GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 57,115
- 110,509
Kuwe na Mabasi Maalum ya Waoga wa Kufa ( yaendayo taratibu ) kama sasa na pia kuwe na Mabasi Maalum ya Tusio Waoga wa Kufa ( yaendayo kasi ) ili tusichoshane humu Barabarani.
Haiwezekani kutoka Dar hadi Moro zamani ukipanda Abood Dereva akiwa Dula Bedui ( sasa Marehemu ) unatumia dakika 90 au Saa Mbili lakini hivi sasa unatumia Saa 5 kufika.
Zamani ulikuwa ukipanda Allys au Zubery unatoka Dar Saa 12 Alfajiri na unafika Nyegezi Mwanza Saa 1 Jioni ila kwa sasa unafika ama Saa 6 au Saa 7 usiku.
Ombi langu hili likubaliwe haraka.
Haiwezekani kutoka Dar hadi Moro zamani ukipanda Abood Dereva akiwa Dula Bedui ( sasa Marehemu ) unatumia dakika 90 au Saa Mbili lakini hivi sasa unatumia Saa 5 kufika.
Zamani ulikuwa ukipanda Allys au Zubery unatoka Dar Saa 12 Alfajiri na unafika Nyegezi Mwanza Saa 1 Jioni ila kwa sasa unafika ama Saa 6 au Saa 7 usiku.
Ombi langu hili likubaliwe haraka.