Mzalendo120
JF-Expert Member
- Jul 2, 2022
- 1,601
- 2,091
Kuna lidude limewekwa bungeni nimeona hata wabunge wenyewe wanashangaa.
Zaidi ya upigaji kwa aliyelileta je roboti lile MDEBWEDO linamanufaa gani kwa bunge?
Kama manufaa yapo basi Serikali iwekwe roboti Ikulu na mhimili wa mahakama uweke lakwake
Mhimili wakusimamia rasilimali za nchi umekua kielelezo cha ufujaji. Nimeona hata baadhi ya mawaziri wanashangaa. Unaweza ukakuta hata wao hawajui nani amepeleka hilo toy bungeni.
Hii ni aibu kubwa. Spika aibu yako kwa niaba ya bunge. Umeudhalilisha mhimili. Kama kunajambo ambalo limekitia doa nihuo mdoli uliouweka hapo.
Aliyependekeza liwekwe pale au auziwe akaweke kwake limsaidie na familia yake.
Zaidi ya upigaji kwa aliyelileta je roboti lile MDEBWEDO linamanufaa gani kwa bunge?
Kama manufaa yapo basi Serikali iwekwe roboti Ikulu na mhimili wa mahakama uweke lakwake
Mhimili wakusimamia rasilimali za nchi umekua kielelezo cha ufujaji. Nimeona hata baadhi ya mawaziri wanashangaa. Unaweza ukakuta hata wao hawajui nani amepeleka hilo toy bungeni.
Hii ni aibu kubwa. Spika aibu yako kwa niaba ya bunge. Umeudhalilisha mhimili. Kama kunajambo ambalo limekitia doa nihuo mdoli uliouweka hapo.
Aliyependekeza liwekwe pale au auziwe akaweke kwake limsaidie na familia yake.