Salamu wadau.
Kifupi sio kulipa labda niseme utaratibu wao mpya sio mzuri.
Juzi kwa dharura nimekopa salio la kawaida nimpigie jamaa nikafanikiwa sasa kesho yake nimeenda kwa wakala niweke hela nashangaa ghafla napigwa na kitu kwamba salio lako ulilokopa limekatwa deni lako na hela iliyobaki imepelekwa kwenye salio lako la kawaida.!!
NIKABAKI kushangaa tu nimetoa macho kama nimebanwa kwenye bawabu za mlango wa mbao.Najiuliza huu utaratibu umeanza lini mbona hawasemi kwanini wasitujuze kama wavotumaga sms zao za matangazo?
Halafu kitu kingine mimi nimekopa salio la kawaida inakuwaje nyinyi mnakata kwenye airtel money? Kama umekutana na hii kitu hebu lete mrejesho kama nado jaribu na wewe kidogo halafu uone.
Kifupi sio kulipa labda niseme utaratibu wao mpya sio mzuri.
Juzi kwa dharura nimekopa salio la kawaida nimpigie jamaa nikafanikiwa sasa kesho yake nimeenda kwa wakala niweke hela nashangaa ghafla napigwa na kitu kwamba salio lako ulilokopa limekatwa deni lako na hela iliyobaki imepelekwa kwenye salio lako la kawaida.!!
NIKABAKI kushangaa tu nimetoa macho kama nimebanwa kwenye bawabu za mlango wa mbao.Najiuliza huu utaratibu umeanza lini mbona hawasemi kwanini wasitujuze kama wavotumaga sms zao za matangazo?
Halafu kitu kingine mimi nimekopa salio la kawaida inakuwaje nyinyi mnakata kwenye airtel money? Kama umekutana na hii kitu hebu lete mrejesho kama nado jaribu na wewe kidogo halafu uone.