Wild Flower
Member
- Jul 20, 2023
- 88
- 105
Wana morogoro maeneo ya manyuki mwisho tuna teseka na Maji ya Serikari Maana kuna mambomba lakin maji yana toka jumanne tu kila Week
Licha ya kutoka mara 1 bado yanakuwa hayana nguvu kiasi kwamba yanashindwa kupanda kwenye Matenki na kutulazimisha kubebelea Ndoo na Madumu
Sasa hii imekuwa kero kwa mji Kama morogoro. Maji mengi kuna mito ya kutosha kwanini wananchi wa morogoro tusifaidike na mkoa wetu
Maji yanatoka kwetu lakini yanahudumia vizuri mikoa mingine kushinda morogoro hii ni aibu kwa Serikali
MOWASA, Mamlaka ya Maji haisemi shida ni nini na ni lini Changamoto hii itatatuliwa kwani tumeshachoka kuteseka.
Tumekuwa tukilazimika kununua Ndoo au dumu la maji kwa Shilingi 500.
Licha ya kutoka mara 1 bado yanakuwa hayana nguvu kiasi kwamba yanashindwa kupanda kwenye Matenki na kutulazimisha kubebelea Ndoo na Madumu
Sasa hii imekuwa kero kwa mji Kama morogoro. Maji mengi kuna mito ya kutosha kwanini wananchi wa morogoro tusifaidike na mkoa wetu
Maji yanatoka kwetu lakini yanahudumia vizuri mikoa mingine kushinda morogoro hii ni aibu kwa Serikali
MOWASA, Mamlaka ya Maji haisemi shida ni nini na ni lini Changamoto hii itatatuliwa kwani tumeshachoka kuteseka.
Tumekuwa tukilazimika kununua Ndoo au dumu la maji kwa Shilingi 500.