Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 15,930
- 14,827
Majuzi tulipokea utambulisho wa mtoto wa kaka, kaleta kijana huyo kila mtu alichokaaaaa
Mtoto wa kaka nae ndio wale matajiri waliosomaga ulaya kuanzia sekondari mpaka chuo, ungetegemea alete mzungu, mmarekani mweusi au mwafrika well off but nooo katuletea mbongo, wa bongo,
Baada ya kumaliza Utambulisho mashangazi wakamwita biharusi kumwuliza adje tena?
Mtoto wa kaka: oh me nimempenda ivyo ivyo alivyo
Mashangazi wakambana sana, why kibao, adje mwanakwetu?
Mtoto wa kaka: kusema kweli aunties, nimeteseka sana kwenye mapenzi ila kwa huyu kaka, ameninyoosha
Mashangazi: adjeee?
Mtoto wa kaka: me hata sielewi kama nampenda au la ila buana kitandani yulo vizuri??
Mashangazi: adjeeee?
Mtoto wa kaka: katika wanaume wooote nimekutana nao, huyu pekee ndio anajua kuutumia mdudu
Mashangazi: adjeeeee? Shangazi mbona mkwee ako na sura speshoo?
Mtoto wa kaka: kusema kweli aunties, me sielewi kabisa, hata sura sijaangalia,
Maana huko kitandani ananihudumia njema mpaka nahisi akili inahama, nakuwa dunia yangu mwenyewe
Sielewi mapenzi ni nini jamaan, mapenzi ni sura, roho au mb.o.o?
Haya mashangazi nawaita mje mumsaidie mtoto wa kaka
Je mapenzi ni nini?
Kuna aunty hapa amesema mapenzi ni u.bo.o. ...... kiru
Mtoto wa kaka nae ndio wale matajiri waliosomaga ulaya kuanzia sekondari mpaka chuo, ungetegemea alete mzungu, mmarekani mweusi au mwafrika well off but nooo katuletea mbongo, wa bongo,
Baada ya kumaliza Utambulisho mashangazi wakamwita biharusi kumwuliza adje tena?
Mtoto wa kaka: oh me nimempenda ivyo ivyo alivyo
Mashangazi wakambana sana, why kibao, adje mwanakwetu?
Mtoto wa kaka: kusema kweli aunties, nimeteseka sana kwenye mapenzi ila kwa huyu kaka, ameninyoosha
Mashangazi: adjeee?
Mtoto wa kaka: me hata sielewi kama nampenda au la ila buana kitandani yulo vizuri??
Mashangazi: adjeeee?
Mtoto wa kaka: katika wanaume wooote nimekutana nao, huyu pekee ndio anajua kuutumia mdudu
Mashangazi: adjeeeee? Shangazi mbona mkwee ako na sura speshoo?
Mtoto wa kaka: kusema kweli aunties, me sielewi kabisa, hata sura sijaangalia,
Maana huko kitandani ananihudumia njema mpaka nahisi akili inahama, nakuwa dunia yangu mwenyewe
Sielewi mapenzi ni nini jamaan, mapenzi ni sura, roho au mb.o.o?
Haya mashangazi nawaita mje mumsaidie mtoto wa kaka
Je mapenzi ni nini?
Kuna aunty hapa amesema mapenzi ni u.bo.o. ...... kiru