Kwamba anajipaka n-nya usoni🤣Jf Ina matani sana, sheikh umetoka kwenye kuuza odds sa ivi unahonga ma V8, jf unachagua tu unataka kua nani
Mbona zipo nyingi tu na mnaziita "mashangingi", zimejaa kibao roadVX8 ndio gari gani?
Wewe ndiye wa kumiliki gari achana na kununulia mchepuko. Mwezi ulopita ulitafuta madalali wa kununua kieneo huko Songea. Na nijuavyo huko kunyumba ekari ni Shs 150,000/=. Acha utaniBora ningemuongezea mama yangu ghorofa nyingine masaki kuliko huyu
Mwanamke asie na utu na shukrani
Kazi IPOWewe ndiye wa kumiliki gari achana na kununulia mchepuko. Mwezi ulopita ulitafuta madalali wa kununua kieneo huko Songea. Na nijuavyo huko kunyumba ekari ni Shs 150,000/=. Acha utani
Naomba kuunganishwa na madalali wa Songea mjini wanao husika kuuza nyumba na viwanja
Nina kieneo changu maeneo ya songea, msamala/ mkuzo kuna kibanda naitaji kukiuza kwahiyo nilikuwa naitaji anaowafahamu madalali wa mji huo wa songea aniunganishe nao zoez likifanikiwa chochote kitu nitatoa kwa ataeniunganisha na mmoja wa maadalali wa mji huo ili kufanikisha zoez languwww.jamiiforums.com
Dogo, kuwa makini bange siyo chakulaBora ningemuongezea mama yangu ghorofa nyingine masaki kuliko huyu
Mwanamke asie na utu na shukrani
Dah🤔😥😥Michepuko hainaga shukurani mkuu mtu pekee atakayekushukuru kwa dhati ni mama yako mzazi
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Dah🤔😥😥Michepuko hainaga shukurani mkuu mtu pekee atakayekushukuru kwa dhati ni mama yako mzazi
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Kama ni ya kweli..Bora ningemuongezea mama yangu ghorofa nyingine masaki kuliko huyu
Mwanamke asie na utu na shukrani