Matumizi ya Card kwenye vivuko ni mazuri lakini yamekuja na changamoto ya kuibia wananchi pesa zao kielektronikia!
Nauli ya kivuko ni tsh 200 kwa watembea kwa miguu, na elfu 1500 au 2000 hata zaidi kwa magari!
Pesa hiyo hukatwa unapochanja (scan)!
ZIFUATZO NI BAADHI YA CHANGAMOTO
1. Yapo makosa ya kibinadamu kwa watumiaji wageni kukatwa pesa mara mbili au zaidi kutokana na kuchanja kwa makosa ya ufaham (Hill linatatuliwa kwa elimu)!
2. Yapo makosa ya kimfumo wa mashine kukata salio la mtumiaji pasipo kufungua njia ( Hili tatizo linaweza kufyeka salio hata mara mbili, tatu au kukomba salio lote na mteja asielewe salio lake limekatwaje (mult error functional). HUU NI WIZI MKUBWA
3. Yapo makosa ya makusudi ya kiufundi! Badala ya mashine kukata kiwango sitahiki huwa inakata kiwango kikubwa zaidi mfano 300 au zaidi kimya kimya ! Huu ni wizi wa kimtandao!
SULUHISHO!
Temesa na TTCL wanaoendesha huo mfumo wa N-card pale kivuko waboreshe kwa kutoa taarifa mtu anapochanja (Notification message kwa mtumiaji)
Mitandao ya simu, bank na matumizi yote ya makato kwa njia ya kadi ni lazima yawe wazi kwa mlaji kwa njia ya meseji ili ajue kakatwa tsh ngapi.
Msipofanya hivyo basi huo wizi wa kuaminika mnaofanya unawalipa na sisi wajumbe tutakuja kuwanyoosha kwenye kura za maoni 2025! Harafu mambo ya kufungia watu kwenye mabanda kama ng'ombe muache achaneni na vivuko vikubwa vya kizamani.
Bajeti ya kununua vivuko vikubwa au kurekebisha vivuko vikubwa itumieni kununua SEA TAX NYINGI 8 ambazo zitakuwa zinasubiria abiria wajae level seat nakuondoka chapu.
Sea tax zikiwepo za kutosha kunakuwa hakuna haja tena ya kufungia watu kama ng'ombe wakati wanaakili zao timamu.
Kivuko cha magari kikibakia kimoja kinatosha kuvusha gari mhimu kwa bei kubwa! Anaeshindwa kulipia azunguke darajani.
Nauli ya kivuko ni tsh 200 kwa watembea kwa miguu, na elfu 1500 au 2000 hata zaidi kwa magari!
Pesa hiyo hukatwa unapochanja (scan)!
ZIFUATZO NI BAADHI YA CHANGAMOTO
1. Yapo makosa ya kibinadamu kwa watumiaji wageni kukatwa pesa mara mbili au zaidi kutokana na kuchanja kwa makosa ya ufaham (Hill linatatuliwa kwa elimu)!
2. Yapo makosa ya kimfumo wa mashine kukata salio la mtumiaji pasipo kufungua njia ( Hili tatizo linaweza kufyeka salio hata mara mbili, tatu au kukomba salio lote na mteja asielewe salio lake limekatwaje (mult error functional). HUU NI WIZI MKUBWA
3. Yapo makosa ya makusudi ya kiufundi! Badala ya mashine kukata kiwango sitahiki huwa inakata kiwango kikubwa zaidi mfano 300 au zaidi kimya kimya ! Huu ni wizi wa kimtandao!
SULUHISHO!
Temesa na TTCL wanaoendesha huo mfumo wa N-card pale kivuko waboreshe kwa kutoa taarifa mtu anapochanja (Notification message kwa mtumiaji)
Mitandao ya simu, bank na matumizi yote ya makato kwa njia ya kadi ni lazima yawe wazi kwa mlaji kwa njia ya meseji ili ajue kakatwa tsh ngapi.
Msipofanya hivyo basi huo wizi wa kuaminika mnaofanya unawalipa na sisi wajumbe tutakuja kuwanyoosha kwenye kura za maoni 2025! Harafu mambo ya kufungia watu kwenye mabanda kama ng'ombe muache achaneni na vivuko vikubwa vya kizamani.
Bajeti ya kununua vivuko vikubwa au kurekebisha vivuko vikubwa itumieni kununua SEA TAX NYINGI 8 ambazo zitakuwa zinasubiria abiria wajae level seat nakuondoka chapu.
Sea tax zikiwepo za kutosha kunakuwa hakuna haja tena ya kufungia watu kama ng'ombe wakati wanaakili zao timamu.
Kivuko cha magari kikibakia kimoja kinatosha kuvusha gari mhimu kwa bei kubwa! Anaeshindwa kulipia azunguke darajani.