Mpina ataka viongozi wa wizara, mashirika, mikoa na wilaya kupatikana kwa usahili!

Yoda

JF-Expert Member
Jul 22, 2018
38,269
47,485
Akichangia bungeni leo mbunge machachari wa CCM anasema umefika wakati sasa viongozi kama mawaziri, wakurugenzi, makatibu wakuu,wakuu wa mikoa na wilaya wapatikane kwa kuomba nafasi hizo na kufanyiwa usahili.

Anasema mfumo wa sasa hauna uwazi kwani Rai hawezi kusoma CV za watu wote wanofaa kuteuliwa na kujua yupi ni sahihi pia anasema haijulikani hata ni wapi hao wateuiliwa wengine wanakotolewa na kuletwa kushika uongozi au kama hata waliomba hizo nafasi. Amemalizia kwa kusema mfumo wa vetting nao bado haugarantii kupata viongozi sahihi kwani imeelezwa kuna watu wasio raia wa Tanzania ambao wamepewa nafasi za uongozi.
 
Akichangia bungeni leo mbunge machachari wa CCM anasema umefika wakati sasa viongozi kama mawaziri, wakurugenzi, makatibu wakuu,wakuu wa mikoa na wilaya wapatikane kwa kuomba nafasi hizo na kufanyiwa usahili.

Anasema mfumo wa sasa hauna uwazi kwani Rai hawezi kusoma CV za watu wote wanofaa kuteuliwa na kujua yupi ni sahihi pia anasema haijulikani hata ni wapi hao wateuiliwa wengine wanakotolewa na kuletwa kushika uongozi au kama hata waliomba hizo nafasi. Amemalizia kwa kusema mfumo wa vetting nao bado haugarantii kupata viongozi sahihi kwani imeelezwa kuna watu wasio raia wa Tanzania ambao wamepewa nafasi za uongozi.
Mbona hakukataa uteuzi alipokuwa Waziri?
 
Kesho kwenye mkeka wangu namuua yanga halafu naweka sh 100,000/= 😃😃😃😃😃😃
 
Akichangia bungeni leo mbunge machachari wa CCM anasema umefika wakati sasa viongozi kama mawaziri, wakurugenzi, makatibu wakuu,wakuu wa mikoa na wilaya wapatikane kwa kuomba nafasi hizo na kufanyiwa usahili.

Anasema mfumo wa sasa hauna uwazi kwani Rai hawezi kusoma CV za watu wote wanofaa kuteuliwa na kujua yupi ni sahihi pia anasema haijulikani hata ni wapi hao wateuiliwa wengine wanakotolewa na kuletwa kushika uongozi au kama hata waliomba hizo nafasi. Amemalizia kwa kusema mfumo wa vetting nao bado haugarantii kupata viongozi sahihi kwani imeelezwa kuna watu wasio raia wa Tanzania ambao wamepewa nafasi za uongozi.
Yuko sahihi
 
Hiyo ni hoja ya msingi sana iliyotolewa na Mb. Mpina akiwa bungeni. Mfumo wa sasa unaotumiwa na mamlaka za uteuzi umeshindwa kabisa kutuletea watendaji mahiri, wenye weledi, na hata maadili na uadilifu usiotia shaka yoyote ile.

Kapu la wateule lina nafasi finyu sana. Ni vigumu mtu kuteuliwa kama hana ukaribu na familia za watawala na watu wengine wachache wenye nguvu na ushawishi ndani ya chama tawala.

Wapo watu wengi tu wenye sifa na kukidhi vigezo, lakini hawawezi kupenya ama kutoboa, kisa eti tu hawana ukaribu wala kuaminika na kundi dogo linajiona ni la "elite" ndani ya nchi hii.
 
Akichangia bungeni leo mbunge machachari wa CCM anasema umefika wakati sasa viongozi kama mawaziri, wakurugenzi, makatibu wakuu,wakuu wa mikoa na wilaya wapatikane kwa kuomba nafasi hizo na kufanyiwa usahili.

Anasema mfumo wa sasa hauna uwazi kwani Rai hawezi kusoma CV za watu wote wanofaa kuteuliwa na kujua yupi ni sahihi pia anasema haijulikani hata ni wapi hao wateuiliwa wengine wanakotolewa na kuletwa kushika uongozi au kama hata waliomba hizo nafasi. Amemalizia kwa kusema mfumo wa vetting nao bado haugarantii kupata viongozi sahihi kwani imeelezwa kuna watu wasio raia wa Tanzania ambao wamepewa nafasi za uongozi.
Hiyo ndiyo taratibu iliyopo kwenye sheria zilizounda mashirika yote ya umma. Lakini yule hayati wa Chato ndiye aliyeanza KUVURUGA utaratibu uliokuwapo awali kwa kile mlichomsifia kuwa ANATUMBUA. Kumbe alikuwa anapanga watu wake kwa FAVOURITISM.

Kumbuka alivyowatoa ma CEO wa TPA, TRA, NSSF, TRA nk. Na wajinga mkashangilia.

Luhaga mpina anaongea kwa vile tu hayuko kwenye mfumo, lakini wakati wa Magufuli hawa watu WAMEDHULUMU sana haki za watu
 
Back
Top Bottom