mwanamwana
JF-Expert Member
- Aug 1, 2011
- 1,077
- 4,114
Wale wanazi wa ligi ya mabasi haya mnaona mambo, japo ni hatari lakini inaleta burudani.
Video ya miaka mitatu nyuma unaileta leoWale wanazi wa ligi ya mabasi haya mnaona mambo, japo ni hatari lakini inaleta burudani.
Juzi juzi wamiliki wa mabasi wameeitwa na latra watarudia tena makosa kweliHuo ni uchonganishi. Video za miaka ya nyuma unaleta Leo!
NimeahangaaVideo ya miaka mitatu nyuma unaileta leo
🤣 namwona Barca kaamua apitie sheli.Hii ni champion ligi kabisaa!!!!!
Sauli, New Force, Msigwa ligi ya kufukuzana matakoni bado hawajakoma.Unawapiga warning tatu halafu unawanyang'anya Leseni kwa Miaka mitano wasiendeshe chombo chochote cha kubeba Abiria.
Utasema wamepakia Mifugo?Sauli, New Force, Msigwa ligi ya kufukuzana matakoni bado hawajakoma.
Saa 12:45 asubuhi Morogoro kwenye kituo cha Daladala Mafiga wanapita speed ya kufamtu bila kujali Zebra pumbafu zao.
Burudani gani hapoWale wanazi wa ligi ya mabasi haya mnaona mambo, japo ni hatari lakini inaleta burudani.
Ni kweli wamepakia mifugo kwani majamaa yapo tu kama panzi ndani ya Gari wanapelekeshwa tu.Utasema wamepakia Mifugo?
Hahahaha 😂😂😂😂 😂😂😂😂🤣 namwona Barca kaamua apitie sheli.