Maamuzi ya kununua au kutengeneza 'robot' yalitolewa lini na ni nani walitoa maoni?

Lanlady

JF-Expert Member
Feb 27, 2019
1,488
4,953
Nimeona leo bungeni kulikuwa na robot linalokaribisha wabunge.

Je, bajeti ya manunuzi au ya kutengeneza robot hilo ilitoka wapi?

Nini hasa dhumuni la robot hilo kwa sasa katika nchi yetu yenye uchumi wa hali ya chini kwa wananchi wake wengi?

Binafsi ninayo maoni yangu, ila nitapenda kusikia kwanza hoja za watanzania wenzangu.

NB:Kwa wanaohitaji picha; Huwa sipendi kuforward au kusave vitu vinavyonikera. Sorry for that. Mwingine anaweza kutuma kwa niaba
 
Duh

Hii kitu mbunge wa Kawe askofu Dr Gwajima alishaielezea kitambo pale Kanisani kwake

Akisema alienda Japan na kupokelewa na Robot hotelini na kumpokea Mizigo na kumsindikiza hadi Chumbani

Walipofika Chumbani Robot akamwonyesha baba Askofu mambo Yote muhimu kisha akamuaga na kujitambulisha kuwa yeye ni Robot

Sitashangaa nikisikia Eunice kaletwa na baba askofu Dr Gwajima Mbunge 😂😂

Mlale unono 😀😀🔥
 
Nimeima leo bungeni kulikuwa na robot linalokarubisha wabunge.

Je, bajeti ya manunuzi au ya kutengeneza robot hilo ilitoka wapi?

Nini hasa dhumuni la robot hilo kwa sasa katika nchi yetu yenye uchumi wa hali ya chini kwa wananchi wake wengi?

Binafsi ninayo maoni yangu, ila nitapenda kusikia kwanza hoja za watanzania wenzangu.
Kumbe kazi yake kuwapokea wabunge

Ova
 
Nimeona leo bungeni kulikuwa na robot linalokaribisha wabunge.

Je, bajeti ya manunuzi au ya kutengeneza robot hilo ilitoka wapi?

Nini hasa dhumuni la robot hilo kwa sasa katika nchi yetu yenye uchumi wa hali ya chini kwa wananchi wake wengi?

Binafsi ninayo maoni yangu, ila nitapenda kusikia kwanza hoja za watanzania wenzangu.
Ungeweka na picha tuonee
 
Nimeona leo bungeni kulikuwa na robot linalokaribisha wabunge.

Je, bajeti ya manunuzi au ya kutengeneza robot hilo ilitoka wapi?

Nini hasa dhumuni la robot hilo kwa sasa katika nchi yetu yenye uchumi wa hali ya chini kwa wananchi wake wengi?

Binafsi ninayo maoni yangu, ila nitapenda kusikia kwanza hoja za watanzania wenzangu.
Weka picha
 
Sidhani kama kuna haja ya kuumiza kichwa kuhusu roboti la Bunge.

Just relax Lanlady
I can't relax.
Ni muhimu kupata ufafanuzi wa maswali yangu. Sikufunzwa unyonge,nilifunzwa kuhoji na kutafiti ili kupata msawazo wa fikra kwa maslahi mapana ya taifa na kizazi kijacho!

Tunawalaumu sana mababu zetu kwamba hawakutumia maarifa kwenye baadhi ya maamuzi, je sisi leo hii tunafanya nini kwa maslahi ya taifa?
 
Back
Top Bottom