dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 9,762
- 16,525
Mnavyosema mama Samia anakopakopa Basi mnamkozea sna mam huyu leo ripot ya imf shirika la fedha duniani imetoka na kuonesha inch kumi zenye Mikopo mikubwa imf na katk nnchi zote hzo Tanzania ya Samia haipo kwenye horodha ya nch zinazodaiwa na IMF.
Misr imekuwa kinara wa Mikopo kutoka kwa mabeberu
Na nilicho kiona Hapo pia Ni Kwamba nchi zote zenye Mikopo mikubwa imf zot imetuzidi sisi kwa kiuchimi kenya imo ndani kwa kudaiwa trillion 6 na imf
serekali ikope jmn ikope ikiwezeonakope Hadi trillion 50 HV uchumi ukue Sasa jmn
Namkaribisha bwana Lucas mwashamba ajazie nyama 😂😂
Misr imekuwa kinara wa Mikopo kutoka kwa mabeberu
Na nilicho kiona Hapo pia Ni Kwamba nchi zote zenye Mikopo mikubwa imf zot imetuzidi sisi kwa kiuchimi kenya imo ndani kwa kudaiwa trillion 6 na imf
serekali ikope jmn ikope ikiwezeonakope Hadi trillion 50 HV uchumi ukue Sasa jmn
Namkaribisha bwana Lucas mwashamba ajazie nyama 😂😂