Leo nimeweka salio la 1,500 Vodacom nikakatwa Sh 200/=

Pole sana mkuu ni vyema zaidi kama ungepiga huduma kwa wateja wangekufafanulia
 
Kipi kinaendelea?
Je kuna ambaye ame athirika na hio hali kama mimi??
Au nilikuwa nadaiwa bila kujua (Huwa sikopagi salio)

What is going on??

------------------------------
Sikuwa na namna ikabidi nitafute hako ka 200 kwengine nifanikishe azma yangu ya kujiunga kifurush cha 1500 kama nilivyokusudia

View attachment 2379028
Ilitokea pia kwangu kuwasiliana nao wakasema salio limelipia huduma nilizowahi kujiunga japo sikumbuki kama nishawahi kujiunga hizo huduma. Then wakanitoa
Screenshot_20221006-205619.jpg
 
Wapigie VODACOM huduma kwa wateja..... naamin majibu yao yatakuwA umejiunga na huduma zao hizo sijui SOKA n.k we wachane tu naombeni mniondoleee huduma nisizozielewa na matangazo
 
Niliwapiga voda nikamwambia yule dada aache upumbavu. Pia watoe namba yangu kwenye ofa ofa zao mimi kua na laini yao sitoshindwa kununua vocha kwa bei watakazo weka.

Kesho nikamalizia na ofisi nikawaambia nisone text yoyote ya offer sijui ya muito,mziki
 
Kama umesongesha watakata kila ukiweka salio hata kama deni limeisha. Wapumbavu sana kwakweli
 
Vodacom hata laini ikiwa mpya wanakuunganisha na huduma inaitwa THE best bila ridhaa check kwa kupiga *149*01# chagua huduma Extra utaona namba 5 The best au Soka letu nenda kipengele wameandika Kujitoa utajiondoa na kukatwa salio kijinga.

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom