johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 85,650
- 145,400
Ni mafanikio makubwa ya Serikali ya awamu ya 6 inayoongozwa na Rais Samia
Waziri wa afya Ummy amesema Hospital ya Mifupa MOI itaanza Kutoa Huduma za upasuaji wa Ubongo na Mishipa ya fahamu kwa kutumia Robot yaani Artificial intelligence
Pia Wizara imetenga tsh 3.5 billion kuchunguza Upungufu wa Nguvu za Kiume kwa Wababa na Vijana na athari za Unywaji wa Energy Drinks
Source: EATV
Waziri wa afya Ummy amesema Hospital ya Mifupa MOI itaanza Kutoa Huduma za upasuaji wa Ubongo na Mishipa ya fahamu kwa kutumia Robot yaani Artificial intelligence
Pia Wizara imetenga tsh 3.5 billion kuchunguza Upungufu wa Nguvu za Kiume kwa Wababa na Vijana na athari za Unywaji wa Energy Drinks
Source: EATV