bado haugarantii kupata viongozi sahihi kwani imeelezwa kuna watu wasio raia wa Tanzania ambao wamepewa nafasi za uongozi.
Anasema mfumo wa sasa hauna uwazi kwani Rai hawezi kusoma CV za watu wote wanofaa kuteuliwa na kujua yupi ni sahihi pia anasema haijulikani hata ni wapi hao wateuiliwa wengine wanakotolewa na kuletwa kushika uongozi au kama hata waliomba hizo nafasi. Amemalizia kwa kusema mfumo wa vetting nao bado haugarantii kupata viongozi sahihi kwani imeelezwa kuna watu wasio raia wa Tanzania ambao wamepewa nafasi za uongozi.