Kwa hizi mvua mechi zote zilizobaki zichezwe Chamazi au Mkapa

uhurumoja

JF-Expert Member
Mar 2, 2014
5,875
10,909
Jana tumeona mechi ya Yanga na JKT ikiahirishwa maana uwanja ulikuwa haitamaniki maji, kila sehemu na utelezi wa kutosha (bila shaka JKT walitaka wachezaji wa Yanga waumie).

Leo mvua ni kubwa kuliko jana, sijui mikoani hali ikoje ila mechi zilizobaki zingepigwa chamazi, Mkapa, kaitaba, labda na CCM Kirumba japo sina uhakika.
 
NB:Jana watu wa vibanda umiza na maeneo mengine wamepata hasara maana kwa Sasa mechi za yanga huwapa mapato sana
Wenyewe wanaziita mgodi
Ingawa hata Simba nazo hujaza kidogo lakini huwa mechi zimejaa makasiriko hali ambayo inapelekea tv zao kuwa mashakani kwani mashabiki wa Simba hunyoosha vidole na kutupa mikono Kila mahali
 
Jana Mimi mwenyewe nimemwombea ruhusa mwanangu nimedanganya anaumwa aende kuangalia hiyo mechi kafika uwanjani hola na shule nimedanganya anaenda hospitali.
 
Jana Mimi mwenyewe nimemwombea ruhusa mwanangu nimedanganya anaumwa aende kuangalia hiyo mechi kafika uwanjani hola na shule nimedanganya anaenda hospitali.
Hahaha safi siku Moja moja kupata burudani sema uwanja ulikuwa haufai kabisa na Leo naona mvua ni kubwa kuliko jana
 
NB:Jana watu wa vibanda umiza na maeneo mengine wamepata hasara maana kwa Sasa mechi za yanga huwapa mapato sana
Wenyewe wanaziita mgodi
Ingawa hata Simba nazo hujaza kidogo lakini huwa mechi zimejaa makasiriko hali ambayo inapelekea tv zao kuwa mashakani kwani mashabiki wa Simba hunyoosha vidole na kutupa mikono Kila mahali
Hahaaaaa
 
Jana Mimi mwenyewe nimemwombea ruhusa mwanangu nimedanganya anaumwa aende kuangalia hiyo mechi kafika uwanjani hola na shule nimedanganya anaenda hospitali.
Mimi ni shabiki ila sijafikia kiwango hiko
 
Mimi ni shabiki ila sijafikia kiwango hiko
U better ask first,
JKT wameanza kutumia uwanja wa Mbweni hivi Karibuni na mtoto wangu anapenda yanga na sijawahi kumpeleka kuangalia mechi yoyote, Kwa kuwa sikai mbali na uwanja wa JKT Mbweni na mtoto wangu anasoma Karibu I decided to do that for my 9 years boy, I hope it's not bad as a parent am fulfilling my kid wishes.
 
U better ask first,
JKT wameanza kutumia uwanja wa Mbweni hivi Karibuni na mtoto wangu anapenda yanga na sijawahi kumpeleka kuangalia mechi yoyote, Kwa kuwa sikai mbali na uwanja wa JKT Mbweni na mtoto wangu anasoma Karibu I decided to do that for my 9 years boy, I hope it's not bad as a parent am fulfilling my kid wishes.
Umefanya sawa kwani kutokwenda shuleni siku 1 kutamuathiri vipi?
 
U better ask first,
JKT wameanza kutumia uwanja wa Mbweni hivi Karibuni na mtoto wangu anapenda yanga na sijawahi kumpeleka kuangalia mechi yoyote, Kwa kuwa sikai mbali na uwanja wa JKT Mbweni na mtoto wangu anasoma Karibu I decided to do that for my 9 years boy, I hope it's not bad as a parent am fulfilling my kid wishes.
Kumbe wewe jirani yangu kabisa
 
Back
Top Bottom